Daraja la kisasa kabisa Kama linavyooonekana pichani. Hongera marasta wa Arusha Kwa ujenzi wa daraja la kisasaDaraja hili limejengwa na vijana wawili wa kata ya Sinoni katika halmashauri ya Arusha mjini, baada ya eneo hilo Kukosekana daraja kwa miaka mingi.
Daraja hilo hulipiwa kiasi cha shilingi 200 kila avukapo mtu.
Hivyo basi wananchi hulazimika kutumia kiasi cha shilingi 400 kila siku kupita juu ya daraja.
Na endapo mtu atakuwa hana kiasi hicho cha pesa hulazimika kupita kwenye maji.
Mto huo ni kiunganishi cha kata tatu zote zipo ndani ya jiji.
Daraja hili limejengwa na vijana wawili
Hapo ndo sinoni daraja mbili kwa kina mwamba wa kaskazini?Lingine hili hapa lipo sinoni hukohuko unaweza kuvunja kichwa hapo.
Nb. Kuishi sinoni yahitaji roho ngumu sana
View attachment 2627034
Godbless Lema alikua Mbunge Arusha Mjini miaka kibao Ila ndo vile yeye kelele tuKama viongozi wapo kimya na wananchi mmeshindwa kuungana na kufanya kitu kwanini hao wasitumie fursa?
Hiyo ndio PPP sasa ukisikiaDaraja hili limejengwa na vijana wawili wa kata ya Sinoni katika halmashauri ya Arusha mjini, baada ya eneo hilo Kukosekana daraja kwa miaka mingi.
Daraja hilo hulipiwa kiasi cha shilingi 200 kila avukapo mtu. Hivyo basi wananchi hulazimika kutumia kiasi cha shilingi 400 kila siku kupita juu ya daraja, na endapo mtu atakuwa hana kiasi hicho cha pesa hulazimika kupita kwenye maji.
Mto Themi ni kiunganishi cha kata tatu zote zipo ndani ya jiji.
View attachment 2627031View attachment 2627032
Thanks so much for bringing this to my attention. I will consult my other fellow Arusha billionares to construct high level bridges.Daraja hili limejengwa na vijana wawili wa kata ya Sinoni katika halmashauri ya Arusha mjini, baada ya eneo hilo Kukosekana daraja kwa miaka mingi.
Daraja hilo hulipiwa kiasi cha shilingi 200 kila avukapo mtu. Hivyo basi wananchi hulazimika kutumia kiasi cha shilingi 400 kila siku kupita juu ya daraja, na endapo mtu atakuwa hana kiasi hicho cha pesa hulazimika kupita kwenye maji.
Mto Themi ni kiunganishi cha kata tatu zote zipo ndani ya jiji.
View attachment 2627031View attachment 2627032
Hapa lazima uwe komandoLingine hili hapa lipo sinoni hukohuko unaweza kuvunja kichwa hapo.
Nb. Kuishi sinoni yahitaji roho ngumu sana
View attachment 2627034
Thanks so much for bringing this to my attention. I will consult my other fellow Arusha billionares to construct high level bridges.
Arusha billionare.
Masters John Hopkins university of applied science.
Sasa sisi tufanyeje?Daraja hili limejengwa na vijana wawili wa kata ya Sinoni katika halmashauri ya Arusha mjini, baada ya eneo hilo Kukosekana daraja kwa miaka mingi.
Daraja hilo hulipiwa kiasi cha shilingi 200 kila avukapo mtu. Hivyo basi wananchi hulazimika kutumia kiasi cha shilingi 400 kila siku kupita juu ya daraja, na endapo mtu atakuwa hana kiasi hicho cha pesa hulazimika kupita kwenye maji.
Mto Themi ni kiunganishi cha kata tatu zote zipo ndani ya jiji.
View attachment 2627031View attachment 2627032