Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kutokana na kupanda kwa gharama za maisha,Kuna ongezeko la bei ya kuvuka?Daraja hili limejengwa na vijana wawili wa kata ya Sinoni katika halmashauri ya Arusha mjini, baada ya eneo hilo Kukosekana daraja kwa miaka mingi.
Daraja hilo hulipiwa kiasi cha shilingi 200 kila avukapo mtu. Hivyo basi wananchi hulazimika kutumia kiasi cha shilingi 400 kila siku kupita juu ya daraja, na endapo mtu atakuwa hana kiasi hicho cha pesa hulazimika kupita kwenye maji.
Mto Themi ni kiunganishi cha kata tatu zote zipo ndani ya jiji.
View attachment 2627031View attachment 2627032
Mwaka 2012 nilikuwa naenda kwa mshkaji wangu alikuwa anaishi daraja mbili.Lingine hili hapa lipo sinoni hukohuko unaweza kuvunja kichwa hapo.
Nb. Kuishi sinoni yahitaji roho ngumu sana
View attachment 2627034
CCM tangu Uhuru inakusanya Kodi matokeo ndiyo hayo au una maanisha ccm ikikusanya Kodi inampa lema akajenge madaraka,kuna watu wakati wa kuzaliwa mlitakuliza masandambwa na akili Iko hivyohivyoGodbless Lema alikua Mbunge Arusha Mjini miaka kibao Ila ndo vile yeye kelele tu
Alikuwa anakusanya Kodi na TRA yake?Yule mbunge aliyekuwepo miaka kumi iliyopita inamana alikuwa halioni hili daraja
Hujaelewa nn hapo kwenda 200 kurudi 2001. "Tsh 200 kila avukapo mtu".
2. "Tsh 400 kila siku kupita juu ya daraja..."
Inasomeka ila haieleweki. Common sense draws blank.
Mfano, what if mtu akivuka mara 9 kwa kutwa? (Leave alone usiku)
Bakia na namba 1 pekee to make ur message well corresponding.
-Kaveli-