Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Vipi rekodi ya Mbunge kupigwa risasi akiwa bungeni Dodoma na kunyimwa haki zake za kibunge kwa kumtuhumu kutoonekana katika vikao vya bunge bila taarifa wakati spika anafahamu kuwa alipigwa risasi na yeye binafsi kushiriki kumpakia ndani ya ndege kupelekwa hospitali Nairobi!

Mzee Mgaya anasemaje?
 
Hata wakijitokeza, kesi ya ubakaji ni pale ukikutwa red handed tofauti na hapo labda awe ni mtoto. Otherwise kesi ya kubaka ni ngumu sana kuthibika, hivyo hata wakijitokeza mashahidi sasa hivi ni kazi bure. Labda ndiyo maana hata TAKUKURU au DPP wameamua kuondoa tuhuma za ubakaji na hapo ndiyo utaelewa kwamba this time they mean business
Muda huu utakuwa analia sana pale Kisongo na amelala chali maana akilala kifudifudi anaogopa watu wataichana jeans
 
Alikufanyia unyama gani?

Funguka sheria ichukue mkondo wake bwashee!
Ndio maana nimesema peleka unafiki mbali ! Ina maana mlikua hamyaoni aliyofanya ndio leo mjitokeze?

Alipokua anafanya mambo ya ajabu DAB akijua ana backup na ndio huyu bwana mdogo aliendeleza so mkimtia hatiani basi na wengine wafuate
 
Muda huu utakuwa analia sana pale Kisongo na amelala chali maana akilala kifudifudi anaogopa watu wataichana jeans
Aliowaweka ndani huyu weka ndani watamkaribisha.Ndie DC wa kwanza kwenda jela.Pili ile kamati ya ulinzi ya wilaya yote inatakiwa iwajibishwe inakuaje wanamuacha anafanya uhalifu wote ule na huku wakimpa na askari kabisa.
 
Huyu bora akutwe na mashitaka akafungwe watu wataridhika akirudi huku uraiani atapotezwa kwasababu wengine aliowagusa nao ma-mafia vile vile...kwakuwa mtetezi wake hayupo watampa shida huku uraiani,hatokuwa na kiburi kama kile kwahiyo watamsurubu tu...
Makonda mlisema akitoka tu ofisini labda aishi angani. Huyo hapo tena hata aliekuwa ana mkingia kifua hayupo!

Sabaya atatoka na mtaishia kumwangalia tu
 
Kada mkongwe wa CCM mzee Mgaya anasema aliyekuwa DC wa Hai mh Ole sabaya amevunja rekodi ya uongozi wa Umma kwa kutuhumiwa kufanya ujambazi wa kutumia silaha akiwa ofisini kama mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya.

Hii haijawahi kutokea tokea nchi ipate uhuru 1961.

Nchini China kosa kama hili adhabu yake imeandikwa ukutani ukishatiwa hatiani kila mwananchi anaijua, amemalizia Mgaya.

Ee Msamehe huyu kijana hakujua alilokuwa anatenda.

Jumaa kareem!
Pumbavu kabisa wee Mama na huyo mumeo Mgaya.

Wakati Meko anawaendekeza hawa akina Sabaya na watu wanapiga kelele kuhusu mbovu yake mlikua kimya na hamkuwahi kupaza sauti..
Leo nyee nyee nyee.. pumbavu kabisa.

Asante MUNGU kwa kulifyekelea mbali Li Meko.
 
Kada mkongwe wa CCM mzee Mgaya anasema aliyekuwa DC wa Hai mh Ole sabaya amevunja rekodi ya uongozi wa Umma kwa kutuhumiwa kufanya ujambazi wa kutumia silaha akiwa ofisini kama mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya.

Hii haijawahi kutokea tokea nchi ipate uhuru 1961.

Nchini China kosa kama hili adhabu yake imeandikwa ukutani ukishatiwa hatiani kila mwananchi anaijua, amemalizia Mgaya.

Ee Msamehe huyu kijana hakujua alilokuwa anatenda.

Jumaa kareem!
Bado na yule mwenyekiti wenu wa uvccm mwambieni kabisa ajiandae.
 
Back
Top Bottom