Arusha ijiandae kwa utekaji na matumizi ya nguvu kudhibiti wanaompinga Rais

Arusha ijiandae kwa utekaji na matumizi ya nguvu kudhibiti wanaompinga Rais

Unamaanisha Lema anatakiwa akimbie?
 
Arusha inakwenda kushuhudia kile alichoacha Magu. Wamasai wanakwenda kushughulikiwa watakapotaka kufungua mdomo kutafuta haki yao katika hifadhi. Wananchi wanakwenda kufurushwa kwenye maeneo yao huku kikundi cha wanasiasa wachache wakishika sekta zote muhimu za uchumi.

Wabunge waliopo sasa wanatakiwa kuamua moja, kumsujudia au kusimama kwa misimamo yao wafurushwe kwenye chama. Wenye migogoro iliyotengenezwa na wanasiasa wanakwenda kupewa ahadi hewa kwa lengo la kutafuta popularity.

All in all hakuna RC anayeleta maendeleo yaliyokuwepo kwenye vitabu vya bajeti. Waliopo DSM wanakumbuka walivyoahidiwa mambo kibao lakini hadi leo hakuna jambo unaloweza kusema lilianzishwa likafanikiwa. Umaskini upo pale pale, usafi jumamosi haupo tena.

Ni kazi ngumu kuamini aliyeshindwa kwenye chama anaweza akafanikiwa kwenye mkoa . Migogoro itakuwa mingi
RAMLI CHONGANISHI HIZO
 
Kwa mara ya kwanza ndio nimeona watu wanaletewa laana halafu wanashangilia kama mazwazwa bashite ni laana kwa taifa
 
Kwamba aende kumteka nani arachuga? Unaijua arachuga au unaiskia tu..labda atagombana na wenzake wa ccm
 
Shida yote mteuzi hana msimamo,kiongozi makini hawezi kumteua mtu mwenye makandokando kama Makonda kwenye nafasi yoyote.
Hivi hua unamuelewa? Mim binafsi hua simuelewi..
 
Arusha inakwenda kushuhudia kile alichoacha Magu. Wamasai wanakwenda kushughulikiwa watakapotaka kufungua mdomo kutafuta haki yao katika hifadhi. Wananchi wanakwenda kufurushwa kwenye maeneo yao huku kikundi cha wanasiasa wachache wakishika sekta zote muhimu za uchumi.

Wabunge waliopo sasa wanatakiwa kuamua moja, kumsujudia au kusimama kwa misimamo yao wafurushwe kwenye chama. Wenye migogoro iliyotengenezwa na wanasiasa wanakwenda kupewa ahadi hewa kwa lengo la kutafuta popularity.

All in all hakuna RC anayeleta maendeleo yaliyokuwepo kwenye vitabu vya bajeti. Waliopo DSM wanakumbuka walivyoahidiwa mambo kibao lakini hadi leo hakuna jambo unaloweza kusema lilianzishwa likafanikiwa. Umaskini upo pale pale, usafi jumamosi haupo tena.

Ni kazi ngumu kuamini aliyeshindwa kwenye chama anaweza akafanikiwa kwenye mkoa . Migogoro itakuwa mingi
Mimi naona anaenda kusimamia barabara swala la Ngorongoro na Loliondo ili Waarabu wa Dubai wafurahie maisha Tanzania kwa kisingizio cha uwekezaji.
 
Back
Top Bottom