Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Mahakama ni chombo huru, na hakitakiwi kuingiliwa na kutumika kisiasa.

Mtuhuliwa Sabaya ameshatinga kizimbani. Ushahidi upo tayari na victims wanaodai kutendewa hayo makosa wapo kama mashahidi wakuu sasa habari za kuahirisha wiki mbili za nini?

Wananchi tuna kiu kikubwa ili tupate ukweli hivyo fanyeni haraka ndani ya mwezi kesi ziwe zimeisha. Sikilizeni mashahidi watatu kila wiki mfululizo na kisha tupate majibu.

Dpp anadai amekamilisha ushahidi na akampandisha mtuhumiwa Sabaya mahakamani kwa nini kesi ichelewe?

Acheni kupokea presha za wanasiasa.

Wakati walioota ndoto wakisoteshwa miezi rumande bila dhamana mlikumbuka kuikumbusha mahakama kuwatendea haki?

Au huu sasa ndiyo mkuki kwa binadamu?
 
Wala usiumize kichwa ameshatiwa ndani ukitaka kujua ukweli angalia wanachana wa CCM wanao udhulia hapa mahakaman walio upandewake maana hata wajumbe wamemkimbia ndio ujue tayari.
 
Mahakama ni chombo huru, na hakitakiwi kuingiliwa na kutumika kisiasa.

Mtuhuliwa Sabaya ameshatinga kizimbani. Ushahidi upo tayari na victims wanaodai kutendewa hayo makosa wapo kama mashahidi wakuu sasa habari za kuahirisha wiki mbili za nini?

Wananchi tuna kiu kikubwa ili tupate ukweli hivyo fanyeni haraka ndani ya mwezi kesi ziwe zimeisha. Sikilizeni mashahidi watatu kila wiki mfululizo na kisha tupate majibu.

Dpp anadai amekamilisha ushahidi na akampandisha mtuhumiwa Sabaya mahakamani kwa nini kesi ichelewe?

Acheni kupokea presha za wanasiasa.
We taga tulia.
Sasa ni zamu yenu nyinyi majambazi ambao mikono yenu imejaa damu za watu wasiona hatia kuona cha mtema kuni!

Kuna watu wako mahabusi zaidi ya mwaka,kesi zao zinaendelea kusikilizwa na kauahirishwa,haujawahi kupaza sauti.
Sasa jambazi mwenzio ameingia kwenye 18 za vyombo vya haki unaweweseka!
 
Hivi karibuni imezuka tabia ya kukwepa majukumu ambayo inapaswa kupingwa kwa hali na mali ndani ya nchi yetu.

Vyama vya upinzani hasa CHADEMA kila wanapopata matatizo kisingizio chao ni hayati rais Magufuli,!

CHADEMA wamesambaza mitandaoni vijana wa kumtetea Mbowe.

Kazi yao ni kuwapumbaza wanachama na wananchi kwa ujumla waone tatizo la CHADEMA ni Magufuli wakati Magufuli hayupo na hakuwahi kuongoza chadema . Kila uzi humu JamiiForums lazima vijana wa Mbowe wataje na kutukana mwendazake!

Mwenyekiti na aliyekabidhiwa usukani wa kuiongoza CHADEMA ni Mbowe lakini hawataki aulizwe chochote.!!!

Kutokana na CHADEMA kufa kila mahali kwa kupoteza mvuto na kukimbiwa na madiwani na wabunge ,viongozi wamebuni mbinu ya kukwepa aibu hii kwa kujificha kwa hayati rais Magufuli!

Viongozi wa CHADEMA wakihojiwa kwa nini chama hakina ofisi watakujibu tatizo ni Magufuli.

Tundu Lissu akiulizwa kuwa yeye ni makamu mwenyekiti wa CHADEMA lakini kwa nini hafanyi kazi za Chadema? Bavichaa watakujibu chanzo ni Magufuli!

Bavicha ukiwauliza kwa nini kamati kuu ya CHADEMA wanafanyia vikao vyao kwenye hoteli za kitalii na kuacha ukumbi wa ufipa ? Utajibiwa tatizo ni hayati Magufuli!

