Arusha: Mti umekauka, wananchi waomba wahusika waukate kabla haujaleta Madhara makubwa

Arusha: Mti umekauka, wananchi waomba wahusika waukate kabla haujaleta Madhara makubwa

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
B8022D53-85AD-4E15-AE4E-65E7ED51B179.jpeg
48D0ED79-879D-4B9A-B462-83D90F83EC29.jpeg
3EF773C3-610A-455C-A011-BFF0C47D381A.jpeg
Mti huu upo pale Arusha eneo linaitwa Mezaluna Kijenge, chini ya Gran Melia Hotel au Juu ya Impala Holet, hilo eneo ni kituo cha mabasi yanayoenda Nairobi(Shuttles).

Mti umekauka sana kiasi cha kuanza kuangusha matawi na kuleta taharuki, wananchi wamejaribu kuomba wahusika waukate lakini wamekaa kimya, wanadhani wanasubiri ulete maara ili iundwe tume wapige pesa.

Chini ya huo mti kuna mgahawa watu wanajipatia mahitaji yao ya chakula, pia kuna nyaya za umeme mkubwa unaoelekea Kijenge hadi Usa River.

Magari pia yanapaki jirani na mti hu0. Utaua watu.
 
Yaani ametudharau au sio kwa hio TANESCO hua wanafanya hivyo wanaposema tunaomba majina yako matatu, namba ya simu na eneo unaloishi, tutafatilia.. hua wanatuletea kejeli/kebehi/dhihaka au sio?
Hujawahi ripoti tarizo lako kwenye page zao unajieleza vizuti kila kitu still reply yao huwa ni hiyo😅😅
 
Back
Top Bottom