Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Wahuni wa mtandaoni leo wamefikia hatua ya kuamua nani mtuhumiwa nani anatakiwa kwenda jela nani anatakiwa kuteuliwa nani anafaa nafasi gani

Wakati hayo mambo yanayofanywa na huyo Mkasikazini mwenzao mamlaka zilizomtuma si zilikuwepo? Hata Rais wa sasa si alikuwepo tena ni Mshauri mkuu wa mamlaka ya uteuzi?

Je, alichukua hatua gani kuzuia? Kwa maana hyo JPM asingekufa huyu muhuni angeendelea kubaka, kutesa, kudhulumu watu na yeye akiwepo?
 
Sabaya ni jambazi
IMG_20200112_215709.jpg
 
Wahuni wa mtandaoni leo wamefikia hatua ya kuamua nani mtuhumiwa nani anatakiwa kwenda jela nani anatakiwa kuteuliwa nani anafaa nafasi gani

Wakati hayo mambo yanayofanywa na huyo Mkasikazini mwenzao mamlaka zilizomtuma si zilikuwepo? Hata Rais wa sasa si alikuwepo tena ni Mshauri mkuu wa mamlaka ya uteuzi? Je alichukua hatua gani kuzuia? Kwa maana hyo JPM asingekufa huyu muhuni angeendelea kubaka ,kutesa,kudhulumu watu na yeye akiwepo?
Tulieni dawa iwaingie, Samia anataka ahakikishe majambazi wote mnanyea ndoo, mmekichafua chama kwa muda mrefu
 
Wahuni wa mtandaoni leo wamefikia hatua ya kuamua nani mtuhumiwa nani anatakiwa kwenda jela nani anatakiwa kuteuliwa nani anafaa nafasi gani

Wakati hayo mambo yanayofanywa na huyo Mkasikazini mwenzao mamlaka zilizomtuma si zilikuwepo? Hata Rais wa sasa si alikuwepo tena ni Mshauri mkuu wa mamlaka ya uteuzi? Je alichukua hatua gani kuzuia? Kwa maana hyo JPM asingekufa huyu muhuni angeendelea kubaka ,kutesa,kudhulumu watu na yeye akiwepo?
Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki chadema ambao hawana jema kwa nchi yetu.

Chadema kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu. Ndiyo tuwasikilize? Hapana
 
Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki chadema ambao hawana jema kwa nchi yetu.

Chadema kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu. Ndiyo tuwasikilize? Hapana
Nasikitikia sana Chadema wanapoipeleka nchi leo chadema wameingia mpk kuvunja haki za kikatiba za uhuru wa kuchagua yani wanataka watu wote wafate ideology yao ukiwa tofauti tu ww ni Adui wa Taifa Hamas na Ezibollah walianza hv hv stage 1 chama cha siasa ,stage 2 wakaanza kuwa wanaharakati ,kulazimisha watu waamini wao ndo wakombozi stage 3 vyama vya kigaidi Chadema wapo Stage 2 (wanaharakati)
 
Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.

Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake. Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa ,sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.



#Justice for SABAYA
#Free SABAYA
Chato ni ya Ngapi?
 
Nasikitikia sana Chadema wanapoipeleka nchi leo chadema wameingia mpk kuvunja haki za kikatiba za uhuru wa kuchagua yani wanataka watu wote wafate ideology yao ukiwa tofauti tu ww ni Adui wa Taifa Hamas na Ezibollah walianza hv hv stage 1 chama cha siasa ,stage 2 wakaanza kuwa wanaharakati ,kulazimisha watu waamini wao ndo wakombozi stage 3 vyama vya kigaidi Chadema wapo Stage 2 (wanaharakati)
Kabisa mkuu
 
This show that How excellence is your ignorance is...
Achana na kuipandisha Hai kwenye rank nzuri kiuchumi ww mambo aliyokua anawafanyia wana hai ulikua unaona n ya Haki?

JPEG_20210607_134507_8418349569202910340.jpg
 
Back
Top Bottom