Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

That’s what is going to happen!! Ni kweli ana tuhuma kama zote lakini sasa kwamfano tuhuma za kuwataka wake za watu kinguvu kuwabaka nk ishu itakayowachinja ni Ushahidi, je waliripoti polisi? Na taratibu zingine kama hizo
Nadhani ujuzi wako wa sheria ni mdogo. Unafikiri kama alifanya uhalifu ni lazima wawe waliripoti polisi ndiyo itakuwa kosa? Nani kakudanganya? Jinai haifi na kama umefanya kosa iwe iliripotiwa au haikuripotiwa unakula hukumu.
 
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne, leo Ijumaa, wako mahabusu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha akiwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi.

Bado haijafahamika mashitaka yanayomkabili

Pia soma
1) Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

2) Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola

View attachment 1807936
Ole Sabaya akitoka kwenye gari la Polisi akiwa kafungwa PINGU

View attachment 1807996
Ole Sabaya akiwa amechuchumaa mbele ya Mahakama
Jamani mheshimiwa kama huyu anachuchumishwa dauni namna hii duu nilifikiri ni kina kajambanani tu ndo wanafanyiwaga hivi , ama Kweli Muoshaji Huoshwa !
 
Siku zaenda mbio. Mwana mamaaa (Wimbo gani huo tena?)

Sabaya naye wa kuficha sura leo? Kweli mwisho wa ubaya ni aibu. Nilifikiri vibaka wa mtaani tu ndio huficha sura mahakamani. Kumbe hata hawa vibaka wa serikalini! Ukisikia karma ndio hii.
Utavuna ulichopanda! Usitegemee tofauti na ulichopanda
 
UTU na sio CHEO,kwa minadhiri hiyo na yeye ni mmoja wa walinajisi utu wa wengine,ni sawa tu na yeye UTU wake ukinajisiwa.
Peleka mtu mahakamani akajibu mashitaka yake kama kuna makosa funga, lakini kwanini umdhalilishe mtu na mapicha hakiwa mnyongee yatakayosambaa mitandaoni.

Tasteless and unethical kwa nafasi yake, at the end of the day alikuwa kiongozi with that he deserves some respect.
 
JE WAKUCHOMA SINDANO PYUUUUUUUUU Sio JINAI?

AU KWAKUWA NI MJOMBA KAYAFA
 
Ben Sanane ndio nani?

mnauana wenyewe mnataka wawajibike wengine?

sasa mnaanza kusema hamkushinda uchaguzi kwa sababu hamukua na wagombea sahihi...

sasa mlichokua mnalalamika ni nini?

Sent from my COL-L29 using JamiiForums mobile app
Sasa ni wakati wa kumpata Ben Saanane hata ikibidi kaburi la bwana yule lifukuliwe ilimradi tu kijana wetu apatikane!
 
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne, leo Ijumaa, wako mahabusu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha akiwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi.

Bado haijafahamika mashitaka yanayomkabili

Pia soma
1) Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

2) Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola

View attachment 1807936
Ole Sabaya akitoka kwenye gari la Polisi akiwa kafungwa PINGU

View attachment 1807996
Ole Sabaya akiwa amechuchumaa mbele ya Mahakama
Mwisho wa ubaya aibu
IMG-20210604-WA0005.jpg


Sent from my Infinix X622 using JamiiForums mobile app
 
Siku zaenda mbio. Mwana mamaaa (Wimbo gani huo tena?)

Sabaya naye wa kuficha sura leo? Kweli mwisho wa ubaya ni aibu. Nilifikiri vibaka wa mtaani tu ndio huficha sura mahakamani. Kumbe hata hawa vibaka wa serikalini! Ukisikia karma ndio hii.
Ahhhaaa heh heh heeeeerr! Siku zake zimefika!!!
 
Back
Top Bottom