Cetshwayo Kampande
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,295
- 2,973
Kama mpiga nyeto Sana ,ili hauvukiLingine hili hapa lipo sinoni hukohuko unaweza kuvunja kichwa hapo.
Nb. Kuishi sinoni yahitaji roho ngumu sana
View attachment 2627034
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mpiga nyeto Sana ,ili hauvukiLingine hili hapa lipo sinoni hukohuko unaweza kuvunja kichwa hapo.
Nb. Kuishi sinoni yahitaji roho ngumu sana
View attachment 2627034
Lea Kibibi hukoThanks so much for bringing this to my attention. I will consult my other fellow Arusha billionares to construct high level bridges.
Arusha billionare.
Masters John Hopkins university of applied science.
ohoooKama mpiga nyeto Sana ,ili hauvuki
Nimekulenga,stamina ipo?ohooo
ipo vizuri, ilo bomba lipo Kimara huku, na daily nalivuka mbona ?Nimekulenga,stamina ipo?
Nimecheka kifalaKama mpiga nyeto Sana ,ili hauvuki
Yule mbunge aliyekuwepo miaka kumi iliyopita inamana alikuwa halioni hili darajaDaraja hili limejengwa na vijana wawili wa kata ya Sinoni katika halmashauri ya Arusha mjini, baada ya eneo hilo Kukosekana daraja kwa miaka mingi.
Daraja hilo hulipiwa kiasi cha shilingi 200 kila avukapo mtu. Hivyo basi wananchi hulazimika kutumia kiasi cha shilingi 400 kila siku kupita juu ya daraja, na endapo mtu atakuwa hana kiasi hicho cha pesa hulazimika kupita kwenye maji.
Mto Themi ni kiunganishi cha kata tatu zote zipo ndani ya jiji.
View attachment 2627031View attachment 2627032
Hapo sawa 200 kubwa sanaWangefanya shs.50/=
Chuga hamnazoBei kama pantoni
i ..tafauti yao na serikali ni hawa ni wahuni wa mtaan while.selikali ni wahuni wa officineHao wanaoweka hayo madaraja ni wavuta bangi. Most of the time utawakuta wameweka hivyo vidaraja hata kama maji ni kidogo, watakaa hapo huku wakiendelea kuvuta bangi.. In short ni watu waliokosa kazi/wahuni
Hivi lema yeye ndio wa kwanza kuwa mbunge hapo? Bora hata lema ataonyesha hospital ya mama na mtotoGodbless Lema alikua Mbunge Arusha Mjini miaka kibao Ila ndo vile yeye kelele tu
Miaka kibao after uhuruDaraja hili limejengwa na vijana wawili wa kata ya Sinoni katika halmashauri ya Arusha mjini, baada ya eneo hilo Kukosekana daraja kwa miaka mingi.
Daraja hilo hulipiwa kiasi cha shilingi 200 kila avukapo mtu. Hivyo basi wananchi hulazimika kutumia kiasi cha shilingi 400 kila siku kupita juu ya daraja, na endapo mtu atakuwa hana kiasi hicho cha pesa hulazimika kupita kwenye maji.
Mto Themi ni kiunganishi cha kata tatu zote zipo ndani ya jiji.
View attachment 2627207View attachment 2627208