Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kudanganya watu Hospital haina hivyo viwango hata robo.
Kasoro kubwa kabisa ni matumizi ya kiwanja.Kiwanja ni kikubwa mpangilio wa majengo mbovu.
Majengo mawili tu ya ghorofa moja ni matumizi mabaya ya ardhi.
Hospital haina vifaa wala madaktari,kifupi leo nimejifunza kitu kikubwa taarifa nyingi za Serekali zimejaa mbwembwe tu hakuna uhalisia.
Duuuh, Mbona hata ripota yuko Arusha?!!!Hiyo hospital haina hata madaktari mie naishi hapa container njiro umeandika vitu vingine vya uongo. Haiwezekani Ikawa hospital kubwa east Africa kwa kulinganisha hospital zote. Inazidiwa hata na Ile st Joseph iliyopo pale sakina. Sema Wana eneo kubwa wakipata msaada zaidi watakuwa vizuri zaidi
😂😂😂 Na kweli waka subiri hahahahaYule mwingine alisema Kaskazini wasubiri kwanza na akahamishia miradi yote Gabolite
ais Samia Suluhu Hassan aanza kuzindua miradi ya awamu yake, Mmoja kati yake ni Hospitali ya kisasa ya 2.5bl.
Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan anazindua mradi mkubwa wa Hosptali ya kwanza ya Jiji iliyopo maeneo ya Njiro Jijini humo ujenzi wake umegharimu zaidi ya Shilingi Bilioni 2.5 hadi kukamilika fedha zilizotolewa na Serikali ya awamu ya Sita,
Kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea watanzania maendeleo inasisimua tukiwa na kumbukubu ya Tshs 1.3trilioni alizozigawa hivi majuzi ambazo zitafanya yafuatayo Kujenga madarasa mapya 15,000 ya sekondari,Kujenga madarasa 3,000 shule za msingi shikizi,Kutengeneza madawati 462,795,Kumalizia vyuo vya VETA 32, Magari 25 ya kuchimba visima vya maji,Mitambo 5 ya kujenga mabwawa ya maji,Kujenga ICU 72,Magari ya wagongwa (Ambulance) 395 na ya chanjo 214,Mifumo ya Oxygen hospitali 82,Mitungi ya gesi 4,640,Mitambo ya kuzalisha hewa ya Oksijeni 40,Vitanda vya wagonjwa 2,700,Xray za kisasa 85,CT- Scan 29,MRI hospitali zote za kanda nawahakikishia hakuna atakayekuja kuvunja rekodi hii kwa miaka ya karibuni,
ARUSHA YAMUUNGA MKONO RAIS SAMIA
Muongo huyu. Nasikia hapo shamrashamra labda yuko hapo. Inawezekana ni mtu wa kusifiaDuuuh, Mbona hata ripota yuko Arusha?!!!
Mama ni jabali la Siasa kwelikweli
Mama anajenda barabara zote ila anaanza kwa changalawe,
Rais Samia Suluhu Hassan aanza kuzindua miradi ya awamu yake, Mmoja kati yake ni Hospitali ya kisasa ya 2.5bl.
Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan anazindua mradi mkubwa wa Hosptali ya kwanza ya Jiji iliyopo maeneo ya Njiro Jijini humo ujenzi wake umegharimu zaidi ya Shilingi Bilioni 2.5 hadi kukamilika fedha zilizotolewa na Serikali ya awamu ya Sita,
Kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea watanzania maendeleo inasisimua tukiwa na kumbukubu ya Tshs 1.3trilioni alizozigawa hivi majuzi ambazo zitafanya yafuatayo Kujenga madarasa mapya 15,000 ya sekondari,Kujenga madarasa 3,000 shule za msingi shikizi,Kutengeneza madawati 462,795,Kumalizia vyuo vya VETA 32, Magari 25 ya kuchimba visima vya maji,Mitambo 5 ya kujenga mabwawa ya maji,Kujenga ICU 72,Magari ya wagongwa (Ambulance) 395 na ya chanjo 214,Mifumo ya Oxygen hospitali 82,Mitungi ya gesi 4,640,Mitambo ya kuzalisha hewa ya Oksijeni 40,Vitanda vya wagonjwa 2,700,Xray za kisasa 85,CT- Scan 29,MRI hospitali zote za kanda nawahakikishia hakuna atakayekuja kuvunja rekodi hii kwa miaka ya karibuni,
ARUSHA YAMUUNGA MKONO RAIS SAMIA
Sikiliz hiyo clip,Tatizo mmezoea kuibiwa
Mama kama kaanza maigizo mapema hivi je atatoboa 2025? Haya maigizo ulikuwa huwezi kuyasikia awamu ya Jemedari Magufuli.Acha kudanganya watu Hospital haina hivyo viwango hata robo.
Kasoro kubwa kabisa ni matumizi ya kiwanja.Kiwanja ni kikubwa mpangilio wa majengo mbovu.
Majengo mawili tu ya ghorofa moja ni matumizi mabaya ya ardhi.
Hospital haina vifaa wala madaktari,kifupi leo nimejifunza kitu kikubwa taarifa nyingi za Serekali zimejaa mbwembwe tu hakuna uhalisia.
Rais Samia Suluhu Hassan aanza kuzindua miradi ya awamu yake, Mmoja kati yake ni Hospitali ya kisasa ya 2.5bl.
Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan anazindua mradi mkubwa wa Hosptali ya kwanza ya Jiji iliyopo maeneo ya Njiro Jijini humo ujenzi wake umegharimu zaidi ya Shilingi Bilioni 2.5 hadi kukamilika fedha zilizotolewa na Serikali ya awamu ya Sita,
Kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea watanzania maendeleo inasisimua tukiwa na kumbukubu ya Tshs 1.3trilioni alizozigawa hivi majuzi ambazo zitafanya yafuatayo Kujenga madarasa mapya 15,000 ya sekondari,Kujenga madarasa 3,000 shule za msingi shikizi,Kutengeneza madawati 462,795,Kumalizia vyuo vya VETA 32, Magari 25 ya kuchimba visima vya maji,Mitambo 5 ya kujenga mabwawa ya maji,Kujenga ICU 72,Magari ya wagongwa (Ambulance) 395 na ya chanjo 214,Mifumo ya Oxygen hospitali 82,Mitungi ya gesi 4,640,Mitambo ya kuzalisha hewa ya Oksijeni 40,Vitanda vya wagonjwa 2,700,Xray za kisasa 85,CT- Scan 29,MRI hospitali zote za kanda nawahakikishia hakuna atakayekuja kuvunja rekodi hii kwa miaka ya karibuni,
ARUSHA YAMUUNGA MKONO RAIS SAMIA
Acha kudanganya watu Hospital haina hivyo viwango hata robo.
Kasoro kubwa kabisa ni matumizi ya kiwanja.Kiwanja ni kikubwa mpangilio wa majengo mbovu.
Majengo mawili tu ya ghorofa moja ni matumizi mabaya ya ardhi.
Hospital haina vifaa wala madaktari,kifupi leo nimejifunza kitu kikubwa taarifa nyingi za Serekali zimejaa mbwembwe tu hakuna uhalisia.