Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,987
- 5,566
Noma nyingi ☹️Sio bure, "JIHADHARI RIMBWATA LIPO NA LINAUA"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma nyingi ☹️Sio bure, "JIHADHARI RIMBWATA LIPO NA LINAUA"
Acha tu! hali si nzuri kabisa!! Wanawake wengi wamekuwa lango. ☹️Shetani amekalia ndoa za watu..mlango mkubwa upo kwa mqanamke😭
Au sio..Na hao watoto waliokuwa wanashirikiana na mama yao kumpiga baba yao na kumsachi siamini kama ni watoto wa jamaa.
Nawashauri hata wazazi wa marehemu wawakatae kabisa hao mashetani.
Kwani wewe kwa uelewa wako shetani ni kiumbe wa namna gani?Au sio..
Umewahi kuona au kusikia wapi shetani kapiga ua kasachi mtu?
Wanadamu hufanya maovu na kumsingizia shetani
Hakuwa na uwezo huoRIP mwamba!najua uwezo wa kumpiga na kummumiza mke wako ulikua nao!lakini utayari wa kupigana na mwanamke sio kila mwanamme anao!
Mara nyingi tunaepusha shari na kuondoka nyumbani au kwenda Kwa michepuko kupoza hasira coz ukimuua mwanamke nani atalea watoto!!?na sisi me kipawa Cha kulea watoto hatuna!!
RIP CHIEF
Plus "genda ugaruke"Shuntuma
Wanawake wa chuga watemiMwanamke mmoja mkazi wa mtaa wa Bandambili kata ya Sombetini jijini Arusha anashikiliwa na jeshi la polisi baada ya kumpiga mume wake hadi kuua.
Mwanaume huyo ajulikanae kwa jina la Daudi ambae ni fundi ujenzi alifariki dunia usiku baada ya kupewa kipigo usiku mzima na mkewe huyo wa ndoa aliezaa nae watoto kadhaa.
Majirani wamesema ni kweli mwanaume huyo hupigwa mara kwa mara na mkewe pamoja na kusachiwa hela mfukoni mkewe kwa kushirikiana na watoto.
Soma Pia: Arusha: Auwawa kwa kupigwa na kitu kizito baada ya kuingilia ugomvi wa mtu na mpenzi wake
Wazazi wa marehemu Daudi wamesema kuwa ni kwa muda mrefu kijana wake amekuwa akipigwa na huyo mwanamke na kurudi nyumbani anauguzwa akipona anarudi tena kwa mwanamke huyo na hata wao wazazi wakienda polisi kijana wao anaenda polisi na kusema kuwa amemsamehe mkewe.
Wazazi wa daudi wanasema hali hiyo imekuwa ikijirudia mara nyingi kupigwa na kujeruhiwa na mkewe hadi mauti yalipomkuta.
Kawakilisha vyema kabisa.
Chuga oyee
Joyce KiriaSuper woman!
Wadudu haoMwanamke mmoja mkazi wa mtaa wa Bandambili kata ya Sombetini jijini Arusha anashikiliwa na jeshi la polisi baada ya kumpiga mume wake hadi kuua.
Mwanaume huyo ajulikanae kwa jina la Daudi ambae ni fundi ujenzi alifariki dunia usiku baada ya kupewa kipigo usiku mzima na mkewe huyo wa ndoa aliezaa nae watoto kadhaa.
Majirani wamesema ni kweli mwanaume huyo hupigwa mara kwa mara na mkewe pamoja na kusachiwa hela mfukoni mkewe kwa kushirikiana na watoto.
Soma Pia: Arusha: Auwawa kwa kupigwa na kitu kizito baada ya kuingilia ugomvi wa mtu na mpenzi wake
Wazazi wa marehemu Daudi wamesema kuwa ni kwa muda mrefu kijana wake amekuwa akipigwa na huyo mwanamke na kurudi nyumbani anauguzwa akipona anarudi tena kwa mwanamke huyo na hata wao wazazi wakienda polisi kijana wao anaenda polisi na kusema kuwa amemsamehe mkewe.
Wazazi wa daudi wanasema hali hiyo imekuwa ikijirudia mara nyingi kupigwa na kujeruhiwa na mkewe hadi mauti yalipomkuta.