Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha


Kwakweli polisi wanatumika vibaya, walikuwa wanampigia salute halali jambazi
 
Chuki na visasi vinatengenezwa sasa hivi... ikija awamu nyingine yenye mlengo wa kushoto italipiza kisasi cha haya yanayofanyika kwa Sabaya. muangusha nchi uwa ni mwananchi.
Wewe ni mpumbavu mpaka mama yako anajutaa kukuzaa
 
Your browser is not able to display this video.
 
Salama yake akae kimya. Kwa kuwa Hana historia mbaya na MAMA kikombe hiki kinaweza kumuepuka lakini akithubutu kwenda Clauzi (clouds) amekwisha.
 
Bonge la fundisho kwa wateule wote ambao wanapenda "Sifa,kiki,udhalilishaji na unyanyasaji"

Na hasa wale Viongozi wote wasiozingatia mipaka ya madaraka na majukumu yao.

Hii itawakunmbusha viongozi kuzingatia sheria,kanuni na taratibu katika kusimamia utekelezaji shughuli wanazosimamia.

Wengi walipenda kuingilia shughuli za wataalamu na kutengeneza kiki kwa kudhaliliasha watendaji.
 
Halafu kuna watu wanamsifu magufuli kwamba ni viongozi safi alikuwa wakati watu wangu kama hasa alikuwa anawalea na kuwapandisha yeo tukitaka tusitake magufuli alikuwa ni Amanda wa vijana waovu wa ccm sasa naamini kwa utawala tulionao waovu wote magufuli aliokuwa akiwakingia kifua watafichuliwa wakiwemo waliompoteza Ben saanane na waliotaka kumuua lissu, mungu ibariki Tanzania.
 
Na "plea bargain" itamtia dosari kwasababu itaonyesha kwenye maisha yake alishakutwa na jinai kwahiyo ndoto yake ya kisiasa itakuwa imekwisha. Labda abebwe kisiasa tu kama Deo Mwanyika ingawa Mwanyika inawezekana alionewa na hakuwa na jinsi.
 
Hili jamaa sijui lilikomea darasa la pili likakalia kuvuta bangi.

Yaani unamkejeli raisi wetu kwa kumchukulia hatua kiongozi muovu na mhuni aliyeaminiwa na chama na serikali kwenda kuwatumikia wananchi badala yake akageuka mtesi?

Na wewe uko CCM? Basi kama na wewe uko CCM,tunatakiwa kuangalia upya utaratibu wa wanachama wetu. Haiwezekani mtu mwenye mawazo ya kutetea watu wa aina ya Sabaya kam wewe na kupingana na serikali mmamuzi ya serikali inayoongozwa na mwenyekiti wa Chama mama samia awe na sifa za kuwa mwanachama. Hapana!
 
Kijana yule wa kimasai ameangukiwa na jumba bovu. Alishindwa kutawala hulka zake akajiona yeye ni ZAKAYO wa moshi na arusha
cc Kichwa Kichafu 🤣 🤣
 
Hata babake nae ndio kiongozi pekee aliyekoswakoswa kulambwa fimbo sabini kutoka kwa viongozi wa kimasai baada ya kuleta ujinga wake kwa malaigwanan.

Babake alimuomba Mkapa amuhamishe ndio akapelekwa songea. Ila nyumba waliichoma so it runs in the family.
 
Ben Sanane ndio nani?

mnauana wenyewe mnataka wawajibike wengine?

sasa mnaanza kusema hamkushinda uchaguzi kwa sababu hamukua na wagombea sahihi...

sasa mlichokua mnalalamika ni nini?

Sent from my COL-L29 using JamiiForums mobile app
Marafiki wa Sabaya bwana! Mma hasira lakini kumsaidia hamuwezi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…