Uchaguzi 2020 Arusha kuwa kama Calfornia ni kichekesho na mzaha mkuu

Uchaguzi 2020 Arusha kuwa kama Calfornia ni kichekesho na mzaha mkuu

Mheshimiwa Jimbo la California sio saizi yetu kabisa, huko ni maji marefu sana.

Mheshimiwa Magufuri anataka kuifanya Arusha kuwa kama Calfornia, Marekani....
Si ni ninyi ndo kila kukicha mnafananisha ulaya na Afrika kwa kusema serikali haitendi mbona China,America na blaablaa nyingi ziko hivi na vile!!! hua mnataka mnachokiona kwenye tv kiwepo Afrika ya kwamba viongozi hawatendi,sasa leo mnarudi tena kukubari kua hatuwezi kufanana na huko juu..kuweni na heshima muache mapombe na bangi nyambafu nyie
 
Ccm imetuaribia jiji letu la arusha eti gambo katuombea Barbara sakina tengeru huu mradi si wa eac na pesa ya mkopo ya benki Maendeleo ya Africa.
 
Mheshimiwa Jimbo la California sio saizi yetu kabisa, huko ni maji marefu sana.

Mheshimiwa Magufuri anataka kuifanya Arusha kuwa kama Calfornia, Marekani...
Tulishaambiwa hata Kigoma itakuwa kama Dubai!! Hatujasahau hata Zanzibar tuliambiwa itakuwa Dubai ya Afrika Mashariki nchi zote za maziwa makuu zitafuata bidhaa hapo hadi leo hata sukari yao tu haiwezi uzwa huku bara!!
Kuku nae alimpa ahadi ya kunyonya mwanae...
 
Mika 1000 iliyopita California ilikuwepo? Tunaambiwa binadamu wa kwanza alitokea Olduvai Gorge au sio? sasa kuna tatizo gani kwa Arusha kuwa kama California? Mnakwama wapi nyie kizazi cha watumwa?
Teh teh teh teh 🤣🤣🤣 kweli mahaba hupofusha na wewe unaamini hilo? Teh teh teh
 
Wajinga ndo waliwao.Miaka 50 yote wameshindwa kuifanya kuwa kama Californie,ndo wataifanya kwa miaka 5?Idiots.
Mbona mnahangaika sana na Tanzania. Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee that only shows one thing and you know it.
 
Mitumba?Kwa sasa hivi wazungu wanavaa mitumba kutoka kwetu.View attachment 1609860
Kwaiyo wazungu wanavaa mitumba Toka kwetu!!?

Mng'ato Tumpe kura za ndio Tundu Lisu 28/ 10/2020

Uyu mwenyekiti wetu wa CCM mwongo afu hanaga kumbukumbu kwa uongo wa Jana kwamba hakumfukuza Gambo kwa matumizi mabaya ya ofisi nimeanza kutomuamini kwa maneno yake mengine

Kuhusu Ila la wazungu kuvaa mitumba yetu najua miaka minne ameshindwa sdhani Kama alikua anamaanisha kweli au ndo uwongo wake uleule.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Huyu mzee kwa uongo yupo level nyingine aise.

Barabara ya Namanga mpaka Tengeru imejengwa njia 4 na EAC (East African Community), ila huyu mzee bila aibu anasem eti Mrisho Gambo alikua anamkera kweli mpaka akaamua kuijenga.

Mungu anamuona.
Ukiona mtu mzima anaongea uongo ujue kashashikwa korodani
 
Mheshimiwa Jimbo la California sio saizi yetu kabisa, huko ni maji marefu sana.

Mheshimiwa Magufuri anataka kuifanya Arusha kuwa kama Calfornia, Marekani...
Ameshindwa kuifanya chattle kuwa kama Arusha atawezaje kuifanya Arusha ya wachagga anaowachukia kuwa kama California!
 
Its a process. Huko shuleni mlienda kusomea ujinga?

Kwa mfumo wa nchi yetu ambao kila rais anaekuja analeta mambo yake licha ya wote kutoka chama kimoja unaona kuna process? Ikiwa anaelewa mambo ya process angebeza juhudi za waliomtangulia? Yeye anaahidi mambo atakayoyafanya tukimpa kura kwenye kipindi chake. Unaelewa SMART goals? Akitoa ahadi ambazo hazitekelezeki kwenye kipindi chake kikatiba si ni zaidi ya hasara? Hata akitaka atawale zaidi kwa ulivyoiweka miaka 1000 haitamsubiria aendelee kuwa madarakani.

Shule nikiyosoma inaingiaje hapa? Bora waliosomea ujinga wanajua watumie maandishi ya rangi gani na wakati upi.
 
Kwa mfumo wa nchi yetu ambao kila rais anaekuja analeta mambo yake licha ya wote kutoka chama kimoja unaona kuna process? Ikiwa anaelewa mambo ya process angebeza juhudi za waliomtangulia? Yeye anaahidi mambo atakayoyafanya tukimpa kura kwenye kipindi chake. Unaelewa SMART goals? Akitoa ahadi ambazo hazitekelezeki kwenye kipindi chake kikatiba si ni zaidi ya hasara? Hata akitaka atawale zaidi kwa ulivyoiweka miaka 1000 haitamsubiria aendelee kuwa madarakani.

Shule nikiyosoma inaingiaje hapa? Bora waliosomea ujinga wanajua watumie maandishi ya rangi gani na wakati upi.
Uliona alichosema JPM au umekurupuka? ''Nataka Arusha ndio iwe California ya Tanzania'' go on zero brain.
 
Hivi kuna watu wanamchukulia serious huyu jamaa? Ile stigler yake wazungu wakiambiana wasituuzie generator za umeme tu mradi wote unakufa maana ni Francis turbine anayezitengeneza ni mzungu peke yake dunia nzima. Hata mchina hawezi kutusaidia.

Wazungu wana mbinu nyingi sana za kutuhujumu ni vile Magufuli haelewi tu
 
Uliona alichosema JPM au umekurupuka? ''Nataka Arusha ndio iwe California ya Tanzania'' go on zero brain.

I just realized that you will drag me to your level and bit with experience. In that view, I will never argue with you Sir. Seems like I underestimated your level of comprehension!!!
 
Back
Top Bottom