Bashite akiminywa vizuri atawaja wasiojulikana wote na kutonyesha alipo Azory na benHayo ndiyo maombi ya watanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bashite akiminywa vizuri atawaja wasiojulikana wote na kutonyesha alipo Azory na benHayo ndiyo maombi ya watanzania
Uvccm wengi wao wanaingia kwenye hilo kundi wakiongozwa na mwenyekiti waoNdio maana niseme peleka unafiki ! Ina maana mlikua hamyaoni aliyofanya ndio leo mjitokeze?
Alipokua anafany mambo ya ajabu DAB akijua ana backup na ndio huyu bwana mdogo aliendeleza so mkimtia hatiani basi na wengine wafuate
Ndo kwisha habari yake atakaa ndani 6 yrs hadi ukamilike ushahidi sio leoMakonda mlisema akitoka tu ofisini labda aishi angani. Huyo hapo tena hata aliekuwa ana mkingia kifua hayupo!
Sabaya atatoka na mtaishia kumwangalia tu
Huyo lazima afungwe. Baba yake alinusika sasa msala wote kaja kuumalizia mtotoHata asipofungwa but karma imeplay mahali pake
Hilo la mbowe kuondoka pale kama mbunge ndio kumemletea Sabaya matatizo yote. Na mbaya zaidi waimelikazia hili, kipindi hiki cha rais mpya anayetafuta uungwaji mkono na makundi mbalimbali yakiwemo vyama vya siasa. Ila ukweli utajulikana.Hivi bado wachaga wana hasira baada ya mbowe kung'olewa ubunge?
Mimi nilifikiri hayo mambo yaliishaga tangu 2020?
Lakini hata hivyo, huyo mbowe kawa mbunge toka miaka ya 1990 huko, anapaswa kuachia ngazi apumzike!
Kila siku kugombea tu, amekuwa kama sultan! Duh.
Huu ndiyo muda muafaka sasa wa kuwajua hao wasiyo julikanaBashite akiminywa vizuri atawaja wasiojulikana wote na kutonyesha alipo Azory na ben
Wooote fyekeleeeeeeeeeaaaaaaa mbaaaaaaaaaaliiiiiiiiiiiiiiAliowaweka ndani huyu weka ndani watamkaribisha.Ndie DC wa kwanza kwenda jela.Pili ile kamati ya ulinzi ya wilaya yote inatakiwa iwajibishwe inakuaje wanamuacha anafanya uhalifu wote ule na huku wakimpa na askari kabisa.
Watajulikana tu si wanaishi na Jamii.Huu ndiyo muda muafaka sasa wa kuwajua hao wasiyo julikana
Mama Samia anatumia akili kubwa sana.Watajulikana tu si wanaishi na Jamii.
Afungwe tu hana faidaKwani zaidi ya hapo mnataka nn? Huyu hata asipofungwa hicho alichokipata kinamtosha.
Wengi tu. Twende mpaka kwa wale waliomng'oa meno Dr Ulimboka.Bado mwenzake Bashite
Tunzo ndo hiyo anaipata mkuu!!Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Aisee yaani tumuombe mama Samia atekeleze hii operationWengi tu. Twende mpaka kwa wale waliomng'oa meno Dr Ulimboka.
1. Rekebisha uandishi wako. Sema Jiwe ameweka historia ya kuwa Rais wa kwanza kufadhili uovu wa DC aliyemteuaEe Msamehe huyu kijana hakujua alilokuwa anaten