APEFACE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 5,316
- 9,596
Katika dunia wapo watu wamefanya mambo ya ajabu na deal mbaya mbaya ila ukimya wao umefanya wafiche yote hayo.
LAW NO:4. ALWAYS SAY LESS THAN NECESSARY
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika dunia wapo watu wamefanya mambo ya ajabu na deal mbaya mbaya ila ukimya wao umefanya wafiche yote hayo.
Kuwa na nidhamu acha matusi. Time sisi tuliisubiri kimyakimya nanyi kaeni kimya mkishindwa mji rudini kuchunga mbuziTime will tell sho.ga wewe.
Kule sumve kwenu kuna vichaka kibao kalimeTime will tell sho.ga wewe.
Umeona n swali Hilo mse.ge Wewe.Hili ndio jibu la swali???
Sabaya ni jambazi, uko ccm watu wamefurahi kupita maelezoChuki na visasi vinatengenezwa sasa hivi... ikija awamu nyingine yenye mlengo wa kushoto italipiza kisasi cha haya yanayofanyika kwa Sabaya. muangusha nchi uwa ni mwananchi.
Kwa hapa johnthebaptist anakula kona 90° kama vile hajaona!Hiyo inaitwa cycling tecnical flowback .kwako mwalimu kashasha
Sheria ni msumeno!Tayari kwa sababu kaenda jela kuolewa mmeshamgeuka kada mwenzenu wa Lumumba ?
Ukiona mtu hataki upumbavu kaa kimya only fact ndo ufungue bakuliSwali langu lilikuwa hili
Weka hapa hayo maandishi mawili wana JF wayachambue....
Mpumbavu ni wewe niliyekuuliza swali rahisi badala ya kujibu ukaporomosha matusi....
Pathetic fool
Mahakama haijathibitisha bado kama Sabaya ni jambazi au la. Mpaka sasa yeye ni mtuhumiwa tu....
...Ni jambazi kweli, unakuwa na mkuu wa wilaya asiyefuata Sheria, na mporaji
Kila siku hua nasema Sabaya ni Target ya serikali.Leo serikali imeruhusu rasimi Chanjo kuanza kutumika Tanzania lkn kwa akili kubwa watawala wakaona isiwe nongwa kutukanwa mitandaoni na kuhojiwa hojiwa ikabidi liingizwe hili suala la SABAYA kiukweli hakuna aliyethubutu tena kulipa kipaumbele suala la Kuruhusu Chanjo leo wengi wao wamejikita kufuatilia suala la SABAYA....