Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo

Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo

Katika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wsmeonea, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa
Ni ushabiki au unaongelea Sheria ?
Kama ni Sheria na wametiwa hatiani wametendewa haki. Maana kulipua Kanisa au kuchoma nyumba au Jengo ambalo watu wanakaa na kuishi maana yake umekusudia kuua watu na kuharibu mali za watu kwenye nyumba au Kanisa hilo.
Adhabu yake ni kifo.
 
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

MASHEIKH SITA 6 WAHUKUMIWA KUNYONGWA ARUSHA LEO

Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo tarehe 12/12/2023, imewasomea hukumu Masheikh tisa miongoni mwa wale wanaoshikiliwa na Serikali kwa zaidi ya miaka kumi katika Gereza Kuu la Kisonge Mkoani Arusha.

Masheikh hao wanatuhumiwa na Serikali kwa Ugaidi wa kulipua Kanisa Katoliki la Ole sita mkoani Arusha mwaka 2013.

Akisoma hukumu hiyo Jaji Nkwabi aliwaachia huru Masheikh watatu ingawa mmoja miongoni mwao amerejeshwa jela kwa sababu ya kukabiliwa na tuhuma nyingine.

Walioachiwa huru ni: Abduli Humud Wagoba, Abdurahmani na Amani Mussa Pakasi (ambaye amerejeshwa gerezani).

Aidha Jaji Nkwabi alionesha kuridhishwa na ushahidi wa Polisi kwamba Masheikh sita katika shauri hilo akiwemo imamu mkuu wa Msikiti mashuhuri Masjid Quba Arusha, Sheikh Jaafar Hashim Lema waliripua Kanisa Katoliki na kusababisha madhara makubwa.

Kwa sababu hiyo Jaji Nkwabi aliamua kuwahukumu adhabu kali ya kunyongwa mpaka kufa.

Masheikh hao waliokaa gerezani kwa zaidi ya miaka kumi na hatimaye kuhukumiwa kifo ni:

1. Imam Jaafar Hashima Lema.
2. Yusuf Ali Huta
3. Ramadhani Hamadi Waziri.
4. Abdul Hassa Masta.
5. Kassim Idrisa. Na-
6. Abashari Hassan Omari.

Masheikh hao pamoja na wenzao kumi walio hukumiwa kunyongwa hivi karibuni mkoani Tanga, watanyongwa baada ya Rais Samia Suluhu Hassani kutia saini.

Pia, soma;

Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa
Ndiyo,nilipata High Court Arusha jana jioni,nikamuona yule mama analia( amevaa bai bui),nikauliza analia nini?
Nikaambiwa( na machinga mmoja alikuwepo pale,"Oh,hii ni mahakama. Kama analia itakuwa basi labda mtoto wake amehukumiwa kifungo or something. Unajua,kina mama wana huruma sana"
Halafu nikaondoka pale. Ilielekea kwangu kwamba wahudumu pale mahakamani,wale walinzi, hawakuonyeshwa kupendezewa kwamba nimeuliza.
Ni kama Roman law. Kama mhalifu amehukumiwa,unaruhusiwa kushangilia,lakini hairuhusiwi kuonekana kwamba unaona huruma.
Halafu yule mama akaambiwa,unaweza kwenda ndani kuwatazama,lakini ukifike kule usilie.
Halafu akaja mtu mwingine akasema,no,hawezi kwenda ndani,Askari wanafukuza watu wore.
Ile incident ya zamani sana.
Halafu ni incident gani ugaidi oliyotokea Arusha siku zole ambapo Chadema walitajwatajwa. Ambapo satellite pictures ilidaiwa zimeonyesha Chadema wamefanya jambo fulani.?
Now I understand. Kumbe Chadema ndio walifanyiwa ugaidi Kaloleni
Halafu Mufti wa Waislamu ameitisha sala Ijumaa ijayo.

Msikilize Commander Hatton
He was killed in similar manner to T.E. Laurence “of Arabia” (who crossed swords with the British elite who betrayed the trust of the Arab world and now their deserts are a hotbed of war and great poverty--surrounded by oases of British agents posing as Emirs and reigning princes-
 
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

MASHEIKH SITA 6 WAHUKUMIWA KUNYONGWA ARUSHA LEO

Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo tarehe 12/12/2023, imewasomea hukumu Masheikh tisa miongoni mwa wale wanaoshikiliwa na Serikali kwa zaidi ya miaka kumi katika Gereza Kuu la Kisonge Mkoani Arusha.

Masheikh hao wanatuhumiwa na Serikali kwa Ugaidi wa kulipua Kanisa Katoliki la Ole sita mkoani Arusha mwaka 2013.

Akisoma hukumu hiyo Jaji Nkwabi aliwaachia huru Masheikh watatu ingawa mmoja miongoni mwao amerejeshwa jela kwa sababu ya kukabiliwa na tuhuma nyingine.

Walioachiwa huru ni: Abduli Humud Wagoba, Abdurahmani na Amani Mussa Pakasi (ambaye amerejeshwa gerezani).

Aidha Jaji Nkwabi alionesha kuridhishwa na ushahidi wa Polisi kwamba Masheikh sita katika shauri hilo akiwemo imamu mkuu wa Msikiti mashuhuri Masjid Quba Arusha, Sheikh Jaafar Hashim Lema waliripua Kanisa Katoliki na kusababisha madhara makubwa.

Kwa sababu hiyo Jaji Nkwabi aliamua kuwahukumu adhabu kali ya kunyongwa mpaka kufa.

