Utopolo mtupu, lema amefanya nini hapo zaidi ya kulemaza mafanikio ya jiji la Arusha. Watanzania tumeona kufanya mabadiliko ni sasa, lema akae bench now.
Mika 1000 iliyopita California ilikuwepo? Tunaambiwa binadamu wa kwanza alitokea Olduvai Gorge au sio? sasa kuna tatizo gani kwa Arusha kuwa kama California? Mnakwama wapi nyie kizazi cha watumwa?
Mika 1000 iliyopita California ilikuwepo? Tunaambiwa binadamu wa kwanza alitokea Olduvai Gorge au sio? sasa kuna tatizo gani kwa Arusha kuwa kama California? Mnakwama wapi nyie kizazi cha watumwa?
Utaendelea kuwa kapuku maisha yako yote. Kwani unakwama wapi kuwahusisha CCM? Au hoja zinakushinda? Yaani wewe una uwezo wa kuelewa mtu yukoje kwa mistari chini ya 10 na sio kitabu? Aibu ni ya kwako. Endeleeni kudanganyana na huyo mlevi wa konyagi.Watu wa ccm ni aibu kubwa kwa taifa hili
Thanks kwa jf at least tunaona uelewa wa watu
So na ww usikute una watoto au mtoto na unamsaidia kufanya home work ya shule kabisa Yan
Hahaha dah
Utaendelea kuwa kapuku maisha yako yote. Kwani unakwama wapi kuwahusisha CCM? Au hoja zinakushinda? Yaani wewe una uwezo wa kuelewa mtu yukoje kwa mistari chini ya 10 na sio kitabu? Aibu ni ya kwako. Endeleeni kudanganyana na huyo mlevi wa konyagi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mitumba?Kwa sasa hivi wazungu wanavaa mitumba kutoka kwetu.View attachment 1609860
Mkuu umesoma alichoandika mleta mada au umekurupuka tu , soma uelewe kwanza mbona watu wengine mnakua hadi mnatia aibu , ivi kwa hiyo ukishabikia ccm ndio unakua hauna ufaham Wa kitu chochote na hata ukisoma mada za watu unakua huzielewiMika 1000 iliyopita California ilikuwepo? Tunaambiwa binadamu wa kwanza alitokea Olduvai Gorge au sio? sasa kuna tatizo gani kwa Arusha kuwa kama California? Mnakwama wapi nyie kizazi cha watumwa?
Lema ,Mbowe, Mdee ni kati ya wabunge wajinga sana.Utopolo mtupu, lema amefanya nini hapo zaidi ya kulemaza mafanikio ya jiji la Arusha. Watanzania tumeona kufanya mabadiliko ni sasa, lema akae bench now.
"... usipo chagua CCM sileti maendeleo ..."Utopolo mtupu, lema amefanya nini hapo zaidi ya kulemaza mafanikio ya jiji la Arusha. Watanzania tumeona kufanya mabadiliko ni sasa, lema akae bench now.
Mkuu umesoma alichoandika mleta mada au umekurupuka tu , soma uelewe kwanza mbona watu wengine mnakua hadi mnatia aibu , ivi kwa hiyo ukishabikia ccm ndio unakua hauna ufaham Wa kitu chochote na hata ukisoma mada za watu unakua huzielewi
Mheshimiwa Jimbo la California sio saizi yetu kabisa, huko ni maji marefu sana.
Mheshimiwa Magufuri anataka kuifanya Arusha kuwa kama Calfornia, Marekani...