Arusha hivi "vifodi" ni kuchafua jiji achaneni navyo

Arusha hivi "vifodi" ni kuchafua jiji achaneni navyo

Route ndefu coaster itoke ngaramton,sakina,mianzin,mount meru,sanawari,mnazareti, tengeru mpka kikatiti....
Monduli-njiro
ile barabara ya East Africa nayo sijui Isha Anza kutumika..
Watu wa Arusha Ni wavivu wanataka slop na wanaridhika kwa kitu kdgo wakishapata hela ya Konyagi ndo Basi tena .
Ikifika saa tatu na unakaa USA river aisee hesabu maumivu ...route zote zinaishia kwa mrefu na tengeru tu.
Wanaogopa "uizi". USA Kuna waizi usiku labda kama siku hizi wameisha. Unakabwa unanyang'anywa hesabu ya siku nzima
 
Route ndefu coaster itoke ngaramton,sakina,mianzin,mount meru,sanawari,mnazareti, tengeru mpka kikatiti....
Monduli-njiro
ile barabara ya East Africa nayo sijui Isha Anza kutumika..
Watu wa Arusha Ni wavivu wanataka slop na wanaridhika kwa kitu kdgo wakishapata hela ya Konyagi ndo Basi tena .
Ikifika saa tatu na unakaa USA river aisee hesabu maumivu ...route zote zinaishia kwa mrefu na tengeru tu.
Ninachopendea jiji la Dar ni availability ya usafiri at any time.

Mwaka jana nilifika arusha saa 8 usiku. Kuanzia tengeru mpaka nafika mianzini sijapishana na gari hata 1.

Yani mji mzimq umelala.
 
Unafananishaje Dar na Arusha? Dar kwa hili joto hata kituo kwa kituo unapanda basi sio Arusha aisee. Pia Arusha basi zinaisha saa tatu Ila Dar usiku mzima Kuna mishe. Dar haifanani kabisa na chuga hata population yake ni kubwa.

Angalia basi za kimara au mbagala zinavyogombaniwa Ila Arusha hauwezi kuona watu wanapandia madirishani Tena unakuta ni eicher au Dyana.
Bado Arusha ni ndogo sana ndo maana watu wanatembea.

Kingine vipato vya hao watu ni vidogo sana. Anaona akitoa 400 ni shida.
 
Hahaaa madere na makonda wengi Ni wenyeji sio rahisi hvoo
"Warume" ni noumer, hapo kipindi ya nyuma, walkua wanateka hadi gari za wazungu zinazotoka kupokea kia usiku. Wanateka barabara kama mtu ishirini na mapanga na marungu, wakiamuaga "narenduu" ni hataree. Ndo maana watu wa mawe wanatembeaga na moto Ile barabara, na wakikuotea hata moto hawaogopi[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Route ndefu coaster itoke ngaramton,sakina,mianzin,mount meru,sanawari,mnazareti, tengeru mpka kikatiti....
Monduli-njiro
ile barabara ya East Africa nayo sijui Isha Anza kutumika..
Watu wa Arusha Ni wavivu wanataka slop na wanaridhika kwa kitu kdgo wakishapata hela ya Konyagi ndo Basi tena .
Ikifika saa tatu na unakaa USA river aisee hesabu maumivu ...route zote zinaishia kwa mrefu na tengeru tu.
Yaan unitoe sakina unipeleke stand unirudishe tena mianzan unipeleke usa ... Nani atakubali..wengi wanaochangia humu hawajui root za arusha zilivyo
 
Hivi unajua Arusha kuwa Tanzania ilikosewa sana ingetakiwa iwe kenya life staili ya arusha ni ya Nairobi na ndio karibu tu kuliko dar masaa 4 tu uko Nairobi .usafiri unaona arusha ndio huohuo unatumika nairobi kule wanaita matatu. So usiforce tufanane njoo na gari yako kama huna pita hivi
images.jpeg
images (2).jpeg
 
Hivi walitumia vigezo gani kuipa hadhi ya Jiji
Kwa mawazo yako unafikiri kigezo kinachoangaliwa ili mji/manispaa ipate hadhi ya kuwa jiji ni usafiri wa Hiace au Coaster kwenye eneo husika
 
Route ndefu coaster itoke ngaramton,sakina,mianzin,mount meru,sanawari,mnazareti, tengeru mpka kikatiti....
Monduli-njiro
ile barabara ya East Africa nayo sijui Isha Anza kutumika..
Watu wa Arusha Ni wavivu wanataka slop na wanaridhika kwa kitu kdgo wakishapata hela ya Konyagi ndo Basi tena .
Ikifika saa tatu na unakaa USA river aisee hesabu maumivu ...route zote zinaishia kwa mrefu na tengeru tu.
Mkuu nimekuelewa sana.
Vipi hapo kwenye kutoka mianzini, mount meru, sanawari, Nazareti....
Nadhani ulikuwa unamaanisha mianzini, sanawari, mount Meru......
 
Watanzania nafikiri uwezo wa kupambanua mambo ni mdogo sana. Badala ya kushangaa vifodi ilibidi mjiulize ya bajaji
 
Nipo Arusha, yaani hivi vi-hiace katikati ya mji ni uchafu na usumbufu katika zama hizi za wingi wa magari.

Vinasababisha usumbufu, vinasimama popote ni vingi na kero.

Uongozi wa Halmashauri ya jiji Arusha hebu igeni majiji mengine ya Tanzania kama Mbeya na Dar walishaachana na vigari aina ya 'vipanya' katikati ya miji yao. Ninyi mmekomaa navyo.

Wekeni jiji kuwa na hadhi ya Geneva kwa kuondoa vipanya city center.
Synergy ya Arusha na Nairobi ndio impact yake huko gari haizeeki ukifirisika wewe kama bodi ipo poa pesa inafanya kazi, raha sana link ya arusha na nairoobee
 
Back
Top Bottom