Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaogopa "uizi". USA Kuna waizi usiku labda kama siku hizi wameisha. Unakabwa unanyang'anywa hesabu ya siku nzimaRoute ndefu coaster itoke ngaramton,sakina,mianzin,mount meru,sanawari,mnazareti, tengeru mpka kikatiti....
Monduli-njiro
ile barabara ya East Africa nayo sijui Isha Anza kutumika..
Watu wa Arusha Ni wavivu wanataka slop na wanaridhika kwa kitu kdgo wakishapata hela ya Konyagi ndo Basi tena .
Ikifika saa tatu na unakaa USA river aisee hesabu maumivu ...route zote zinaishia kwa mrefu na tengeru tu.
Ninachopendea jiji la Dar ni availability ya usafiri at any time.Route ndefu coaster itoke ngaramton,sakina,mianzin,mount meru,sanawari,mnazareti, tengeru mpka kikatiti....
Monduli-njiro
ile barabara ya East Africa nayo sijui Isha Anza kutumika..
Watu wa Arusha Ni wavivu wanataka slop na wanaridhika kwa kitu kdgo wakishapata hela ya Konyagi ndo Basi tena .
Ikifika saa tatu na unakaa USA river aisee hesabu maumivu ...route zote zinaishia kwa mrefu na tengeru tu.
Bado Arusha ni ndogo sana ndo maana watu wanatembea.Unafananishaje Dar na Arusha? Dar kwa hili joto hata kituo kwa kituo unapanda basi sio Arusha aisee. Pia Arusha basi zinaisha saa tatu Ila Dar usiku mzima Kuna mishe. Dar haifanani kabisa na chuga hata population yake ni kubwa.
Angalia basi za kimara au mbagala zinavyogombaniwa Ila Arusha hauwezi kuona watu wanapandia madirishani Tena unakuta ni eicher au Dyana.
Hahaaa madere na makonda wengi Ni wenyeji sio rahisi hvooWanaogopa "uizi". USA Kuna waizi usiku labda kama siku hizi wameisha. Unakabwa unanyang'anywa hesabu ya siku nzima
"Warume" ni noumer, hapo kipindi ya nyuma, walkua wanateka hadi gari za wazungu zinazotoka kupokea kia usiku. Wanateka barabara kama mtu ishirini na mapanga na marungu, wakiamuaga "narenduu" ni hataree. Ndo maana watu wa mawe wanatembeaga na moto Ile barabara, na wakikuotea hata moto hawaogopi[emoji119][emoji119][emoji119]Hahaaa madere na makonda wengi Ni wenyeji sio rahisi hvoo
Yaan unitoe sakina unipeleke stand unirudishe tena mianzan unipeleke usa ... Nani atakubali..wengi wanaochangia humu hawajui root za arusha zilivyoRoute ndefu coaster itoke ngaramton,sakina,mianzin,mount meru,sanawari,mnazareti, tengeru mpka kikatiti....
Monduli-njiro
ile barabara ya East Africa nayo sijui Isha Anza kutumika..
Watu wa Arusha Ni wavivu wanataka slop na wanaridhika kwa kitu kdgo wakishapata hela ya Konyagi ndo Basi tena .
Ikifika saa tatu na unakaa USA river aisee hesabu maumivu ...route zote zinaishia kwa mrefu na tengeru tu.
makungu wa mnengaSawa kitobo.
Upo sahihiBado Arusha ni ndogo sana ndo maana watu wanatembea.
Kingine vipato vya hao watu ni vidogo sana. Anaona akitoa 400 ni shida.
Kwa mawazo yako unafikiri kigezo kinachoangaliwa ili mji/manispaa ipate hadhi ya kuwa jiji ni usafiri wa Hiace au Coaster kwenye eneo husikaHivi walitumia vigezo gani kuipa hadhi ya Jiji
Mkuu nimekuelewa sana.Route ndefu coaster itoke ngaramton,sakina,mianzin,mount meru,sanawari,mnazareti, tengeru mpka kikatiti....
Monduli-njiro
ile barabara ya East Africa nayo sijui Isha Anza kutumika..
Watu wa Arusha Ni wavivu wanataka slop na wanaridhika kwa kitu kdgo wakishapata hela ya Konyagi ndo Basi tena .
Ikifika saa tatu na unakaa USA river aisee hesabu maumivu ...route zote zinaishia kwa mrefu na tengeru tu.
Synergy ya Arusha na Nairobi ndio impact yake huko gari haizeeki ukifirisika wewe kama bodi ipo poa pesa inafanya kazi, raha sana link ya arusha na nairoobeeNipo Arusha, yaani hivi vi-hiace katikati ya mji ni uchafu na usumbufu katika zama hizi za wingi wa magari.
Vinasababisha usumbufu, vinasimama popote ni vingi na kero.
Uongozi wa Halmashauri ya jiji Arusha hebu igeni majiji mengine ya Tanzania kama Mbeya na Dar walishaachana na vigari aina ya 'vipanya' katikati ya miji yao. Ninyi mmekomaa navyo.
Wekeni jiji kuwa na hadhi ya Geneva kwa kuondoa vipanya city center.
Mafindo mbunyere.makungu wa mnenga
uyisitabane impelaMafindo mbunyere.