mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Mboforo mzizimo.uyisitabane impela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mboforo mzizimo.uyisitabane impela
Shida kubwa, ni hawa masoro wa hapa ukikutana nao kwenye kumi na nane hutoki salama jombaaa, hata maji huombi.Ninachopendea jiji la Dar ni availability ya usafiri at any time.
Mwaka jana nilifika arusha saa 8 usiku. Kuanzia tengeru mpaka nafika mianzini sijapishana na gari hata 1.
Yani mji mzimq umelala.
Hao wako mbali kwanza hizo hiace zao wanaanza nazo zikiwa zero na sidhani kama kunakuwa na modification ya kuongeza seat na hilo ndio tatizo kubwa kwa upande wetu maana hiace ikiwa level seat ni usafiri mzuri tu.kama jo'burg watatoa na sisi tutaziondoa...kila mtu abaki na usafiri wakeView attachment 1816357View attachment 1816358View attachment 1816359View attachment 1816360
Sasa mboyoyo mingi za nini, unakataa nini hapo?kwan kuna mbishe nimezingua chalii? Kwan ni kwa nini maraia wote chuga wanasererka kwa ngondi kwenye mbishe nying? Miaka mitatu ni mingi sana kwa mtu kulisoma eneo lolote lile, achana na hizo pigo za kiwaki, unaunguza stori jombaaYaani wewe kukaa Chuga miaka 3 ndio ubishane na mzawa?Haina paringi arifu.
Aisee chalaa angu hebu kula ngusu Kwanza hapo,afu rudi Tena hapa Ila kitu cha makushabu usiguse.
Iandikie hioooo.
We ni reeeeeeee.Sasa mboyoyo mingi za nini, unakataa nini hapo?kwan kuna mbishe nimezingua chalii? Kwan ni kwa nini maraia wote chuga wanasererka kwa ngondi kwenye mbishe nying? Miaka mitatu ni mingi sana kwa mtu kulisoma eneo lolote lile, achana na hizo pigo za kiwaki, unaunguza stori jombaa
Hahaaa kweli mkuu na unakuta ananuka sijui masigara au matumbaku yaaaniPia watu huko ,maji ya kuoga wanayaona kama kituo Cha polisi. Mtu anavyaa koti moja mwaka mzima halioni maji. Jiji chafu sana hilo
Hiace zimechoka, zimekongorokaWe fanya yako uridi kwenu kila mji una kitu kinachoweka identity yake. Nenda Johannesburg utakuta Wana hiace dungu zile new model hakuna mabasi unayotaka sijui coaster kwani unaenda mkoani?
Halafu route ni fupi pia abiria sio wa kivile unajua mji una baridi watu wengi wanatembea tu kwa coaster utapata hasara.
Kuhusu hiace hata Lagos na Harare pia ndio usafiri wa town.
Hizo hiace hapo Arusha zimekuwa pimped balaa mbona husemi? Zina muziki na tairi inapigwa rim sport kali. Hiyo ndio chuga mazee acha usoro jomba.
Arusha my home town, inasikitisha vi-hiace vinazagaa kama kunguni. Badilikeni vibaki kufanya kazi pembezoni mwa mji, zibaki TATA, Coaster na EicherNipo Arusha, yaani hivi vi-hiace katikati ya mji ni uchafu na usumbufu katika zama hizi za wingi wa magari.
Vinasababisha usumbufu, vinasimama popote ni vingi na kero.
Uongozi wa Halmashauri ya jiji Arusha hebu igeni majiji mengine ya Tanzania kama Mbeya na Dar walishaachana na vigari aina ya 'vipanya' katikati ya miji yao. Ninyi mmekomaa navyo.
Wekeni jiji kuwa na hadhi ya Geneva kwa kuondoa vipanya city center.