musicarlito
JF-Expert Member
- Dec 29, 2020
- 368
- 556
Wasalaam
Sifa nyingi kapewa mhe.
Kahaidiwa na kupata kura nyingi
Shughuli hii ilikuwa ya kumpa 'mama' maua yake katika mlengo wa kisiasa hasa kupitia chama chake cha mapinduzi?(sina shida na hilo)
Au alialikwa kama mgeni rasmi kwenye sikukuu ya wanawake?
Kama jibu ni la kwanza heko shughuli imefana sana...kama jibu ni la pili,basi wanawake hawajatendewa haki hasa wale wa mrengo au mtazamo mwingine kisiasa mathalani wanachama wa vyama vingine au wale ambao hawamuungi mkono au Sera zake(ni kawaida katika jamii yoyote)
Sifa nyingi kapewa mhe.
Kahaidiwa na kupata kura nyingi
Shughuli hii ilikuwa ya kumpa 'mama' maua yake katika mlengo wa kisiasa hasa kupitia chama chake cha mapinduzi?(sina shida na hilo)
Au alialikwa kama mgeni rasmi kwenye sikukuu ya wanawake?
Kama jibu ni la kwanza heko shughuli imefana sana...kama jibu ni la pili,basi wanawake hawajatendewa haki hasa wale wa mrengo au mtazamo mwingine kisiasa mathalani wanachama wa vyama vingine au wale ambao hawamuungi mkono au Sera zake(ni kawaida katika jamii yoyote)