Masheikh hao waliokaa gerezani kwa zaidi ya miaka kumi na hatimaye kuhukumiwa kifo ni:

1. Imam Jaafar Hashima Lema.
2. Yusuf Ali Huta
3. Ramadhani Hamadi Waziri.
4. Abdul Hassa Masta.
5. Kassim Idrisa. Na-
6. Abashari Hassan Omari.

Masheikh hao pamoja na wenzao kumi walio hukumiwa kunyongwa hivi karibuni mkoani Tanga, watanyongwa baada ya Rais Samia Suluhu Hassani kutia saini.

Pia, soma;

Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa
Hawa waliua muimba kwaya kwa bomb la kurushwa kwa mkono. Watu kadhaa hawakufariki hapo hapo.
 
Walikamatwa wengi Mkuu, hadi mashoe shine.

Nakumbuka walimkamata chalii mmoja ambaye hapa sijaona jina lake, wakati ule walisema ndiye aliyerusha bomu...

Sikuwa najua kama kuna utitiri wa watu tena viongozi wa imani...
 
Ndiyo,nilipata High Court Arusha jana jioni,nikamuona yule mama analia( amevaa bai bui),nikauliza analia nini?
Nikaambiwa( na machinga mmoja alikuwepo pale,"Oh,hii ni mahakama. Kama analia itakuwa basi labda mtoto wake amehukumiwa kifungo or something. Unajua,kina mama wana huruma sana"
Halafu nikaondoka pale. Ilielekea kwangu kwamba wahudumu pale mahakamani,wale walinzi, hawakuonyeshwa kupendezewa kwamba nimeuliza.
Ni kama Roman law. Kama mhalifu amehukumiwa,unaruhusiwa kushangilia,lakini hairuhusiwi kuonekana kwamba unaona huruma.
Aisee ndio umeshahamia Arusha sasa..

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Kwa hoja ile ya Covax, hii post yako imemdhalilisha sana...!!! Inaonyesha aliandika bila kuwa na data yoyote. Yaani yeye kafuata hisia zake tu na si uhalisia. haya arudi hapa aseme akama bado anaona wameonewa au ni haki yao kupata hiyo hukumu..!!
Atakwambia watatu 3...wameshazoea kuua mamia ya watu..hawa magaidi wanawachafua sana wenzao wengine wenye kumjua Mungu...
 
Kwa hoja ile ya Covax, hii post yako imemdhalilisha sana...!!! Inaonyesha aliandika bila kuwa na data yoyote. Yaani yeye kafuata hisia zake tu na si uhalisia. haya arudi hapa aseme akama bado anaona wameonewa au ni haki yao kupata hiyo hukumu..!!
Hata kama wasingekufa hata mmoja, adhabu yao bado ilistahili kuwa kifo, maana walilenga kuua
 
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

MASHEIKH SITA 6 WAHUKUMIWA KUNYONGWA ARUSHA LEO

Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo tarehe 12/12/2023, imewasomea hukumu Masheikh tisa miongoni mwa wale wanaoshikiliwa na Serikali kwa zaidi ya miaka kumi katika Gereza Kuu la Kisonge Mkoani Arusha.

Masheikh hao wanatuhumiwa na Serikali kwa Ugaidi wa kulipua Kanisa Katoliki la Ole sita mkoani Arusha mwaka 2013.

Akisoma hukumu hiyo Jaji Nkwabi aliwaachia huru Masheikh watatu ingawa mmoja miongoni mwao amerejeshwa jela kwa sababu ya kukabiliwa na tuhuma nyingine.

Walioachiwa huru ni: Abduli Humud Wagoba, Abdurahmani na Amani Mussa Pakasi (ambaye amerejeshwa gerezani).

Aidha Jaji Nkwabi alionesha kuridhishwa na ushahidi wa Polisi kwamba Masheikh sita katika shauri hilo akiwemo imamu mkuu wa Msikiti mashuhuri Masjid Quba Arusha, Sheikh Jaafar Hashim Lema waliripua Kanisa Katoliki na kusababisha madhara makubwa.

Kwa sababu hiyo Jaji Nkwabi aliamua kuwahukumu adhabu kali ya kunyongwa mpaka kufa.

Masheikh hao waliokaa gerezani kwa zaidi ya miaka kumi na hatimaye kuhukumiwa kifo ni:

1. Imam Jaafar Hashima Lema.
2. Yusuf Ali Huta
3. Ramadhani Hamadi Waziri.
4. Abdul Hassa Masta.
5. Kassim Idrisa. Na-
6. Abashari Hassan Omari.

Masheikh hao pamoja na wenzao kumi walio hukumiwa kunyongwa hivi karibuni mkoani Tanga, watanyongwa baada ya Rais Samia Suluhu Hassani kutia saini.

Pia, soma;

Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa
Kwa maelezo hayo uliyoyatoa kuhukumiwa kunyongwa mpaka kufa ni uwonevu. Hakimu atakuwa ametoa hukumu kwa chuki zake za kidini kwasababu ktk maelezo uliyoyatoa, hakuna mtu hata mmoja aliyekufa wakati wa kulipia hilo kanisa na hii inaonyeaha kwamba walipuaji walihakikisha hakuna mtu ndani ya kanisa wakati wa ulipuaji

Walisitaili kupata kifungo kilefu kwa uharibifu wa mali lakini sio kunyongwa mpaka kufa
 
Back
Top Bottom