Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Kwahio ni ka-utaratibu fulani Je kautaratibu hako ni kazuri..., au ni kushushiana hadhi kwa mtuhumiwa kufanywa kama mharifu ? Samahani hata ilivyotokea kwa kina Rugemalila na yule kibaka wa kuku na simu sikusema ila sio kwamba nilifurahishwa..., Hii yote ni kujitayarisha na sisi potential watuhumiwa (mimi, wewe na yule) siku yakitukuta tupelekane kistaarabu mpaka pale makosa yetu yakithibitishwa ndio tunyooshwe..., ofcourse legally yaliyomkuta Rugemalila sio ubinadamu (hata kama ni fisadi, angekuwa proven guilty haraka kistaarabu then aadhibiwe ipasavyo)...
Nadhani sasa Rugemalila na wengine watatendewa haki. Hicho kipindi cha miaka mitano (5) kila mmoja anakijua kimepita vipi, ashukuriwe Mungu kwani ndiye muweza wa yote.
 
Kama ni hivyo basi naye"Jiwe" naye amevunja record kwa kuajiri mtu au watu wa design hiyo toka Uhuru!
 
Yote hiyo ni nguvu ya matajiri,hapo hela zishamwagwa kote kuhakikisha anatiwa hatiani.Kama kweli makosa anayotuhumiwa nayo aliyatenda awajibike lakini kama kweli ni nguvu ya matajiri mungu amsimamie
 
Mwalimu Kashasha anasemaje juu Bashite ......kwako Mwl .....hiyo inaitwaje
 
Kada mkongwe wa CCM mzee Mgaya anasema aliyekuwa DC wa Hai mh Ole sabaya amevunja rekodi ya uongozi wa Umma kwa kutuhumiwa kufanya ujambazi wa kutumia silaha akiwa Ofisini kama Mwenyekiti wa Mlinzi na Usalama wa Wilaya.

Hii haijawahi kutokea tokea nchi ipate uhuru 1961.

Nchini China kosa kama hili adhabu yake imeandikwa ukutani ukishatiwa hatiani kila Mwananchi anaijua, amemalizia Mgaya.

Ee Msamehe huyu kijana hakujua alilokuwa anatenda.

Jumaa kareem!
Sitaki kuamini for 5+ years alikua kipofu bubu na kiziwi asielewe yaendeleayo nchini🤮🤮
 
Back
Top Bottom