Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mengi waliyofanikisha ni yapi kwa mfano.
Hakika ! lawama kwa KikweteWatanzania mjifunze Kutowapa washamba madaraka tena
Ni mwendo wa kusaga kunguni tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mnaofanya utetezi wa Ole Sabaya kumbukeni hajakamatwa na kushtakiwa peke yake. Mabaunsa wake, vijana wenzake watano waliokuwa wanamlinda kikamilifu na kushirikiana naye katika kazi zake za kila siku nao wamekamatwa na kushtakiwa pamoja naye.Hao nao wanategemea utetezi wenu.
Chondechonde watetezi, msiwasahau hao vijana watano muhimu kwake Ole Sabaya ambao kwa pamoja waliweza kufanikisha mengi mkoani Kilimanjaro na Arusha.
unamaanisha wate walioko hai ni chadema?Ndugu, fahamu kwamba Sabaya ndiyo alikuwa main engine ya kumng'oa Mbowe pale Hai. Mbowe ni mwenyekiti wa chama chenye wafuasi wengi mitandaoni.
Hivyo basi Sabaya amekuwa adui na kuchukiwa na wengi sababu tu ya kumwangusha Mbowe. Hilo liliwauma sana CHADEMA na ndiyo maana wanamchukia Sabaya.
Yeye alikuwa na busara?Mh lakini hapo utawala wajue huyu pamoja na yote alikuwa kiongozi kwa watu kumtenda hivi mh sijui Kama NI busara
Tupo pamoja bossMwenye Majina ya Mawakili wote 'wanaomtetea' Ole Sabaya naomba aniwekee hapa tafadhali kwani Kesho naenda Kumtembelea 'Mtaalam' wangu wa ' Kipemba ' ili ikiwezekana wawe Vipofu au Wehu na ikiwezekana wawe Mashoga au sehemu zao za Siri Kupotea na Haja zao Ndogo na Kubwa watakuwa wanazitolea Midomoni na Masikioni mwao daima.
Na huyu 'Mtaalam' huwa hatanii kabisa.
Kila mtu ana haki ya kutetewa kisheria, la sivyo wangeshaingizwa gerezani.Mwenye Majina ya Mawakili wote 'wanaomtetea' Ole Sabaya naomba aniwekee hapa tafadhali kwani Kesho naenda Kumtembelea 'Mtaalam' wangu wa ' Kipemba ' ili ikiwezekana wawe Vipofu au Wehu na ikiwezekana wawe Mashoga au sehemu zao za Siri Kupotea na Haja zao Ndogo na Kubwa watakuwa wanazitolea Midomoni na Masikioni mwao daima.
Na huyu 'Mtaalam' huwa hatanii kabisa.