Hv waislamu akili huwa wanapeleka wapi.... Waislamu wengi naona hawajaguswa na huu ushetani. Content ya uislamu naanza kuitilia mashaka seriously
Kwanini wasiitwe kwa vyeo vyao? Kama ingekuwa Mchungaji amebaka ingeandikwa "mchungaji flani abaka" au "wachungaji waua waumini"Habari za kichochezi hizi kuchochea chuki za kidini kuna ulazima gani kusema masheikh!! Ingesemwa waliolipua bomu kanisani na kuua inatosha.
Vp km waliokuwemo humo kanisani walijiokoa na pengine wana majereha yaliyopekea kuwa na ulemavu wa kudumu?Katika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wsmeonea, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa
Ipo ila haitekelezwiTanzania hakuna hukumu ya kifo , ni porojo tu
Kwanza kwanini ulipuwe?? Neno kulipuwa ni kumaanisha kuua sasa na sisi tunakupereka kwenye hiko kifo kama ni kitamu basi karibu kushiriki.........wasiponyongwa mpaka kufa basi watakuwa wameonewa pia.......maana walitaka kufa piaKatika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wsmeonea, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa
Kwamba walilipua kwa lengo la kujifurahisha? Brother, bomu sio baruti za watoto za kusherehekea mwaka mpyaKatika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wsmeonea, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa
Kwenye sheria wanahukumu kuanzia nia ovu mpaka tukio.Katika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wsmeonea, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa
Mpumbavu sana wewe. Mtu akikosakosa kukuua hana kosa??Katika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wsmeonea, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa
na kule Zanzibar kuna wale waliomwua padri mpaka FBI wakaingilia kati. Sijui kesi hiyo ikmefiki wapi sasaKatika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wsmeonea, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa
REKEBISHA, I GUESS SIYO 2023Masheikh hao wanatuhumiwa na Serikali kwa Ugaidi wa kulipua Kanisa Katoliki la Ole sita mkoani Arusha mwaka 2013.
Walikufa watu watatu na majeruhi kibao. Lazima Rais asaini kwakuwa hawa wanadhalilisha UislamWasamehewe.
Kama walilipua kanisa na hakuna mtu aliyefariki hiyo ni hukumu ya Allah.
Waachie, miaka kumi wako kifungoni imetosha.
Yaani Rais amesaini hicho kitu?
Wale Waheshimiwa wawasaidie kukata rufaa.