CHADEMA wakiulizwa kwa nini kwenye uchaguzi mliwatosa makada wenu waliokipigania chama, mkabadili gia angani na kutuletea mgombea urais ambaye yupo kwenye list of shame (orodha ya chadema ya mafisadi wakuu wa nchi )? Utajibiwa tatizo ni mwendazake!

BAVICHA na vijana wote mliosambazwa mitandaoni kumtetea Mbowe ,tambueni anayepaswa kuulizwa kuhusiana na mabaya na mazuri ya CHADEMA ni Mbowe na Tundu Lissu hao ndio viongozi wenu mliowapa ridhaa ya kuwaongoza kwa sasa.

Hayati Rais Magufuli hakuwahi kuwa kiongozi wa chadema ,hivyo kukaa mnamhusisha na kuporomoka kwa chama chenu ni kupoteza muda na kuonyesha uzwazwa wa hali ya juu.

Kuporomoka kwa CCM wataulizwa Samia na Chongolo na lazima watoe majibu kwa sababu wao ndiyo viongozi wa CCM kwa sasa.

Kwanini nyinyi hamtaki kupata majibu kwa Mbowe badala yake mnataka majibu yatoke kwa Magufuli?

Kwamba hata kwenye uteuzi au maswahiba ya Sabaya mwendazake asihusishwe?

Basi mwendazake yaliwahi kuwa rais wa awamu ya tano.
 
Mahakama ni chombo huru, na hakitakiwi kuingiliwa na kutumika kisiasa.

Mtuhuliwa Sabaya ameshatinga kizimbani. Ushahidi upo tayari na victims wanaodai kutendewa hayo makosa wapo kama mashahidi wakuu sasa habari za kuahirisha wiki mbili za nini?

Wananchi tuna kiu kikubwa ili tupate ukweli hivyo fanyeni haraka ndani ya mwezi kesi ziwe zimeisha. Sikilizeni mashahidi watatu kila wiki mfululizo na kisha tupate majibu.

Dpp anadai amekamilisha ushahidi na akampandisha mtuhumiwa Sabaya mahakamani kwa nini kesi ichelewe?

Acheni kupokea presha za wanasiasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums-1686024478.jpg
JamiiForums385549355.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahakama ni chombo huru, na hakitakiwi kuingiliwa na kutumika kisiasa.

Mtuhuliwa Sabaya ameshatinga kizimbani. Ushahidi upo tayari na victims wanaodai kutendewa hayo makosa wapo kama mashahidi wakuu sasa habari za kuahirisha wiki mbili za nini?

Wananchi tuna kiu kikubwa ili tupate ukweli hivyo fanyeni haraka ndani ya mwezi kesi ziwe zimeisha. Sikilizeni mashahidi watatu kila wiki mfululizo na kisha tupate majibu.

Dpp anadai amekamilisha ushahidi na akampandisha mtuhumiwa Sabaya mahakamani kwa nini kesi ichelewe?

Acheni kupokea presha za wanasiasa.
Unaogopa kuoga mzee
Oga na vidume wenzako

Ova
 
Hahaha aise nlijua tu
Maana siku ya kwanza ukingia jela
Alafu kama ww nje uraiani ulikuwa unajifanya
Mjuaji lazima ukutane na balaa hilo
Huko unakutana na utawala mwingine

Ova
Huwa wanajuaje...kunakuwa na tv magereza wanaangalia taarifa ya habari?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mleta uzi alianza kudai Sabaya mzalendo hawezi kutenda makosa hayo kama ni kweli aonyeshwe ushahidi.

Akaonyeshwa video.

Akasema ni uongo kama kweli apelekwe mahakamani.

Amepelekwa mahakamani.

Sasa hivi anasema kesi isichukue muda mrefu.

Na hii wish ikiwa granted sijui itakuaje.
 
Mahakama ni chombo huru, na hakitakiwi kuingiliwa na kutumika kisiasa.

Mtuhuliwa Sabaya ameshatinga kizimbani. Ushahidi upo tayari na victims wanaodai kutendewa hayo makosa wapo kama mashahidi wakuu sasa habari za kuahirisha wiki mbili za nini?

Wananchi tuna kiu kikubwa ili tupate ukweli hivyo fanyeni haraka ndani ya mwezi kesi ziwe zimeisha. Sikilizeni mashahidi watatu kila wiki mfululizo na kisha tupate majibu.

