Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Ni Martin M.M kupitia Twitter ambapo ameandika haya:

Hati ya Mashtaka ya SABAYA LAINI sana. ML kuna PLEA bargain. SABAYA ameteka, amebaka, amepiga watu misumari, amekata watu masikio, amevamia hoteli na maduka, amelawiti.. Vinginevyo tuelezwe tuhuma nyingine zitaongezwa. Mliokuwa mahakamani, prosecutor kasemaje? Police, act upon!
Katika zote hizo madai ambayo ni ngumu kuthibitisha ni ubakaji
Huu naamini ni mwanzo tuu makubwa yanakuja.Hii inatumika kumweka mahali ambapo hawezi toroka.
 
Na hilo la abuse of power hamjaliona?

Ubakaji ni ngumu ku prove, nadhani tuwe na imani na waliofungua mashtaka, tusijifanye sisi ni wanasheria sana, hata hawa walioko huko wanajua.

Nadhani, hofu kubwa ya watu ni kwamba labda haya mashitaka yanaweza kumfanya baadae, akaachiwa.. well and good.. ila tuupe mda nafasi, maana mpaka hii hatua bado ni ushindi kwa sheria zetu.. narudia tena, mpaka hii hatua ya kupanda kizimbani ni ushindi mkubwa sana..
 
Kuna watu walikuwa wanaishi maisha yao kipindi kile ,mkuu wa wilaya tu ana walinzi 5[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Charges against former Hai District Commissioner, Lengai Ole Sabaya and co-accused at Arusha Resident Magistrate's Court
1. Abuse of power
2. Economic sarbotage,
3. Armed robbery and
4. Corruption
They have been denied bail.
#Sabaya
#Arusha
#Case https://t.co/FFDe1R3Paz
 
Na hayo ya plea bargain ni rahisi tu kuyamaliza.
Huyo msahauni, hatoki. Plea bargain ipo kwenye money laundering tu.
Misumari ya moto na nyundo zake ipo hapo kwenye ;

1. Kuteka na kutesa
2. Armed Robbery
3. Kuendesha genge la kihalifu
4. Rushwa
5. Abuse of power
Huyu msahauni tu. Mwendazake slikua anabemenda watoto wa watu kwa kuwapa nafasi wasizozimudu na wakaanza kuharibikiwa huku akiwachekea.
 
Hivi jamani ni hadi lini polisi wetu tanzania watajua kuwa katika majukumu yao na kazi zao ni kukamata watuhumiwa na kuwafikisha mahakamani kwa ajili ya kuhukumiwa na sio kuwaadhibu au kuwadhalilisha watuhumiwa? Polisi wetu watujua lini kuwa kila mtuhumiwa anaendelea kufikiriwa kuwa innocent until proven guilty? Inakuwaje Polisi wanawachuchumisha watuhumiwa ilhali wako wamefungwa pingu na wenzao na hawana chance yeyote ile ya kutoroka?
 
Wanadaiwa walimfunga pingu na kumpiga Bakari Msangi ambaye ni diwani wa CCM kata ya Sombetin na kumuibia Sh390,000 na pia katika eneo la Bondeni jijini Arusha wakitumia silaha, Sabaya na walinzi hao wanatuhumiwa kumpiga, kumtishia silaha na kumpora Ramadhani Ayoub simu na Sh35,000.
This is rubbish! Mabunduki ndio waede kuwateka watu na fedha hiyo? Hawa prosecutors wanataka ku create defective charges baadaye waachiwe huru
 
Mimi nahisi kuna chuki binafsi kuanzia kwenye uongozi wa juu..sio bure...kwa sababu kwa namna linavyoengelewa hili swala na ushaidi uliopo haviendani kabisa...mimi sijawahi kuona clip akimnyang'anya mtu pesa au kuvamia nq kuiba
Wewe kutokuona picha akiwa anafanya Uhalifu haimanishi kwamba hajafanya kwingine, kaa kwa kutulia.
 
Watu aliokuwa akiwapa amri ya kuchuchumaa chini leo wao ndiyo wanamwambia achuchumae chini na makofi juu.
Tena hao Askari watakua na maarifa zaidi ya askari wa kawaida.
 
Mbona unademka hivyo? Serikali imechukua hatua sahihi, acha mahakama ifanye kazi yake! Woga wa nini? Au ndio umeshaandaa hukumu yako Mkuu?
 
Back
Top Bottom