hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Utopolo mtupu, lema amefanya nini hapo zaidi ya kulemaza mafanikio ya jiji la Arusha. Watanzania tumeona kufanya mabadiliko ni sasa, lema akae bench now.
CCM hapo ndio mnafeli,
Hoja ya mtoa hoja ni mzito, usijibu kwa wepesi tu
Yy ametoa shule ya California ambayo Rais wetu anataka arusha iwe hivyo
Sasa acha mahasira yako na ww lete hoja ya kukubaliana na Rais wako kuwa ni possible arusha kuwa kama California