Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
MATAGA mna hali ngumu sana ...mkademe nzobhe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We Veronica France unatapatapa sanaHatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya...
Tulieni dawa iwaingie, Samia anataka ahakikishe majambazi wote mnanyea ndoo, mmekichafua chama kwa muda mrefuWahuni wa mtandaoni leo wamefikia hatua ya kuamua nani mtuhumiwa nani anatakiwa kwenda jela nani anatakiwa kuteuliwa nani anafaa nafasi gani
Wakati hayo mambo yanayofanywa na huyo Mkasikazini mwenzao mamlaka zilizomtuma si zilikuwepo? Hata Rais wa sasa si alikuwepo tena ni Mshauri mkuu wa mamlaka ya uteuzi? Je alichukua hatua gani kuzuia? Kwa maana hyo JPM asingekufa huyu muhuni angeendelea kubaka ,kutesa,kudhulumu watu na yeye akiwepo?
😂😂😂😂😂😂 Samia ameamia CCM juzi ?Tulieni dawa iwaingie, Samia anataka ahakikishe majambazi wote mnanyea ndoo, mmekichafua chama kwa muda mrefu
Dikteta magufuli aliiharibu nchi na genge lake,😂😂😂😂😂😂 Samia ameamia CCM juzi ?
Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki chadema ambao hawana jema kwa nchi yetu.Wahuni wa mtandaoni leo wamefikia hatua ya kuamua nani mtuhumiwa nani anatakiwa kwenda jela nani anatakiwa kuteuliwa nani anafaa nafasi gani
Wakati hayo mambo yanayofanywa na huyo Mkasikazini mwenzao mamlaka zilizomtuma si zilikuwepo? Hata Rais wa sasa si alikuwepo tena ni Mshauri mkuu wa mamlaka ya uteuzi? Je alichukua hatua gani kuzuia? Kwa maana hyo JPM asingekufa huyu muhuni angeendelea kubaka ,kutesa,kudhulumu watu na yeye akiwepo?
Jambazi wa kwanza ni mbowe.Tulieni dawa iwaingie, Samia anataka ahakikishe majambazi wote mnanyea ndoo, mmekichafua chama kwa muda mrefu
Justice for Sabaya!Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya...
Lile ni jangiliJustice for Sabaya!
Sabaya lazima anyee ndoo kwa dhuluma alizowafanyia binadamu wenzie, ujambazi na mauaji!
Nasikitikia sana Chadema wanapoipeleka nchi leo chadema wameingia mpk kuvunja haki za kikatiba za uhuru wa kuchagua yani wanataka watu wote wafate ideology yao ukiwa tofauti tu ww ni Adui wa Taifa Hamas na Ezibollah walianza hv hv stage 1 chama cha siasa ,stage 2 wakaanza kuwa wanaharakati ,kulazimisha watu waamini wao ndo wakombozi stage 3 vyama vya kigaidi Chadema wapo Stage 2 (wanaharakati)Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki chadema ambao hawana jema kwa nchi yetu.
Chadema kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu. Ndiyo tuwasikilize? Hapana
Chato ni ya Ngapi?Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.
Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake. Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa ,sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.
#Justice for SABAYA
#Free SABAYA
Kabisa mkuuNasikitikia sana Chadema wanapoipeleka nchi leo chadema wameingia mpk kuvunja haki za kikatiba za uhuru wa kuchagua yani wanataka watu wote wafate ideology yao ukiwa tofauti tu ww ni Adui wa Taifa Hamas na Ezibollah walianza hv hv stage 1 chama cha siasa ,stage 2 wakaanza kuwa wanaharakati ,kulazimisha watu waamini wao ndo wakombozi stage 3 vyama vya kigaidi Chadema wapo Stage 2 (wanaharakati)