Pre GE2025 Arusha: Mama Fatma Karume amtembelea RC Makonda, aongoza dua nzito kumuombea kheri

Pre GE2025 Arusha: Mama Fatma Karume amtembelea RC Makonda, aongoza dua nzito kumuombea kheri

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Heh! Mama Fatma kafunga safari kutoka Zanzibar hadi Arusha kumpongeza tu au kuna ujumbe mwingine kampelekea?

Mama Fatma Karume amefika Mkoani Arusha mapema Jumamosi ya Disemba 21, 2024 na kuongoza Dua maalumu ya kumuombea Kheri, afya njema na mafanikio zaidi Mkuu wa Mkoa Paul Makonda akionesha kuridhishwa na Uwajibikaji wake na nia njema aliyoionesha kwa wananchi wa Mkoa wa Arusha tangu kuteuliwa kwake kuongoza Mkoa huo Machi 30, 2024.

Snapinsta.app_470894506_1964296977423544_8669718623105665661_n_1080.jpg
Snapinsta.app_470921221_507167219148582_4554098193668869062_n_1080(1).jpg

Snapinsta.app_470921221_507167219148582_4554098193668869062_n_1080.jpg
Snapinsta.app_470921425_8843150829125119_3437229055623150507_n_1080.jpg
 
Back
Top Bottom