musicarlito
JF-Expert Member
- Dec 29, 2020
- 368
- 556
Ajabu...shughuli yote ile kwa pesa za naniKusema ukweli ilikua siku ya mhe maana et na campaign inafanyika kabisa duh💔🙌🏾
Kabisa...tumetoka kwenye hofu tumeingia kwenye unafiki na uchawa...si ajabu akina Gambo wanaonekana wanyongeMkuu nimeuliza hilo swali humu nikaambiwa agenda kuu kwa sasa ni kunadi mtu, soon hata misiba itatumika
Ya wanawake lakini wewe wanawake hawakuhusu?Huna mke?Huna mama?Huna dada?Huna watoto wa kike?Mambo Ya Wanawake Waachie Wanawake Utaumiza Ndonga Bure
Sio Kwamba Wanawake Hawanihusu La Hasha Bali Ni Kwamba Ya Wanawake Hayanihusu.Ya wanawake lakini wewe wanawake hawakuhusu?Huna mke?Huna mama?Huna dada?Huna watoto wa kike?
Ni shidaNChi ya kisenge hii
Tusiwacheke kina Mwenemutapa waliouza ardhi kwa kipande cha nguoWatu wamelishwa sana nyama pale Arusha ili wasahau shida zao kwa muda
Then wanaingiziwa kampeni kwa juu
Nakupenda sana Tanzania yangu
Mlikua mnamsheherekea sio sikukuu yenuUjue mwenyewe nimeshangaa why tunamvaa mtu na sio choice yetu? Kila mahali ni yeye. So boring
Kweli kabisaMlikua mnamsheherekea sio sikukuu yenu