Arusha: Mfanyabiashara wa madini auawa mlima wa maombi, wauwaji watuma meseji

Arusha: Mfanyabiashara wa madini auawa mlima wa maombi, wauwaji watuma meseji

Mwili wa Mfanyabiashara wa madini ya ujenzi, David Mollel mkazi wa Kata ya Moivaro, umekutwa ukining’inia kwenye mti juu ya Mlima Oldonyowas, jirani na eneo linalotumika kwa maombi.

Inadaiwa Mollel mwenye umri wa kati ya miaka 50 na 55, aliuawa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia Jumanne, Oktoba Mosi, 2024 kwa kunyongwa na mkanda wa suruali. Mwili wake ulifunikwa kitambaa chekundu usoni.

Taarifa za awali zinaashiria mgogoro wa kugombea eneo la uchimbaji madini ya ujenzi aina ya moramu ni chanzo cha mauaji hayo.

Soma Pia: Njombe: Mfanyabiashara aliyevamiwa na kujeruhiwa afariki dunia

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo amethibitisha tukio hilo akisema uchunguzi umeanza kwa kushirikiana na vyombo vingine vya usalama.
Aisee
 
Mwili wa Mfanyabiashara wa madini ya ujenzi, David Mollel mkazi wa Kata ya Moivaro, umekutwa ukining’inia kwenye mti juu ya Mlima Oldonyowas, jirani na eneo linalotumika kwa maombi.

Inadaiwa Mollel mwenye umri wa kati ya miaka 50 na 55, aliuawa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia Jumanne, Oktoba Mosi, 2024 kwa kunyongwa na mkanda wa suruali. Mwili wake ulifunikwa kitambaa chekundu usoni.

Taarifa za awali zinaashiria mgogoro wa kugombea eneo la uchimbaji madini ya ujenzi aina ya moramu ni chanzo cha mauaji hayo.

Soma Pia: Njombe: Mfanyabiashara aliyevamiwa na kujeruhiwa afariki dunia

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo amethibitisha tukio hilo akisema uchunguzi umeanza kwa kushirikiana na vyombo vingine vya usalama.
Madini ya ujenzi aina ya moramu.
 
Hivi ni lini watu watajifunza huwezi kukwepa kesi ya mauaji? Ni ngumu sana.

Sasa kwanini uchukue risk ubaki kuishi kwa mashaka? Sasa hivi hata hilo eneo la machimbo ya moram hawatoweza kulitumia kabla hawajadakwa, hasara kubwa.

Lakini, meseji iliyotumwa na wauwaji iko wapi ndugu mleta mada?
Alitumiwa mke

Ova
 
Mke na ndugu wanagombania sehemu ya kuzika.
Mke anasema aliwambiwa ana muewe akifaa azikiwe nyumban anapoishi ndugu wanapeleka huko kwao kimbeembekuanzia kufa mpaka kuzikwa aisee

Naomba Allah wasielekee mahakaman watamchosha jama
Tulishasema humu hii style ya kutekana kuna watu watapita nayo kama upepo
Sahvi watu wanakujia wanajifanya maskari wanaondoka na wewe
Mtajuana huko mbele

Ova
 
Hivi ni lini watu watajifunza huwezi kukwepa kesi ya mauaji? Ni ngumu sana.

Sasa kwanini uchukue risk ubaki kuishi kwa mashaka? Sasa hivi hata hilo eneo la machimbo ya moram hawatoweza kulitumia kabla hawajadakwa, hasara kubwa.

Lakini, meseji iliyotumwa na wauwaji iko wapi ndugu mleta mada?
Learn rule carefully you will khow how to break them propelly
 
Mwili wa Mfanyabiashara wa madini ya ujenzi, David Mollel mkazi wa Kata ya Moivaro, umekutwa ukining’inia kwenye mti juu ya Mlima Oldonyowas, jirani na eneo linalotumika kwa maombi.

Inadaiwa Mollel mwenye umri wa kati ya miaka 50 na 55, aliuawa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia Jumanne, Oktoba Mosi, 2024 kwa kunyongwa na mkanda wa suruali. Mwili wake ulifunikwa kitambaa chekundu usoni.

Taarifa za awali zinaashiria mgogoro wa kugombea eneo la uchimbaji madini ya ujenzi aina ya moramu ni chanzo cha mauaji hayo.

Soma Pia: Njombe: Mfanyabiashara aliyevamiwa na kujeruhiwa afariki dunia

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo amethibitisha tukio hilo akisema uchunguzi umeanza kwa kushirikiana na vyombo vingine vya usalama.
Sio drama hii?
 
Back
Top Bottom