We mwenyewe mpuuzi. Kwenu mnatupaga maiti porini halafu mnahama na hamrudi tena huko? Wastaarabu huenda kuhani msiba kwa wafiwa. Hii ni jadi. Endeleeni tu ushetwaini wenu huu mnajifanya kuchapa kazi na laana. Mnadhani mnasonga mbele kumbe mnarudi tu nyuma. Mnatonesha vidonda vya wafiwa bure tu. Na mtalaaniwa.
Ni upuuxi tu hsmna jipya. Wanaacha kudeal na mambo ya msingi wsnskusanyika kwenye msiba hewa. Wafiwa wameagwa na taofa zima Makamu wa Rais na wabunge na Maaskofu; leo haea wanatumia masfa ya watoto weyu kuhamasisha vurugu. Ile n8 shule private, ya matajiri. Wanssoma watoto wa watu wenye uwezo. Msiba umekwisha madonra yameanza kupons wewe unaanza siasa. Wapuuzi wajinuni.
meya si kama DS anachaguliwa na mkulu. uache uongo meya ni diwani na diwani amechaguliwa na wananchi kufikia udiwani badala ya hapo ndio anagombea umeya ila anatokana.na wananchi hakuna mfumo wa kutoka nje kama bungeni.Unajua ni vigumu sn kumuelewesha mtu wa kaliba yako, huyo kiongozi unaemsema majuzi tu hapa alikuwa anaongea shombo kwenye vyombo vya habari juu ya hzo rambi rambi so ni wazi alienda pale akiwa anajua kbsa anachokifuata ..... afu meya hachaguliwi na wananchi kijana
Kwenda kutoa pesa za rambi rambi moja kwa moja kwa wafiwa ni kosa la jinai ambalo halina dhamana? huu upuuzi kiwango cha lami.
Gombo atapoteza heshima yote aliyojijengea
this is only in tzKibiti watu wanauawa baada ya kuelekeza nguvu huko wanajizuuka na upuuzi
Kweli kabisa yani anakula rambirambi balaa.Gambo anawaenyesha balaa Arusha.
Hasira zote hizo sababu hela hazijapitia kwake apige panga anajiona kafika gambo walikuepo viongozi sembuse wewe utawala unakuja na kuondoka time will tell ipo siku utajiona kinyesi mbele ya jamii.
Laana yako ya kula michango na iwe juu yako familia na watoto wako fakeni[emoji20]
Hahahahahhaa naona povu jingi kama sabuni ya mbuni..Pole sana kaka utazowea tu mwanzo maumivi yanakuwa makali lakini baadae mauvimu yana chnge tu raha..RC wa Arusha ni bonge la limbukeni hana jipya ni mshamba fulani na sasa ujinga wake utamgharimu
Hahahahahhaa naona povu jingi kama sabuni ya mbuni..Pole sana kaka utazowea tu mwanzo maumivi yanakuwa makali lakini baadae mauvimu yana chnge tu raha..
Tetty hujanielewa. Ukiisoma post yangu utaelewa kuwa mimi na wewe tunamshambulia mla rambirambi ila wewe unamshambulia kupitia kwangu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Maiti zote zinazikwa porini Hakuna maiti inayozikwa ndani ya nyumba,labda kwenye nyie mliyelaaniwa kwa kula Rambirambi za wafiwa.
Mbona unaongea kama unatoka ulipozaliwa.Wawekwe tu ndani mana hakuna namna.
Ndugu yangu unayemdhihaki Yesu Kristo aliye hai sisi hatutakuhukumu bali Muumba wako atakuhukumu peke yake na ninaamini hivyo. AMEN.Mrisho Gambo ni mungu wa Arusha , ana nguvu kuliko yesu kristo.