Naam na nitaendelea kuyasema kwa yoyote yule atakayekumbwa na hii issue..., huenda siku mimi au wewe yakitumba tusikumbwe na hii adha....Ulisema maneno haya wakati ule wa kina Seth Harbinder na Rugemalila?
View attachment 1808043
Nadhani ujuzi wako wa sheria ni mdogo. Unafikiri kama alifanya uhalifu ni lazima wawe waliripoti polisi ndiyo itakuwa kosa? Nani kakudanganya? Jinai haifi na kama umefanya kosa iwe iliripotiwa au haikuripotiwa unakula hukumu.That’s what is going to happen!! Ni kweli ana tuhuma kama zote lakini sasa kwamfano tuhuma za kuwataka wake za watu kinguvu kuwabaka nk ishu itakayowachinja ni Ushahidi, je waliripoti polisi? Na taratibu zingine kama hizo
Jamani mheshimiwa kama huyu anachuchumishwa dauni namna hii duu nilifikiri ni kina kajambanani tu ndo wanafanyiwaga hivi , ama Kweli Muoshaji Huoshwa !Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne, leo Ijumaa, wako mahabusu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha akiwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi.
Bado haijafahamika mashitaka yanayomkabili
Pia soma
1) Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake
2) Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola
View attachment 1807936
Ole Sabaya akitoka kwenye gari la Polisi akiwa kafungwa PINGU
View attachment 1807996
Ole Sabaya akiwa amechuchumaa mbele ya Mahakama
Utavuna ulichopanda! Usitegemee tofauti na ulichopandaSiku zaenda mbio. Mwana mamaaa (Wimbo gani huo tena?)
Sabaya naye wa kuficha sura leo? Kweli mwisho wa ubaya ni aibu. Nilifikiri vibaka wa mtaani tu ndio huficha sura mahakamani. Kumbe hata hawa vibaka wa serikalini! Ukisikia karma ndio hii.
Peleka mtu mahakamani akajibu mashitaka yake kama kuna makosa funga, lakini kwanini umdhalilishe mtu na mapicha hakiwa mnyongee yatakayosambaa mitandaoni.
Tasteless and unethical kwa nafasi yake, at the end of the day alikuwa kiongozi with that he deserves some respect.
Hawa ndio walikuwa wanataka mwendazake aongezewe mda.Swali ni je,bila mama yetu SASHA huyu "mpuuzi" angekuwa ananyea debe kama hivi?.
Hili litakuwa fundisho kwa wengine
Sasa ni wakati wa kumpata Ben Saanane hata ikibidi kaburi la bwana yule lifukuliwe ilimradi tu kijana wetu apatikane!Ben Sanane ndio nani?
mnauana wenyewe mnataka wawajibike wengine?
sasa mnaanza kusema hamkushinda uchaguzi kwa sababu hamukua na wagombea sahihi...
sasa mlichokua mnalalamika ni nini?
Sent from my COL-L29 using JamiiForums mobile app
Mwisho wa ubaya aibuAliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne, leo Ijumaa, wako mahabusu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha akiwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi.
Bado haijafahamika mashitaka yanayomkabili
Pia soma
1) Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake
2) Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola
View attachment 1807936
Ole Sabaya akitoka kwenye gari la Polisi akiwa kafungwa PINGU
View attachment 1807996
Ole Sabaya akiwa amechuchumaa mbele ya Mahakama
Tayari uko kwenye heat umemkumbuka aliyekutoa usichanadume wakoHata hivyo Mbowe siyo mbunge wa Hai tena.
Daima na Milele!!Hekima busara zikikosekana madhara yake makubwa
SamahaniOle Sabaya
CCM mbele kwa mbele
Kazi IENDELEE
Ahhhaaa heh heh heeeeerr! Siku zake zimefika!!!Siku zaenda mbio. Mwana mamaaa (Wimbo gani huo tena?)
Sabaya naye wa kuficha sura leo? Kweli mwisho wa ubaya ni aibu. Nilifikiri vibaka wa mtaani tu ndio huficha sura mahakamani. Kumbe hata hawa vibaka wa serikalini! Ukisikia karma ndio hii.
Mademu wake aliokula nao hela alizokuwa anapora kwa mtutu wa bundukiKuna mbwa zinamtetea sabaya
mnajua kila kitu nyie wenyewe sema mnazuga tu.Sasa ni wakati wa kumpata Ben Saanane hata ikibidi kaburi la bwana yule lifukuliwe ilimradi tu kijana wetu apatikane!
Siku hizi hata Ndugai ana kinga....!!Unatakiwa kuelewa maana ya jinai kinga anayo raisi tu. Wengine wote lolote linaweza kutokea.