Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaKijiti kimerudi tena arusha
So unataka kusema kilio Cha wengi ama unaamanisha Nini mrangi mwenye wadada wazuriKwani kanda ya ziwa hujaona mabalaa yake
Pia...
Ngoma inapigwa kaskazini na kanda ya ziwa
Wanapokezana
Ova
Wanapigiana pasi tuHahaha
Maana ni kaskazini na l.zone
Ova
Hatar sana Ila tunaweza kujiuliza!Wanapigiana pasi tu
HahahaSo unataka kusema kilio Cha wengi ama unaamanisha Nini mrangi mwenye wadada wazuri
Siro jiuzulu tu. Mauaji yamezidi>>Mlinzi wa shule ya Winning spirit iliyopo Terat jijini Arusha ISSA DINAIH ISSA miaka57 mkazi wa Terati ameuawa Kikatili kwa kukatwa shingo na kutengenishwa na kiwiliwili na watu wasiojulikana na Kisha kuondoka na kichwa Cha marehemu usiku wa kuamkia leo.
Polisi Arusha imeshindwa kuzungumzia tukio hilo ikiwa ni mwendelezo wa matukio ya mauaji yanayoendelea bila kutolewa ufafanuzi Jambo linaloleta taharuki kwa wakazi Arusha
Mahakama isipotenda haki basi amani itatoweka by Jaji Siyani!Mh naona kama watu sahv wameamua kujifanyia mambo wajuavyo waoo
Hii hatar utafikiri tunaelekea Mexico 🇲🇽
Ova
Point bwashehMahakama isipotenda haki basi amani itatoweka by Jaji Siyani!
Rudisha faster hicho kichwa wewe jamaa tumpe jamaa decent burialKila mbuzi kwa urefu wa kamba yake.
Hilo jamaa sometimes linaibukaga tu na pointPoint bwasheh
Ova
Mungu anawahukumu.Hivi haya mauaji yalipigwa marufuku kuripotiwa?
Hahaha anaweza akatoa mawazo mazuri kwenye jambo muhimu ila kikomedi,sasa hapo wewe tu utapokeaje...Hilo jamaa sometimes linaibukaga na point
Dah watu wameondoka na kichwaMungu anawahukumu.