johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tukana kwa kichagga ndio nitakuelewa manka...... hahahaaaa!Pumbavu kabisa wee Mama na huyo mumeo Mgaya..
Wakati Meko anawaendekeza hawa akina Sabaya na watu wanapiga kelele kuhusu mbovu yake mlikua kimya na hamkuwahi kupaza sauti..
Leo nyee nyee nyee.. pumbavu kabisa..
Asante MUNGU kwa kulifyekelea mbali Li Meko.
Bwashee leo una hasira zilizochanganyika na furaha!1. Rekebisha uandishi wako. Sema Jiwe ameweka historia ya kuwa Rais wa kwanza kufadhili uovu wa DC aliyemteua
2. Sabaya alijua analolitenda ndiyo maana hajambaka mama yake, hajachukua fdha toka wa mawaziri, makatibu wakuu na watu kama hao.
Atafungwa spidi gavana.Aisee yaani tumuombe mama Samia atekeleze hii operation
Kundi lao limesha sambaratishwaAtafungwa spidi gavana.
Hiyo inaitwa cycling tecnical flowback .kwako mwalimu kashashaVipi rekodi ya Mbunge kupigwa risasi akiwa bungeni Dodoma na kunyimwa haki zake za kibunge kwa kumtuhumu kutoonekana katika vikao vya bunge bila taarifa wakati spika anafahamu kuwa alipigwa risasi na yeye binafsi kushiriki kumpakia ndani ya ndege kupelekwa hospitali Nairobi!
Mzee Mgaya anasemaje?
Unaamini anaweza fukua kaburi la kutekwa Dr Ulimboka?! Mimi siamini maana atawagusa wasiogusika.Kundi lao limesha sambaratishwa
Wewe utakuwa ni gaidiNaona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Yani kashindwa kujua alituma na yeye kakubali ila Mwendazake, Mungu naomba mnyooshe kinoma.Kada mkongwe wa CCM mzee Mgaya anasema aliyekuwa DC wa Hai mh Ole sabaya amevunja rekodi ya uongozi wa Umma kwa kutuhumiwa kufanya ujambazi wa kutumia silaha akiwa ofisini kama mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya.
Hii haijawahi kutokea tokea nchi ipate uhuru 1961.
Nchini China kosa kama hili adhabu yake imeandikwa ukutani ukishatiwa hatiani kila mwananchi anaijua, amemalizia Mgaya.
Ee Msamehe huyu kijana hakujua alilokuwa anatenda.
Jumaa kareem!
Kwa hiyo Sabaya anaonewa?,wanamfanyia haya kulipa kisasi?...Chuki na visasi vinatengenezwa sasa hivi... ikija awamu nyingine yenye mlengo wa kushoto italipiza kisasi cha haya yanayofanyika kwa Sabaya. muangusha nchi uwa ni mwananchi.
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda ( Daud Albert Bashite ) nina uhakika na Yeye akikamatwa ( muda si mrefu kutoka sasa kama aliyeniambia hajanidanganya ) hatoishia tu Kuficha Uso wake bali ataficha pia Makalio yake ( Inye lake Ndembendembe ) na Matege Mbanio yake.Siku zaenda mbio. Mwana mamaaa (Wimbo gani huo tena?)
Sabaya naye wa kuficha sura leo? Kweli mwisho wa ubaya ni aibu. Nilifikiri vibaka wa mtaani tu ndio huficha sura mahakamani. Kumbe hata hawa vibaka wa serikalini! Ukisikia karma ndio hii.
yani huyu na heri jems nina weza kula nyama zap bila kuzi choma
Huyo Mgaya ni mume wa mleta uzi..Mzee Mgaya kila siku anaongea na mtu mmoja tuu ambaye ni huyu Yohana Mbatizaji
Alikuwa Anatekeleza Maagizo ya MwendazakeKada mkongwe wa CCM mzee Mgaya anasema aliyekuwa DC wa Hai mh Ole sabaya amevunja rekodi ya uongozi wa Umma kwa kutuhumiwa kufanya ujambazi wa kutumia silaha akiwa ofisini kama mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya.
Hii haijawahi kutokea tokea nchi ipate uhuru 1961.
Nchini China kosa kama hili adhabu yake imeandikwa ukutani ukishatiwa hatiani kila mwananchi anaijua, amemalizia Mgaya.
Ee Msamehe huyu kijana hakujua alilokuwa anatenda.
Jumaa kareem!
Tutakukumbusha MzeeAliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda ( Daud Albert Bashite ) nina uhakika na Yeye akikamatwa ( muda si mrefu kutoka sasa kama aliyeniambia hajanidanganya ) hatoishia tu Kuficha Uso wake bali ataficha pia Makalio yake ( Inye lake Ndembendembe ) na Matege Mbanio yake.