Dpp anadai amekamilisha ushahidi na akampandisha mtuhumiwa Sabaya mahakamani kwa nini kesi ichelewe?

Acheni kupokea presha za wanasiasa.
unaharakisha vyombo vya sheria nchini kufanya kazi unavyotaka ww? ww kama nani?
waache wafanye kazi kwa utulivu bila pressure au matakwa ya mtu yoyote.
 
Hivi karibuni imezuka tabia ya kukwepa majukumu ambayo inapaswa kupingwa kwa hali na mali ndani ya nchi yetu.

Vyama vya upinzani hasa CHADEMA kila wanapopata matatizo kisingizio chao ni hayati rais Magufuli,!

CHADEMA wamesambaza mitandaoni vijana wa kumtetea Mbowe.

Kazi yao ni kuwapumbaza wanachama na wananchi kwa ujumla waone tatizo la CHADEMA ni Magufuli wakati Magufuli hayupo na hakuwahi kuongoza chadema . Kila uzi humu JamiiForums lazima vijana wa Mbowe wataje na kutukana mwendazake!

Mwenyekiti na aliyekabidhiwa usukani wa kuiongoza CHADEMA ni Mbowe lakini hawataki aulizwe chochote.!!!

Kutokana na CHADEMA kufa kila mahali kwa kupoteza mvuto na kukimbiwa na madiwani na wabunge ,viongozi wamebuni mbinu ya kukwepa aibu hii kwa kujificha kwa hayati rais Magufuli!

Viongozi wa CHADEMA wakihojiwa kwa nini chama hakina ofisi watakujibu tatizo ni Magufuli.

Tundu Lissu akiulizwa kuwa yeye ni makamu mwenyekiti wa CHADEMA lakini kwa nini hafanyi kazi za Chadema? Bavichaa watakujibu chanzo ni Magufuli!

Bavicha ukiwauliza kwa nini kamati kuu ya CHADEMA wanafanyia vikao vyao kwenye hoteli za kitalii na kuacha ukumbi wa ufipa ? Utajibiwa tatizo ni hayati Magufuli!

CHADEMA wakiulizwa kwa nini kwenye uchaguzi mliwatosa makada wenu waliokipigania chama, mkabadili gia angani na kutuletea mgombea urais ambaye yupo kwenye list of shame (orodha ya chadema ya mafisadi wakuu wa nchi )? Utajibiwa tatizo ni mwendazake!

BAVICHA na vijana wote mliosambazwa mitandaoni kumtetea Mbowe ,tambueni anayepaswa kuulizwa kuhusiana na mabaya na mazuri ya CHADEMA ni Mbowe na Tundu Lissu hao ndio viongozi wenu mliowapa ridhaa ya kuwaongoza kwa sasa.

Hayati Rais Magufuli hakuwahi kuwa kiongozi wa chadema ,hivyo kukaa mnamhusisha na kuporomoka kwa chama chenu ni kupoteza muda na kuonyesha uzwazwa wa hali ya juu.

Kuporomoka kwa CCM wataulizwa Samia na Chongolo na lazima watoe majibu kwa sababu wao ndiyo viongozi wa CCM kwa sasa.

Kwanini nyinyi hamtaki kupata majibu kwa Mbowe badala yake mnataka majibu yatoke kwa Magufuli?
Umeandika gazeti zima kueleza matatizo ya CHADEMA, nimesoma kidogo, kwa ufupi, CHADEMA wakiacha hayo yote yatasaidia mahakama kuendesha kesi ya Sabaya fasta kama anavyo taka mwana-legasia mwenzako?! Itazuia kina Sabaya kutumia ofisi za uma kama kichaka cha kufanyia ujambazi?!
 
Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
apewe tuzo kwa utov wa nidham?
the way unaelezea is as if kwamba inaruhusiwa kufanya madudu as long anafanyia ccm?
kwamba ccm tu ndio wanaruhusiwa kufanya watakavyo nchi hii na sheria haitowagusa?

hakuna kitu kama hiko. yeye ni mtanzania kama watanzania wengine. sheria ita apply
 
Back
Top Bottom