TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Hilo hawataongea… the guys are blindedUmenikumbusha mbali sana aisee. Hata 2010 ilibaki kidogo auze kwa Batilda ila wananchi wakajaa nje jengo la manispaa wakitishia kuchoma moto jengo endapo Lema atauza tena ubunge. Lema alikuwa kwenye hilo jengo.
Kwao ni mtume na nabii