Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Kukosekana kwa hili shitaka ni wazi kabisa Sabaya ana kwenda kuwabwaga mahakamani maana hivi kweli watu watumie silaha kuiba simu na elfu 35,000 hahahaha

Kutumia vibaya ofisi ya umma ,kura rushwa ya milioni 90? Wizi wa kutumia silaha clip ipo mkuu na walalamikaji wapo,diwani alikuwa anataka kumtetea mwananchi wake ndio genge la sabaya likaamua kumtisha kwa silaha na diwani aliaambiwa aruke kwenye gari akimbie ila alijiongeza maana angekimbia tu wangemlima "njugu".

Sabaya hatoki leo wala kesho....Mashitaka yake ni hatari halafu plea bargain jiwe aliiweka kusudi kwa ajili ya kuwapora mali wafanyabiashara ila mama mambo ya plea bargain fedha za dhulumati hana...Sabaya anakaa ndani tu.
 
Majasusi uchwara wa mitandaoni walimuandama sana huyu Sabaya.

Seems like there is a power struggle after the death of John Pombe Joseph Magufuli (the allegedly assassinated president).

Majitu yanatifuana tu huko Tanzania!

Inawezekana vipi shutuma za Twirrah ziwe ndio msingi wa mashtaka?

Any lunatic can say anything on internet!

Inawezekanaje mahakama ikawa ni chombo cha kupeleka mashtaka ya wendawazimu wa mitandaoni?

Ujinga mtupu!
May be he was assassinated by Satan not human being
 
Aliyetembeza bakora Mbeya kapelekwa kwenye jiji kubwa zaidi, Mwanza.
yule alitembeza bakora mbeya, malipo yake ni kama hakutembezewa bakora na mkewe, basi nae akae mkao wa kulipwa.

Malipizi ni hapa hapa duniani. Toa fundisho kwa sabaya na wengine wengi.
 
Huyu bora akutwe na mashitaka akafungwe watu wataridhika akirudi huku uraiani atapotezwa kwasababu wengine aliowagusa nao ma-mafia vile vile...kwakuwa mtetezi wake hayupo watampa shida huku uraiani,hatokuwa na kiburi kama kile kwahiyo watamsurubu tu...
 
Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Unakumutwa wewe. Basi mfuate huko mahabusu mkaolewe wote.
 
Kwa kifupi serikali aitakiwi kuwa na tabia za kusutana, kumuonyesha kiongozi kwa namna hiyo ni kama inashabikia ushambenga huku wakijua Sabaya katika nafasi yake alijitengezea maadui wengi kwa sababu mbalimbali (zingine hizo hasira za watu wana haki nazo).

Kitendo cha kumshitaki ni salamu tosha kwa wengine kuna kesho, ila kudhalilishana ni unnecessary.

Asilimia kubwa ya post za humu ni moja sababu mahususi kwanini mtuhumiwa apewe walau heshima au kama atakutwa katika hali ukiya udhaifu iwe kwa bahati mbaya.

Lakini kitendo cha serikali yenyewe kutengeneza mazingira ya kudhalilisha mahabusu ambae alikuwa kiongozi na katika muda wake wa uongozi ametengeneza maadui wa kisiasa ni unethical to say the least.

Anyway huo ndio mtazamo wangu ata angekuwa ameshitakiwa Mbowe, ningetaka apewe heshima yake sio kumuweka kwenye mazingira ambayo baadhi ya wana CCM watumie picha kumdhalilisha.

Baada ya kusema hayo simlazimishi mtu kukubaliana na mtazamo wangu, maana kuna mijitu imeshaanza kunitukana khaa, kwani watu atuwezi pishana mitazamo bila ya matusi. Mijitu mengine sijui ikoje.
Auae kwa upanda atauwawa kwa upanga ndio shart lake sio sisi ndio vitabu vinavyosema!Tulia Mungu ajidhihilishe kwa ubaya kama alitenda!Kama hakutenda upanga utarudi na fidia atapata.Kuwa mpole ni mtuhumiwa bado.
 
Hii Kuchuchumaa pia ipo kwenye sheria ?

Sio kwamba namtetea jamaa ila two wrongs does not make a right...., Huyu Jamaa adhibitiwe na kuhukumiwa kisheria na ikibainika sio tu kwamba achuchumae hata kama sheria inasema apigwe bakora na apigwe..., ila kabla ya hapo nadhani hii ni wrong precedent
Rugemalila na Habinder Sing Seth na wengine ambao hupelekwa mahakamani, huchuchumaa hivyo baada tu ya kutelemka kwenye gari na wakati wa kurudishwa rumande kabla ya kupanda gari. Mtuhumiwa ukiwa hauko kwenye motion (hutembei) unachuchumaa, hiyo ni kuimarisha ulinzi watuhumiwa wasikimbie. Watu wakiwa wamechuchuma hawawezi kukimbia. Mtu utakaye anza kusimama wakati uko kwenye amri ya kuchuchumaa utaonekana kwamba kuna jambo unataka kulifanya kuliko mkiwa mmesimama siyo rahisi kumgundua mtu mwenye nia ya kukimbia.
 
Kama kawaida naona watu wengi wanashangilia Sabaya kufikishwa Mahakamani. Inawezekana Kitakachoendelea au Mwisho wake ukawashangaza wanaoshangilia sasa.
 
Kada mkongwe wa CCM mzee Mgaya anasema aliyekuwa DC wa Hai mh Ole sabaya amevunja rekodi ya uongozi wa Umma kwa kutuhumiwa kufanya ujambazi wa kutumia silaha akiwa Ofisini kama Mwenyekiti wa Mlinzi na Usalama wa Wilaya.

Hii haijawahi kutokea tokea nchi ipate uhuru 1961.

Nchini China kosa kama hili adhabu yake imeandikwa ukutani ukishatiwa hatiani kila Mwananchi anaijua, amemalizia Mgaya.

Ee Msamehe huyu kijana hakujua alilokuwa anatenda.

Jumaa kareem!
 
Ishi na watu vizuri , sponsa hufa.
.......

Anachopitia ex-mheshimiwa [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
IMG_20210604_175513.jpg
 
Kama kawaida naona watu wengi wanashangilia Sabaya kufikishwa Mahakamani. Inawezekana Kitakachoendelea au Mwisho wake ukawashangaza wanaoshangilia sasa.
Lakini atakuwa amejifunza msemo wa wahenga kwamba cheo ni dhamana na kile kiapo ni cha muhimu!Mungu anaona.
 
Back
Top Bottom