Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Unajua kusoma?unaharakisha vyombo vya sheria nchini kufanya kazi unavyotaka ww? ww kama nani?
waache wafanye kazi kwa utulivu bila pressure au matakwa ya mtu yoyote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua kusoma?unaharakisha vyombo vya sheria nchini kufanya kazi unavyotaka ww? ww kama nani?
waache wafanye kazi kwa utulivu bila pressure au matakwa ya mtu yoyote.
najua kuchoraUnajua kusoma?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mataga wajinga sanaPumbafu huna lolote kibwengu wew,mbona mlikua mnamshangilia kama mazombie?
Nadhani sasa Rugemalila na wengine watatendewa haki. Hicho kipindi cha miaka mitano (5) kila mmoja anakijua kimepita vipi, ashukuriwe Mungu kwani ndiye muweza wa yote.Kwahio ni ka-utaratibu fulani Je kautaratibu hako ni kazuri..., au ni kushushiana hadhi kwa mtuhumiwa kufanywa kama mharifu ? Samahani hata ilivyotokea kwa kina Rugemalila na yule kibaka wa kuku na simu sikusema ila sio kwamba nilifurahishwa..., Hii yote ni kujitayarisha na sisi potential watuhumiwa (mimi, wewe na yule) siku yakitukuta tupelekane kistaarabu mpaka pale makosa yetu yakithibitishwa ndio tunyooshwe..., ofcourse legally yaliyomkuta Rugemalila sio ubinadamu (hata kama ni fisadi, angekuwa proven guilty haraka kistaarabu then aadhibiwe ipasavyo)...
Hata sasa hivi pia nashangilia!Pumbafu huna lolote kibwengu wew,mbona mlikua mnamshangilia kama mazombie?
Nshakwambia k.mamako sitaki use.ge Sina muda wa kupoteza muda na mwanamkempumbavu ni huyu hapa
Nadhani umemuona aliyepaswa kufunga bakuli.
Pathetic fool
Umempelekea mumeo chai hapo Kisongo?Nshakwambia k.mamako sitaki, nSina muda wa kupoteza muda na mwanamke
Hilo litakuwa Danga la SabayaUmempelekea mumeo chai hapo Kisongo??
Nyie mijitu mmejaa unafiki sana. As long mnaenda chooni mpo tayar kufanya loloteHata sasa hivi pia nashangilia!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alikua anataka kumchakata nandy bila maelewano. UwiiiiiihHuyu mwamba alikua miyeyusho sana
Sitaki kuamini for 5+ years alikua kipofu bubu na kiziwi asielewe yaendeleayo nchini🤮🤮Kada mkongwe wa CCM mzee Mgaya anasema aliyekuwa DC wa Hai mh Ole sabaya amevunja rekodi ya uongozi wa Umma kwa kutuhumiwa kufanya ujambazi wa kutumia silaha akiwa Ofisini kama Mwenyekiti wa Mlinzi na Usalama wa Wilaya.
Hii haijawahi kutokea tokea nchi ipate uhuru 1961.
Nchini China kosa kama hili adhabu yake imeandikwa ukutani ukishatiwa hatiani kila Mwananchi anaijua, amemalizia Mgaya.
Ee Msamehe huyu kijana hakujua alilokuwa anatenda.
Jumaa kareem!