Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Kwani nani asiejua historia yake huyo tapeli na jambazi,,,,hata uchaguzi ujao zitatumika mbinu za kazi yake pendwa kuirudisha CCM jimboni nyie jazeni tu watu mjifurahishe ila jimbo linabaki la CCM kwa njia yeyoteWeka ushahidi , vinginevyo subiri laana wiki ijayo , unabii wa huyu jamaa haucheleweshi
Unatafuta laana au unataka akufanyie na wewe unabii wa hizo siku zako chache zilizosalia hapa duniani ?Kumuita Lema Nabii wa Mungu ni kufuru ya hali ya juu. Mtu anayeshiriki kutafuna michango ya Join The Chain ilihochangwa na watu maskini anawezaje kuwa Nabii wa Mungu?
Jamaa anaweweseka tu huko...Chama cha Demokrasia na Maendeleo, leo kimefanya mkutano wa hadhara Arusha Mjini, kwenye eneo la soko kuu, mkutano ambao umejaza umati mkubwa mno!
Taarifa zinaeleza kwamba Mkutano huo umehutubiwa na Naibu Katibu Mkuu Benson Kigaila akiwa na Nabii wa Mungu Godbless Lema , huku mkutano huo ukiandaliwa na kutangazwa kwa masaa mawili tu, lakini umejaza umati, Je kama ungeandaliwa wiki nzima hali ingekuwaje?
Hii ni Ishara mbaya sana kwa Mbunge wa mchongo wa jimbo hilo Mrisho Gambo, ambaye alipewa ubunge kwa mkono wa Chuma enzi za Jiwe
Angalia hii
Kasimu Majaliwa amefanya nini Rwangwa ? Siku zote Mbunge ni daraja kati ya serikali na wananchi , hana hela za kujenga madarajaSipo upande wa gambo wala Lema.Ila lema sijuwi anakipi alichofanya Cha kuonekana Kwa macho wakati wa utawala wake.Kama vipo njoo ujitokeze useme ili hata hizo tetesi za wewe kutaka kurudi mjengoni zisiwe na mashaka.
Akamfanyie mama yake pamoja na wewe nyumbu.Unatafuta laana au unataka akufanyie na wewe unabii wa hizo siku zako chache zilizosalia hapa duniani ?
Nilimsikiliza akiwa star TV. Aibu niliona miyeMrisho Gambo ni Mbunge wa Mchongo aliingizwa kwa Mabavu, Jimbo la Nabii Lema hilo.
Gambo alibebwa kichwani ni mweupe kama poda.Nilimsikiliza akiwa star TV. Aibu niliona miye
Must CCM go out ili kuruhusu Maendeleo ya Kweli TanzaniaChama cha Demokrasia na Maendeleo, leo kimefanya mkutano wa hadhara Arusha Mjini, kwenye eneo la soko kuu, mkutano ambao umejaza umati mkubwa mno!
Taarifa zinaeleza kwamba Mkutano huo umehutubiwa na Naibu Katibu Mkuu Benson Kigaila akiwa na Nabii wa Mungu Godbless Lema , huku mkutano huo ukiandaliwa na kutangazwa kwa masaa mawili tu, lakini umejaza umati, Je kama ungeandaliwa wiki nzima hali ingekuwaje?
Hii ni Ishara mbaya sana kwa Mbunge wa jimbo hilo, Mrisho Gambo, ambaye alipewa ubunge kwa mkono wa Chuma enzi za Jiwe
Angalia hii
HakikaMust CCM go out ili kuruhusu Maendeleo ya Kweli Tanzania