Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Najaribu kufikiria kama katika viongozi wote wa Hai, ni Sabaya tu ndio kakutwa na hatia!!!

Vipi wakuu wa jeshi la polisi? Ina maana hakuna hata mmoja aliyekuwa hajui au kushiriki mishemishe za Sabaya?

Vipi hizo silaha zinazosemwa Sabaya alikuwa akizitumia kutishia watu, ni halali kiumiliki au zilikuwa zakodiwa vituo vya polisi au ni mali za majambazi?
 
MAMA Ukimalizana Na SABAYA Naomba Usimsahau MUSIBA tafadhari Sana.
 
Hadi youtube zipo labda kama wewe ni mnufaika wa ukoo wao

Wapuuzi kama hao huwa hawakosekani kupindisha ukweli ,kuna mpuuzi mmoja wakati Malisa anatoa taarifa kwamba sabaya anashikiliwa na takukuru akasema malisa ni muongo anazusha ,akaconfirm kwamba jana yake walikuwa na sabaya wanapiga bia.

Kwahiyo hata huyu naye ndio wale wale ,kuna clip ipo inamuonyesha sabaya na genge lake la ujambazi wamemavamia mfanyabiashara na kuanza kumpiga huku wengine wakiwa wameshika mitutu.
 
Kupora had simu jmn bado yule jamaaa
 
Huko kisongo atakutana na wwndawazimu watu waliyopinda aise

Ova
 
Nimejifunza sitakiwi kumnyooshea hata kidole au kusema fyeee kwa Mtu ambae hajanifanyia ubaya mimi ambae naskia tu kuwa kafanyia wengine

ila mimi sina uhakika na wala sina uthibitisho kama kafanya au hajafanya.

Waliofanyiwa/walioguswa na mabaya ya mbaya wao ni ruksa kusema chochote ila kwamimi ninae ona tu na kusoma tu,siruhusiwi kusema hata kitu.

zaidi ya kuomba haki itendeke maana najua ktk mabaya 10 kuna 5 ya kweli kuna 5 uongo,haya ya uongo yasinifanye nikashupaza shingo kama nina uhakika nayo,Binadamu Wabaya Wakiamua hawashindwi.

Alifungwa Babu Seya na Papiii kwa Kosa la ULAWITI lkn ukweli wanao waliotoa ile hukumu.

Kila jambo lina chanzo,Kwasasa Somo langu ni 1 natakiwa Kufunga Mdomo wangu na Kuzuia kusema lolote kwa mambo yasionihusu au ambayo sina uhakika nayo. Full stop.
 
Kama kuna kitu samia amekosa ni kuwafikisha mahakamani kada wa ccm kwa makosa ya kizushi kutoka wapinzani. Wana ccm wanakua na shaka nae sana huenda ni msaliti wa mstari wa tano hivyo anaenda kuharibu kile hayati magufuli alifanya. Yetu macho tuone jinsi samia ataenda ikabidhi ccm kwa wale fisadi enzi ya awamu ya nne.
 
SIKU zote nasema maisha hayana formulaaa
Dc leo kachuchumalishwa

Ova
 
We nawe! Yan pamoja na Uhalifu alioufanya kuutenda bila kupepesa macho, Unataka apewe heshima hio heshima itoke wapi? Heshima ina taratibu zake, ukishaishusha haiwezi kupanda lazima nayo ikushushe.Kwayo kaa kwa kutulia ukisubiri mvua ya hukumu.
 
Nashindwa nikuambie nini pimbi wewe.
Hivi aliyokuwa anafanya huyu jambazi kwa Watanzania wenzetu unaona ni sahihi hadi unamlaumu mama? Unamlaumu mama kwa lipi? Yeye ndiye aliyemtuma akapokee rushwa, aunde genge la uhalifu, anyanyese watu, atumie bunduki za serikali kufanya ujambazi na unyang'anyi.
 
Pole kwake na kwa familia yake kwa matatizo yaliyo mkuta.
sio uungwana kufurahia matatizo ya mwenzako.
Haki itatendeka, kama kweli alitenda basi tena atafungwa kama hakutenda ataachiwa.
Kwa takukuru hachomoki.
 
Ni Martin M.M kupitia Twitter ambapo ameandika haya:

Hati ya Mashtaka ya SABAYA LAINI sana. ML kuna PLEA bargain. SABAYA ameteka, amebaka, amepiga watu misumari, amekata watu masikio, amevamia hoteli na maduka, amelawiti.. Vinginevyo tuelezwe tuhuma nyingine zitaongezwa. Mliokuwa mahakamani, prosecutor kasemaje? Police, act upon!
 
Ushahidi uko wapi?

Kila mtu anaweza kusema lolote mtandaoni!

Ushahidi wowote wa maandishi au nyaraka tafadhali? au picha?
We unauliza ushahidi hapa Jf kwani Mwendesha mashtaka wa serikali kampeleka mahakamani bila kuwa na sababu za kufanya hivyo? 18/June hudhuria Mahakamani.
 
Katika zote hizo madai ambayo ni ngumu kuthibitisha ni ubakaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…