Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Watoto wa Kikuyu - Dodoma walishamzibua marinda kitambo.
 
Je ulivyomchongea Kabebdela akafungwa mpaka na mama yake akafa hayo unayaona madogo. Acha zako hizo. Aliowabaka wanawake uandhani wanajisikiaje? acha zako Pascal Mayalla
 

Naskia na wewe ni mnoko tuu ulimnokolea mwenzio.
Subiri muda wako na wewe 😂😂😂
 
Shida ni moja moja umekuja na majibu ya maswali yako harafu unataka majibu gani sasa.
 
Jamhuri ikitaka kutotenda haki hakutakuwa na la kufanya. Justice delay is justice denied. Hatakuwa wa kwanza kucheleweshewa haki yake.
Nb: Jina la Bwana jasusi si langu.
Kwahiyo tutegemee nini mheshimiwa Jabali?

Kumbe wewe sio mmojawapo wa majasusi waliopo humu!?

Hii mitandaoni bhana inachekesha kweli kweli.
 

Una matatizo! Unamuuliza Nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…