Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Anajua muda wake umeishaMrisho Gambo ni Mbunge wa Mchongo aliingizwa kwa Mabavu, Jimbo la Nabii Lema hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajua muda wake umeishaMrisho Gambo ni Mbunge wa Mchongo aliingizwa kwa Mabavu, Jimbo la Nabii Lema hilo.
Nabii alishaacha kunywa pombe pale baa mpya sombetini...?😎akiwa na Nabii wa Mungu Godbless Lema
Kwamba wakijaa tu basi hizo zote ni kura za Lema?? Hivi siku wakijaa kutazama CHATU mkubwa basi itakuwa ni kuonesha upendo mkubwa kwa CHATU?Chama cha Demokrasia na Maendeleo, leo kimefanya mkutano wa hadhara Arusha Mjini, kwenye eneo la soko kuu, mkutano ambao umejaza umati mkubwa mno!
Taarifa zinaeleza kwamba Mkutano huo umehutubiwa na Naibu Katibu Mkuu Benson Kigaila akiwa na Nabii wa Mungu Godbless Lema , huku mkutano huo ukiandaliwa na kutangazwa kwa masaa mawili tu, lakini umejaza umati, Je kama ungeandaliwa wiki nzima hali ingekuwaje?
Hii ni Ishara mbaya sana kwa Mbunge wa mchongo wa jimbo hilo Mrisho Gambo, ambaye alipewa ubunge kwa mkono wa Chuma enzi za Jiwe
Angalia hii
Lema hawezi kuja kupewa ubunge wa Arusha tena.Mrisho Gambo ni Mbunge wa Mchongo aliingizwa kwa Mabavu, Jimbo la Nabii Lema hilo.
Kama lema ni nabii basi Acha Yesu awe fundi seremalaHiyo ni habari nyingine , tutaizungumzia wiki ijayo
Anasifia wanawe kuwa Canada na mkeweLema hawezi kuja kupewa ubunge wa Arusha tena.
Ukimsikiliza kwa dakika 3 tu humpi kura yako
Tafuta kichaka ukajificheLema hawezi shinda Jimbo la Arusha wewe elewa Hilo.
Porojo kibao ! Jikite kwenye mada tuCHADEMA kwa kujitutumua na kushupaza shingo hawajambo.
Ati wametuma tahadhari!
Walimjaribu Mkuu wa Nchi kwa kuanza kuchafua taswira ya wanja la Siasa, wakashindwa na matokeo yake tuliyaona.
Sasa wanasafisha mauchafu yao(mazingira waliyotengeneza) kwa mbinu za kufunika na kupaka matope, kwa kumsingizia Hayat Rais, wakati wakielewa fika wao ni wahusika wakuu. Washindwe.
Washindwe kwa siasa za uchochezi, uhasama, vinyongo na visasi-ikiwa na pamoja na kutoa kauli zenye kujenga Uadui. Waache kushupaza shingo.
Au wewe ndie Gambo mwenyewe?Lema hawezi kuja kupewa ubunge wa Arusha tena.
Ukimsikiliza kwa dakika 3 tu humpi kura yako
Ni sawa na kusema na huyo Mama yenu akagombee Uraisi Unguja.Huyo mvuta bangi akagombee kwao machame
Ni sahihi pia. Kwahiyo huyo mwizi wa magari akagombee kwao machameNi sawa na kusema na huyo Mama yenu akagombee Uraisi Unguja.
Lema kama Mtanzania anaruhusiwa na Katiba kugombania popote pale Tanzania.Ni sahihi pia. Kwahiyo huyo mwizi wa magari akagombee kwao machame
Huwezi kupindisha hiyo. Soma tena.Porojo kibao ! Jikite kwenye mada tu
Duh ebwanae!Chama cha Demokrasia na Maendeleo, leo kimefanya mkutano wa hadhara Arusha Mjini, kwenye eneo la soko kuu, mkutano ambao umejaza umati mkubwa mno!
Taarifa zinaeleza kwamba Mkutano huo umehutubiwa na Naibu Katibu Mkuu Benson Kigaila akiwa na Nabii wa Mungu Godbless Lema , huku mkutano huo ukiandaliwa na kutangazwa kwa masaa mawili tu, lakini umejaza umati, Je kama ungeandaliwa wiki nzima hali ingekuwaje?
Hii ni Ishara mbaya sana kwa Mbunge wa mchongo wa jimbo hilo Mrisho Gambo, ambaye alipewa ubunge kwa mkono wa Chuma enzi za Jiwe
Angalia hii
Unadhani kuiba ni KAZI rahisi? Inawezwa na CCM TuNi sahihi pia. Kwahiyo huyo mwizi wa magari akagombee kwao machame
Eti Nabii wa Mungu, hebu punguza ujinga wako na onyesha hekima zako mbele za Watu 😂😂😂Chama cha Demokrasia na Maendeleo, leo kimefanya mkutano wa hadhara Arusha Mjini, kwenye eneo la soko kuu, mkutano ambao umejaza umati mkubwa mno!
Taarifa zinaeleza kwamba Mkutano huo umehutubiwa na Naibu Katibu Mkuu Benson Kigaila akiwa na Nabii wa Mungu Godbless Lema , huku mkutano huo ukiandaliwa na kutangazwa kwa masaa mawili tu, lakini umejaza umati, Je kama ungeandaliwa wiki nzima hali ingekuwaje?
Hii ni Ishara mbaya sana kwa Mbunge wa mchongo wa jimbo hilo Mrisho Gambo, ambaye alipewa ubunge kwa mkono wa Chuma enzi za Jiwe
Angalia hii