Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Hivi bado wachaga wana hasira baada ya mbowe kung'olewa ubunge?

Mimi nilifikiri hayo mambo yaliishaga tangu 2020?

Lakini hata hivyo, huyo mbowe kawa mbunge toka miaka ya 1990 huko, anapaswa kuachia ngazi apumzike!

Kila siku kugombea tu, amekuwa kama sultan! Duh.
 
Saambaya ni huyo ambae hajachana nywele
 
siku utakapoelewa maana ya jina la ID yako na tafsiri yake utaelewa ni nini hasa kinamuandana sabaya, mfano(sabaya ni mkatili sana)
 
Hahahaaaa...... Chadema mnashangilia kama mmeshinda ubunge vile!
Najaribu kuwaza leo Sabaya atakavyovuliwa nguo zote kwenye ukaguzi.... anaambiwa kujisaidia haja kubwa bila hata kubanwa.. anaambiwa kuchuchumaaa akiwa uchi wa mnyama mbele ya wale waliomuona boss wao.. tuliposema watu wanadhalilishwa wakafikiri yataishia kwa Chadema tu.
Heche
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…