Pre GE2025 Arusha: Mrisho Gambo atumiwa salamu za tahadhari

Pre GE2025 Arusha: Mrisho Gambo atumiwa salamu za tahadhari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo, leo kimefanya mkutano wa hadhara Arusha Mjini, kwenye eneo la soko kuu, mkutano ambao umejaza umati mkubwa mno!

Taarifa zinaeleza kwamba Mkutano huo umehutubiwa na Naibu Katibu Mkuu Benson Kigaila akiwa na Nabii wa Mungu Godbless Lema , huku mkutano huo ukiandaliwa na kutangazwa kwa masaa mawili tu, lakini umejaza umati, Je kama ungeandaliwa wiki nzima hali ingekuwaje?

Hii ni Ishara mbaya sana kwa Mbunge wa mchongo wa jimbo hilo Mrisho Gambo, ambaye alipewa ubunge kwa mkono wa Chuma enzi za Jiwe

Angalia hii

Kwamba wakijaa tu basi hizo zote ni kura za Lema?? Hivi siku wakijaa kutazama CHATU mkubwa basi itakuwa ni kuonesha upendo mkubwa kwa CHATU?

Hiki chama kimepoteza mwelekeo
 
CHADEMA kwa kujitutumua na kushupaza shingo hawajambo.

Ati wametuma tahadhari!

Walimjaribu Mkuu wa Nchi kwa kuanza kuchafua taswira ya wanja la Siasa, wakashindwa na matokeo yake tuliyaona.

Sasa wanasafisha mauchafu yao(mazingira waliyotengeneza) kwa mbinu za kufunika na kupaka matope, kwa kumsingizia Hayat Rais, wakati wakielewa fika wao ni wahusika wakuu. Washindwe.

Washindwe kwa siasa za uchochezi, uhasama, vinyongo na visasi-ikiwa na pamoja na kutoa kauli zenye kujenga Uadui. Waache kushupaza shingo.
 
Gambo nguo zinamlegea,presha inapanda tu haitaki kushuka.

Hivi ile lotion aliyosema Lema atamletea ameshatekeleza ahadi yake kwa Gambo??
 
CHADEMA kwa kujitutumua na kushupaza shingo hawajambo.

Ati wametuma tahadhari!

Walimjaribu Mkuu wa Nchi kwa kuanza kuchafua taswira ya wanja la Siasa, wakashindwa na matokeo yake tuliyaona.

Sasa wanasafisha mauchafu yao(mazingira waliyotengeneza) kwa mbinu za kufunika na kupaka matope, kwa kumsingizia Hayat Rais, wakati wakielewa fika wao ni wahusika wakuu. Washindwe.

Washindwe kwa siasa za uchochezi, uhasama, vinyongo na visasi-ikiwa na pamoja na kutoa kauli zenye kujenga Uadui. Waache kushupaza shingo.
Porojo kibao ! Jikite kwenye mada tu
 
Kumuita Lema Nabii wa Mungu ni kufuru ya hali ya juu. Mtu anayeshiriki kutafuna michango ya Join The Chain ilihochangwa na watu maskini anawezaje kuwa Nabii wa Mungu?
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo, leo kimefanya mkutano wa hadhara Arusha Mjini, kwenye eneo la soko kuu, mkutano ambao umejaza umati mkubwa mno!

Taarifa zinaeleza kwamba Mkutano huo umehutubiwa na Naibu Katibu Mkuu Benson Kigaila akiwa na Nabii wa Mungu Godbless Lema , huku mkutano huo ukiandaliwa na kutangazwa kwa masaa mawili tu, lakini umejaza umati, Je kama ungeandaliwa wiki nzima hali ingekuwaje?

Hii ni Ishara mbaya sana kwa Mbunge wa mchongo wa jimbo hilo Mrisho Gambo, ambaye alipewa ubunge kwa mkono wa Chuma enzi za Jiwe

Angalia hii

Duh ebwanae!
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo, leo kimefanya mkutano wa hadhara Arusha Mjini, kwenye eneo la soko kuu, mkutano ambao umejaza umati mkubwa mno!

Taarifa zinaeleza kwamba Mkutano huo umehutubiwa na Naibu Katibu Mkuu Benson Kigaila akiwa na Nabii wa Mungu Godbless Lema , huku mkutano huo ukiandaliwa na kutangazwa kwa masaa mawili tu, lakini umejaza umati, Je kama ungeandaliwa wiki nzima hali ingekuwaje?

Hii ni Ishara mbaya sana kwa Mbunge wa mchongo wa jimbo hilo Mrisho Gambo, ambaye alipewa ubunge kwa mkono wa Chuma enzi za Jiwe

Angalia hii

Eti Nabii wa Mungu, hebu punguza ujinga wako na onyesha hekima zako mbele za Watu 😂😂😂
Unakuwa kama Lucas Mwashambwa?
 
Back
Top Bottom