bitter-sweet
Member
- Sep 15, 2016
- 23
- 9
Aliyekufa alivaa nguo gani kne Huo wimbo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jiwe gizaniTunachokiamini ni kumpa mfiwa neno la kumfanya awe na imani sio maneno kama hayo unajisikiaje angekuwa dada,mama,shangazi yako afu unasoma maneno kama uliyoandika ww mwenye ubongo uliojaa viloba na bange ambayo unaivuta hali ukiwa na njaa na nuwa linawaka pumbavu zako kama huna cha kukomenti kaa kimya sio unatoa kauli zisizokuwa hata na hofu ya mungu kima wee
Unamanisha nn ndugujiwe gizani
Siyo yeye jamani..huyo video queen anaitwa Lilianmwanzo wa nyimbo anaonekana hivi na yy ndio alikuwa muhusika mkuu katika vidio kwa upande wa mamodel![]()
Watu wanatofautina katika kutenda mambo. Watu wengine hawawezi kuishi kama wewe unavyotaka na wewe huwezi kuishi kama wao wanavyotaka. Kila mtu yupo sahihi kwa kile anachokiamini yeye kuwa ni sahihi. That is General truth. Hata usipopenda ndivyo ilivyo.Ila sio sababu yakutoa uhai wa mtu na hata mtu akiumizwa vip sio sababu ya kufanya unyama huo.
wanasema sio huyu video queenmwanzo wa nyimbo anaonekana hivi na yy ndio alikuwa muhusika mkuu katika vidio kwa upande wa mamodel![]()
Siyo yeye jamani..huyo video queen anaitwa Lilian
Ile post ya marehemu ndio imechanganya watu...kuna Post marehemu Juliana alipost hiyo picha ya Lilian kwenye video ya Salome na hakusema kama ni LILIAN!!Kweli ,huyu video Queen wa Salome anaitwa Lilian loti, na siyo Juliana, aliyekufa ni Juliana, Lilian Bado yupo hai
Kwamba wanaume ni jokaaa.Unamaanisha nini?
R.I.P Julie
Kweli ,huyu video Queen wa Salome anaitwa Lilian loti, na siyo Juliana, aliyekufa ni Juliana, Lilian Bado yupo hai
Inasaidia nini kwenye Uchumi wa Viwanda?Ile post ya marehemu ndio imechanganya watu...kuna Post marehemu Juliana alipost hiyo picha ya Lilian kwenye video ya Salome na hakusema kama ni LILIAN!!
Aliandika kwamba anafurahi kufanya kazi..halafu juu kulikuwa na picha ya video ya diamond..hapo ndipo watu wengi walimchanganya na LILIAN maskini
Acha kuhusisha hili suala na siasa we lumumbaTatizo Arusha hamumpi ushirikiano mkuu wa mkoa na kamati yake je usalama wenu utatoka wapi? Kazi siasa na kukosoa utendaji wa Rais
Inasaidia kutoa ajira kwa watu jobless kama wewe angalau utapata kazi za kubeba kalai la Sementi wakati wa constructions!Inasaidia nini kwenye Uchumi wa Viwanda?