Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

unless witness wakijisalimisha. otherwise itabaki story
Hata wakijitokeza, kesi ya ubakaji ni pale ukikutwa red handed tofauti na hapo labda awe ni mtoto. Otherwise kesi ya kubaka ni ngumu sana kuthibika, hivyo hata wakijitokeza mashahidi sasa hivi ni kazi bure. Labda ndiyo maana hata TAKUKURU au DPP wameamua kuondoa tuhuma za ubakaji na hapo ndiyo utaelewa kwamba this time they mean business
 
hahaha hapo itakuwa ngumu kumtia hatiani kwa aina hizi za charges hahaha yani simu na elfu 35,000 na pia rushwa ya million 90 hahahaha hapo kwenye rushwa kwanza hahahaha ndio patamu....
 
Huyo msahauni, hatoki. Plea bargain ipo kwenye money laundering tu.
Misumari ya moto na nyundo zake ipo hapo kwenye ;

1. Kuteka na kutesa
2. Armed Robbery
3. Kuendesha genge la kihalifu
4. Rushwa
5. Abuse of power
Huyu msahauni tu. Mwendazake slikua anabemenda watoto wa watu kwa kuwapa nafasi wasizozimudu na wakaanza kuharibikiwa huku akiwachekea.
Mwenzake gambo,hapi walibadili gia angani yangewakuta nao
 
Ni Martin M.M kupitia Twitter ambapo ameandika haya:

Hati ya Mashtaka ya SABAYA LAINI sana. ML kuna PLEA bargain. SABAYA ameteka, amebaka, amepiga watu misumari, amekata watu masikio, amevamia hoteli na maduka, amelawiti.. Vinginevyo tuelezwe tuhuma nyingine zitaongezwa. Mliokuwa mahakamani, prosecutor kasemaje? Police, act upon!

Ujambazi wa kutumia silaha
Kuendesha genge la uhalifu.


Hayo hayana plea bargain.
 
Niseme Nini Mimi mnyonge,zaidi ya kumwonea huruma huyu kijana mwenzangu daaaaa
Jamani eeee mikwara mbuzi ina mwisho wake wadau haya

Maskini sabaya kipo wapi Sasa?
Mwendazake ashalala chattle mabatini lol!

Dunia kizungumkuti hiii mweeee!

Dadeq ujanja na majigambo kwishney mtoto wa kimasai huyu!


Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Baba jiwe umeniiacha yatima!

(Alisikika sabaya kule jela)
😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Kuteka na kutesa kama mashahidi wapo anatokaje?Kibaya zaidi walinzi wake wakisimamishwa watasema kweli tulikua tunapokea maagizo...

Armed robbery anatokaje?
Uhujumu uchumi na utakatishaji pesa ndio unaweza kukaa na DPP mezani.
 
Hana tuhuma yoyote ya ubakaji

Ubakaji ni ngumu sana kuthibitisha maana aliwabaka muda ushaenda na walishaoga!! Ubakaji ili kuwe na ushahidi inabidi mtuhumiwa na mbakwaji wakapimwe na daktari kisha daktari achukue sample ya manii kwenye k apime alinganishe na mbakaji vikimatch ndio wanaandaa file kama amebaka.
 
Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Upo sahihi kabisa mkuu! Ccm ni mashuatwaini sana, they use you like toilet paper kisha Unakuwa trash!
 
Ni Martin M.M kupitia Twitter ambapo ameandika haya:

Hati ya Mashtaka ya SABAYA LAINI sana. ML kuna PLEA bargain. SABAYA ameteka, amebaka, amepiga watu misumari, amekata watu masikio, amevamia hoteli na maduka, amelawiti.. Vinginevyo tuelezwe tuhuma nyingine zitaongezwa. Mliokuwa mahakamani, prosecutor kasemaje? Police, act upon!
Kwanza kwenye hati ya mashitaka hakuna ubakaji halafu hayo yaliyo baki hakuna atakayeweza thibitisha kamwe na Sabaya atashinda
 
Huyo msahauni, hatoki. Plea bargain ipo kwenye money laundering tu.
Misumari ya moto na nyundo zake ipo hapo kwenye ;

1. Kuteka na kutesa
2. Armed Robbery
3. Kuendesha genge la kihalifu
4. Rushwa
5. Abuse of power
Huyu msahauni tu. Mwendazake slikua anabemenda watoto wa watu kwa kuwapa nafasi wasizozimudu na wakaanza kuharibikiwa huku akiwachek

Huyo msahauni, hatoki. Plea bargain ipo kwenye money laundering tu.
Misumari ya moto na nyundo zake ipo hapo kwenye ;

1. Kuteka na kutesa
2. Armed Robbery
3. Kuendesha genge la kihalifu
4. Rushwa
5. Abuse of power
Huyu msahauni tu. Mwendazake slikua anabemenda watoto wa watu kwa kuwapa nafasi wasizozimudu na wakaanza kuharibikiwa huku akiwachekea.
Unaweza kuwa sahihi if and only if, H na H watakuwepo hapo milele.
 
Back
Top Bottom