Si ni ninyi ndo kila kukicha mnafananisha ulaya na Afrika kwa kusema serikali haitendi mbona China,America na blaablaa nyingi ziko hivi na vile!!! hua mnataka mnachokiona kwenye tv kiwepo Afrika ya kwamba viongozi hawatendi,sasa leo mnarudi tena kukubari kua hatuwezi kufanana na huko juu..kuweni na heshima muache mapombe na bangi nyambafu nyieMheshimiwa Jimbo la California sio saizi yetu kabisa, huko ni maji marefu sana.
Mheshimiwa Magufuri anataka kuifanya Arusha kuwa kama Calfornia, Marekani....
Tulishaambiwa hata Kigoma itakuwa kama Dubai!! Hatujasahau hata Zanzibar tuliambiwa itakuwa Dubai ya Afrika Mashariki nchi zote za maziwa makuu zitafuata bidhaa hapo hadi leo hata sukari yao tu haiwezi uzwa huku bara!!Mheshimiwa Jimbo la California sio saizi yetu kabisa, huko ni maji marefu sana.
Mheshimiwa Magufuri anataka kuifanya Arusha kuwa kama Calfornia, Marekani...
Kashindwa kufanya annual increment kwa miaka yote mitano hapafu aweze hayo?Rais Magufuli hashindwi kitu
Teh teh teh teh 🤣🤣🤣 kweli mahaba hupofusha na wewe unaamini hilo? Teh teh tehMika 1000 iliyopita California ilikuwepo? Tunaambiwa binadamu wa kwanza alitokea Olduvai Gorge au sio? sasa kuna tatizo gani kwa Arusha kuwa kama California? Mnakwama wapi nyie kizazi cha watumwa?
Mbona mnahangaika sana na Tanzania. Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee that only shows one thing and you know it.Wajinga ndo waliwao.Miaka 50 yote wameshindwa kuifanya kuwa kama Californie,ndo wataifanya kwa miaka 5?Idiots.
That shows who's the leader.Angekaribisha maswali baada ya hotuba zake ili tuyajadili haya yanayohusu nchi yetu.
Hama nchi kwani umelazimishwa kuishi bongo?Na hawa ndio Great Thinker yan Think Tank za CCM, aisee Mungu atuokoe tu na hili janga.
Mika 1000 iliyopita California ilikuwepo? Tunaambiwa binadamu wa kwanza alitokea Olduvai Gorge au sio? sasa kuna tatizo gani kwa Arusha kuwa kama California? Mnakwama wapi nyie kizazi cha watumwa?
Kwaiyo wazungu wanavaa mitumba Toka kwetu!!?Mitumba?Kwa sasa hivi wazungu wanavaa mitumba kutoka kwetu.View attachment 1609860
Its a process. Huko shuleni mlienda kusomea ujinga?Kwa hiyo jamaa anavyoahidi ataifanya Arusha iwe California atadumu madarakani miaka 1,000?
Ukiona mtu mzima anaongea uongo ujue kashashikwa korodaniHuyu mzee kwa uongo yupo level nyingine aise.
Barabara ya Namanga mpaka Tengeru imejengwa njia 4 na EAC (East African Community), ila huyu mzee bila aibu anasem eti Mrisho Gambo alikua anamkera kweli mpaka akaamua kuijenga.
Mungu anamuona.
Ameshindwa kuifanya chattle kuwa kama Arusha atawezaje kuifanya Arusha ya wachagga anaowachukia kuwa kama California!Mheshimiwa Jimbo la California sio saizi yetu kabisa, huko ni maji marefu sana.
Mheshimiwa Magufuri anataka kuifanya Arusha kuwa kama Calfornia, Marekani...
Its a process. Huko shuleni mlienda kusomea ujinga?
Mungu atuweke hai, tutairejea hii post yako.Bada ya kumaliza term yake ccm watamuona mtu wa ajabu watampiga mawe
Uliona alichosema JPM au umekurupuka? ''Nataka Arusha ndio iwe California ya Tanzania'' go on zero brain.Kwa mfumo wa nchi yetu ambao kila rais anaekuja analeta mambo yake licha ya wote kutoka chama kimoja unaona kuna process? Ikiwa anaelewa mambo ya process angebeza juhudi za waliomtangulia? Yeye anaahidi mambo atakayoyafanya tukimpa kura kwenye kipindi chake. Unaelewa SMART goals? Akitoa ahadi ambazo hazitekelezeki kwenye kipindi chake kikatiba si ni zaidi ya hasara? Hata akitaka atawale zaidi kwa ulivyoiweka miaka 1000 haitamsubiria aendelee kuwa madarakani.
Shule nikiyosoma inaingiaje hapa? Bora waliosomea ujinga wanajua watumie maandishi ya rangi gani na wakati upi.
Uliona alichosema JPM au umekurupuka? ''Nataka Arusha ndio iwe California ya Tanzania'' go on zero brain.