Arusha: Jeshi la Polisi lamtia mbaroni mtuhumiwa anayedaiwa kumuua Beatrice Minja

Arusha: Jeshi la Polisi lamtia mbaroni mtuhumiwa anayedaiwa kumuua Beatrice Minja

Eti mtu unaua unakimbilia oldonyosambu ukidhani serikali inamkono mfupi kiasi hicho,hapo angetakiwa akimbilie Kongo ndani ndani huko ajiunge na waasi.
Oldonyosambu alitumia bara bara ile ya vumbi ya mkato kutokea huko Rombo angeweza kufika Namanga pia ila kwenye hivi vijiji wanachofanya kwa mtu yeyote mgeni ukihamia hapo wanapeleka picha yako Serikali za mtaa ili wajue taarifa zako ili wasije kupata matatizo huko mbele...
 
Back
Top Bottom