Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Pumbavu kabisa wee Mama na huyo mumeo Mgaya..
Wakati Meko anawaendekeza hawa akina Sabaya na watu wanapiga kelele kuhusu mbovu yake mlikua kimya na hamkuwahi kupaza sauti..
Leo nyee nyee nyee.. pumbavu kabisa..
Asante MUNGU kwa kulifyekelea mbali Li Meko.
Tukana kwa kichagga ndio nitakuelewa manka...... hahahaaaa!
 
1. Rekebisha uandishi wako. Sema Jiwe ameweka historia ya kuwa Rais wa kwanza kufadhili uovu wa DC aliyemteua
2. Sabaya alijua analolitenda ndiyo maana hajambaka mama yake, hajachukua fdha toka wa mawaziri, makatibu wakuu na watu kama hao.
Bwashee leo una hasira zilizochanganyika na furaha!
 
Na aliyekuwa "Rais wa Dar" (mwenye mkoa wake!) mbona hawamgusi?
 
ANDAKAVA.jpg


ANDAKAVA1.jpg
 
Vipi rekodi ya Mbunge kupigwa risasi akiwa bungeni Dodoma na kunyimwa haki zake za kibunge kwa kumtuhumu kutoonekana katika vikao vya bunge bila taarifa wakati spika anafahamu kuwa alipigwa risasi na yeye binafsi kushiriki kumpakia ndani ya ndege kupelekwa hospitali Nairobi!

Mzee Mgaya anasemaje?
Hiyo inaitwa cycling tecnical flowback .kwako mwalimu kashasha
 
Kundi lao limesha sambaratishwa
Unaamini anaweza fukua kaburi la kutekwa Dr Ulimboka?! Mimi siamini maana atawagusa wasiogusika.

Hata hii ya wizi wa mafuta bandarini sioni kama kuna utashi wa kulishughulikia.
 
Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Wewe utakuwa ni gaidi
 
Kada mkongwe wa CCM mzee Mgaya anasema aliyekuwa DC wa Hai mh Ole sabaya amevunja rekodi ya uongozi wa Umma kwa kutuhumiwa kufanya ujambazi wa kutumia silaha akiwa ofisini kama mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya.

Hii haijawahi kutokea tokea nchi ipate uhuru 1961.

Nchini China kosa kama hili adhabu yake imeandikwa ukutani ukishatiwa hatiani kila mwananchi anaijua, amemalizia Mgaya.

Ee Msamehe huyu kijana hakujua alilokuwa anatenda.

Jumaa kareem!
Yani kashindwa kujua alituma na yeye kakubali ila Mwendazake, Mungu naomba mnyooshe kinoma.
 
Chuki na visasi vinatengenezwa sasa hivi... ikija awamu nyingine yenye mlengo wa kushoto italipiza kisasi cha haya yanayofanyika kwa Sabaya. muangusha nchi uwa ni mwananchi.
Kwa hiyo Sabaya anaonewa?,wanamfanyia haya kulipa kisasi?...
 
Siku zaenda mbio. Mwana mamaaa (Wimbo gani huo tena?)

Sabaya naye wa kuficha sura leo? Kweli mwisho wa ubaya ni aibu. Nilifikiri vibaka wa mtaani tu ndio huficha sura mahakamani. Kumbe hata hawa vibaka wa serikalini! Ukisikia karma ndio hii.
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda ( Daud Albert Bashite ) nina uhakika na Yeye akikamatwa ( muda si mrefu kutoka sasa kama aliyeniambia hajanidanganya ) hatoishia tu Kuficha Uso wake bali ataficha pia Makalio yake ( Inye lake Ndembendembe ) na Matege Mbanio yake.
 
Kada mkongwe wa CCM mzee Mgaya anasema aliyekuwa DC wa Hai mh Ole sabaya amevunja rekodi ya uongozi wa Umma kwa kutuhumiwa kufanya ujambazi wa kutumia silaha akiwa ofisini kama mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya.

Hii haijawahi kutokea tokea nchi ipate uhuru 1961.

Nchini China kosa kama hili adhabu yake imeandikwa ukutani ukishatiwa hatiani kila mwananchi anaijua, amemalizia Mgaya.

Ee Msamehe huyu kijana hakujua alilokuwa anatenda.

Jumaa kareem!
Alikuwa Anatekeleza Maagizo ya Mwendazake
 
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda ( Daud Albert Bashite ) nina uhakika na Yeye akikamatwa ( muda si mrefu kutoka sasa kama aliyeniambia hajanidanganya ) hatoishia tu Kuficha Uso wake bali ataficha pia Makalio yake ( Inye lake Ndembendembe ) na Matege Mbanio yake.
Tutakukumbusha Mzee
 
Back
Top Bottom