Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Hii Kuchuchumaa pia ipo kwenye sheria ?

Sio kwamba namtetea jamaa ila two wrongs does not make a right...., Huyu Jamaa adhibitiwe na kuhukumiwa kisheria na ikibainika sio tu kwamba achuchumae hata kama sheria inasema apigwe bakora na apigwe..., ila kabla ya hapo nadhani hii ni wrong precedent
Wewe wasema hivyo kwa kuwa hujui, laiti ungekuwa mhanga wake....
 
Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Ovyo Sana
 
Hayo mashtaka yake sipati picha.

1. Kubaka.
2. Kudhuru mwili (shambulio yule diwani)
3. Kulawiti.
4. Unlawful trespass (Aishi Hotel)
5. Kufanya vurugu kwenye hoteli kule Machame.
6. Madai- Kula,kunywa, na kulala hotelini bila kulipa, saloon, maduka ya nguo, n.k
7. Kulazimisha kulipwa pesa kwasababu ya cheo/nafasi yake.

Kuliko asubiri siku ya hukumu bora aombe Mungu amchukue.
Kufa hafi ila cha moto atakiona!
 
Hakika Mama ana penda haki yani Mama asikie jamaa alikuwa na baka na Kufiii wake za watu!!
Mama kama Mama lazima itamtoa machozi!!
Aliteka wale vijana kipindi cha kura akaenda kuwanyia ukatili Arusha!
Jamaa ni zaidi ya shetani!!
kwa hili Mama Samia nina kuombea Dua njema kwa Muumba wa mbingu na aridhi!
 
Back
Top Bottom