Arusha ijiandae kwa utekaji na matumizi ya nguvu kudhibiti wanaompinga Rais

Arusha ijiandae kwa utekaji na matumizi ya nguvu kudhibiti wanaompinga Rais

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Arusha inakwenda kushuhudia kile alichoacha Magu. Wamasai wanakwenda kushughulikiwa watakapotaka kufungua mdomo kutafuta haki yao katika hifadhi. Wananchi wanakwenda kufurushwa kwenye maeneo yao huku kikundi cha wanasiasa wachache wakishika sekta zote muhimu za uchumi.

Wabunge waliopo sasa wanatakiwa kuamua moja, kumsujudia au kusimama kwa misimamo yao wafurushwe kwenye chama. Wenye migogoro iliyotengenezwa na wanasiasa wanakwenda kupewa ahadi hewa kwa lengo la kutafuta popularity.

All in all hakuna RC anayeleta maendeleo yaliyokuwepo kwenye vitabu vya bajeti. Waliopo DSM wanakumbuka walivyoahidiwa mambo kibao lakini hadi leo hakuna jambo unaloweza kusema lilianzishwa likafanikiwa. Umaskini upo pale pale, usafi jumamosi haupo tena.

Ni kazi ngumu kuamini aliyeshindwa kwenye chama anaweza akafanikiwa kwenye mkoa . Migogoro itakuwa mingi
 
Umeandika kweli tupu! Lakini nakuhakikishia haitokuwa rahisi kama Dar! Damu itamwagwa this time!!
 
Dooh



downloadfile-2.jpg
 
Arusha inakwenda kushuhudia kile alichoacha Magu. Wamasai wanakwenda kushughulikiwa watakapotaka kufungua mdomo kutafuta haki yao katika hifadhi. Wananchi wanakwenda kufurushwa kwenye maeneo yao huku kikundi cha wanasiasa wachache wakishika sekta zote muhimu za uchumi

Wabunge waliopo sasa wanatakiwa kuamua moja, kumsujudia au kusimama kwa misimamo yao wafurushwe kwenye chama. Wenye migogoro iliyotengenezwa na wanasiasa wanakwenda kupewa ahadi hewa kwa lengo la kutafuta popularity

All in all hakuna RC anayeleta maendeleo yaliyokuwepo kwenye vitabu vya bajeti. Waliopo DSM wanakumbuka walivyoahidiwa mambo kibao lakini hadi leo hakuna jambo unaloweza kusema lilianzishwa likafanikiwa. Umaskini upo pale pale, usafi jumamosi haupo tena, ni

Ni kazi ngumu kuamini aliyeshindwa kwenye chama anaweza akafanikiwa kwenye mkoa . Migogoro itakuwa mingi
Anakutana na jamii ya tofauti, sio waswahili watu wa vibarazani
 
Arusha inakwenda kushuhudia kile alichoacha Magu. Wamasai wanakwenda kushughulikiwa watakapotaka kufungua mdomo kutafuta haki yao katika hifadhi. Wananchi wanakwenda kufurushwa kwenye maeneo yao huku kikundi cha wanasiasa wachache wakishika sekta zote muhimu za uchumi.

Wabunge waliopo sasa wanatakiwa kuamua moja, kumsujudia au kusimama kwa misimamo yao wafurushwe kwenye chama. Wenye migogoro iliyotengenezwa na wanasiasa wanakwenda kupewa ahadi hewa kwa lengo la kutafuta popularity.

All in all hakuna RC anayeleta maendeleo yaliyokuwepo kwenye vitabu vya bajeti. Waliopo DSM wanakumbuka walivyoahidiwa mambo kibao lakini hadi leo hakuna jambo unaloweza kusema lilianzishwa likafanikiwa. Umaskini upo pale pale, usafi jumamosi haupo tena.

Ni kazi ngumu kuamini aliyeshindwa kwenye chama anaweza akafanikiwa kwenye mkoa . Migogoro itakuwa mingi
super-sami-4.jpg
 
Arusha inakwenda kushuhudia kile alichoacha Magu. Wamasai wanakwenda kushughulikiwa watakapotaka kufungua mdomo kutafuta haki yao katika hifadhi. Wananchi wanakwenda kufurushwa kwenye maeneo yao huku kikundi cha wanasiasa wachache wakishika sekta zote muhimu za uchumi.

Wabunge waliopo sasa wanatakiwa kuamua moja, kumsujudia au kusimama kwa misimamo yao wafurushwe kwenye chama. Wenye migogoro iliyotengenezwa na wanasiasa wanakwenda kupewa ahadi hewa kwa lengo la kutafuta popularity.

All in all hakuna RC anayeleta maendeleo yaliyokuwepo kwenye vitabu vya bajeti. Waliopo DSM wanakumbuka walivyoahidiwa mambo kibao lakini hadi leo hakuna jambo unaloweza kusema lilianzishwa likafanikiwa. Umaskini upo pale pale, usafi jumamosi haupo tena.

Ni kazi ngumu kuamini aliyeshindwa kwenye chama anaweza akafanikiwa kwenye mkoa . Migogoro itakuwa mingi
Acha wivu wewe mtoto wa kike,shenz tipu
 
Shida yote mteuzi hana msimamo,kiongozi makini hawezi kumteua mtu mwenye makandokando kama Makonda kwenye nafasi yoyote.
 
Arusha inakwenda kushuhudia kile alichoacha Magu. Wamasai wanakwenda kushughulikiwa watakapotaka kufungua mdomo kutafuta haki yao katika hifadhi. Wananchi wanakwenda kufurushwa kwenye maeneo yao huku kikundi cha wanasiasa wachache wakishika sekta zote muhimu za uchumi.

Wabunge waliopo sasa wanatakiwa kuamua moja, kumsujudia au kusimama kwa misimamo yao wafurushwe kwenye chama. Wenye migogoro iliyotengenezwa na wanasiasa wanakwenda kupewa ahadi hewa kwa lengo la kutafuta popularity.

All in all hakuna RC anayeleta maendeleo yaliyokuwepo kwenye vitabu vya bajeti. Waliopo DSM wanakumbuka walivyoahidiwa mambo kibao lakini hadi leo hakuna jambo unaloweza kusema lilianzishwa likafanikiwa. Umaskini upo pale pale, usafi jumamosi haupo tena.

Ni kazi ngumu kuamini aliyeshindwa kwenye chama anaweza akafanikiwa kwenye mkoa . Migogoro itakuwa mingi
Ngoja Tusubiri tuone !
 
Back
Top Bottom