Arusha: Mwanafunzi wa Chuo cha Tumaini, Makumira abakwa hadi mauti

Arusha: Mwanafunzi wa Chuo cha Tumaini, Makumira abakwa hadi mauti

Unajua hawa wadada zetu wanasiri nzito sana, ni rahisi kumfilisi mtu ama kumsababishia magonjwa ya moyo, na wakati mwingine uwa wanajitamba hakuna wa kuwafanya kitu pale anapotembea na kiongozi yeyote ama mtu wa hadhi fulani, cha muhimu tusimjaji kwa vyovyote tumuombee tu alale mahali pema peponi
 
Watanzania ndio maama hatuendelei kwa kuchunguza maisha ya watu...ht km alikua anaishi maisha ya starehe kumbuka ni yy na hakumuomba mtu hata senti ht km aliomba sio ww..utampangiaje mtu jins ya kuish ww ni nan kwake hata umpangie mtu mavaz yk na kwa nn aishi kwa starehe au la! Ww changia mada km inavyotakiwa sio mara anaish hv mara vile si ni yy na sio ww na hajakuzuia ww usifanye mambo yako apige picha akiwa beach afanye nn ts her life hiini dunia ya utandawazi so watu hawawez ishi km miaka ya zaman otherwise aamue mwenyewe kina muda ufike waTZ tujali mambo yetu binafs maisha ya mtu hayatuhusu find ur own money do ur things thats all!
Una umri gani mkuu?
 
Huyu demu nilimpenda maana ni mkali picha pia nilitoa humu.

Mi nakuambia tuu hakuna mwanamke wa heshima atakaeweka picha kama hiyo mitandaoni milele.

Kazi yenu ya usanii ngoja tuwaachie.
Madai yako ya kwanza ni kwamba msichana anaonekana ni mpenda starehe... kisa? Anaenda beach!!! Dai lako la pili ni kwamba msichana ni muhuni... kisa? Kaweka picha instagram akiwa na beach wear!

We're living in completely two different world... KWAHERI!!
 
Maisha yake yanaonyesha anapenda starehe kupitiliza we huoni vipicha alivyoweka insta huko? humuoni akiwa na vichupi akiogelea humo swimming pool? acha ujinga wewe huyu demu alikua anajitangaza huweziniambia mwanamke unaejiheshimu utaweka picha zako za uchi huko hata kama alikua swimming sio sahihiu kuziweka narudia tena usijifanye we mtoto wa kishua maisha ya mtu yanaelezea yeye ni nani!
We unaonekana hujui nini maana ya starehe na hujui nini maana ya uchi,inaonekana hata ukienda kunyyy unakunyaga na nguo kuficha uchi wako.
 
Watanzania ndio maama hatuendelei kwa kuchunguza maisha ya watu...ht km alikua anaishi maisha ya starehe kumbuka ni yy na hakumuomba mtu hata senti ht km aliomba sio ww..utampangiaje mtu jins ya kuish ww ni nan kwake hata umpangie mtu mavaz yk na kwa nn aishi kwa starehe au la! Ww changia mada km inavyotakiwa sio mara anaish hv mara vile si ni yy na sio ww na hajakuzuia ww usifanye mambo yako apige picha akiwa beach afanye nn ts her life hiini dunia ya utandawazi so watu hawawez ishi km miaka ya zaman otherwise aamue mwenyewe kina muda ufike waTZ tujali mambo yetu binafs maisha ya mtu hayatuhusu find ur own money do ur things thats all!
Enzi zetu hata kama jambo dogo lazima tutimbe beach... kumbe kwenda beach nako ni kupenda starehe... dunia ina vituko hii!!! Yaani kabisa mtu unaongea mbele za watu
"dah, yule jamaa anapenda starehe kishenzi..." mwingine anadakia;
"ahaaa?! Anatimbaga Viwanja gani?"
"beach!"

Halafu huko beach kwenyewe mtu anaenda mwaka mara moja lakini mtu mtu anapata nguvu za kuhusisha kuuawa kwake na kupenda starehe za kwenda beach!!!!!
 
Nimeipitia account yake back 30 MONTHS AGO! In short sio nguo nyingi kavaa kiheshima bali karibu zote except matukio mawili tu ambayo yote yupo beach! Na hata nguo zenyewe alizovaa beach kwa kuangalia viwango vya beach watu wanavyopenda kujiachia, bado na zenyewe ni za kawaida sana lakini mtu anatoka huko anadai oh, yule msichana anaonekana muhuni na mpenda starehe! Yaani mtu kwenda beach anaonekana ni mpenda starehe... ama kweli ushamba mzigo!!
Tatizo maisha Magumu Mkuu, kuna watu mpaka Leo wanadhani kwenda beach ni starehe! inasikitisha sana hivi kuna watu wanaovaa uchi kama Gigi Money amba Lulu kina shilole yaani huyu Dada Mungu amsamehe makosa yake huko alipo, damu yake haitapotea Bure M/Mungu atamlipia tu, Leo yeye kesho Mimi na kama si Mimi basi watoto wangu au hata wa Ndugu zangu
 
Tatizo maisha Magumu Mkuu, kuna watu mpaka Leo wanadhani kwenda beach ni starehe! inasikitisha sana hivi kuna watu wanaovaa uchi kama Gigi Money amba Lulu kina shilole yaani huyu Dada Mungu amsamehe makosa yake huko alipo, damu yake haitapotea Bure M/Mungu atamlipia tu, Leo yeye kesho Mimi na kama si Mimi basi watoto wangu au hata wa Ndugu zangu
Hapo sasa... sidhani kama anaafahamu maana ya kuvaa nusu uchi huyu! Na hilo la beach kuita ni mpenda starehe ndo nikachoka jumla....
 
Kwa hiyo wewe utawaruhusu wanao waweke picha zao za utupu mtandaoni sio?
Mkuu hivi unaakili timamu wewe? Kwanini unang'ang'ania jambo lisilokuwepo? Hivi unazijua picha za utupu wewe? Hivi zile picha anacheza ngoma + yuko beach ndo picha za utupu zile? Ulitaka acheze traditional Dances na Madela? Hebu niondolee stress zako za maisha hapa, kwanza hamjui tu Mandela ni mavazi ya kimasikini,
 
Halaf mkuu watu hawasoma huku na wengi wao ni form 4 failure. Yan hata kutumia zile newton laws of motion wanashindwa kutatua hili tatizo?

Hata kama wamefaulu ni yale masomo ya sanaa
Dharau kuwadharau wasio soma hazitakufikisha popote, kuna watu hawajaiona hiyo form 4 na bado wakikaa na wewe utaonekana ni kapuku tu, sio kosa lako utoto bado unakusumbua
 
Dharau kuwadharau wasio soma hazitakufikisha popote, kuna watu hawajaiona hiyo form 4 na bado wakikaa na wewe utaonekana ni kapuku tu, sio kosa lako utoto bado unakusumbua
Kabisa, kwanza 'msomi' hawezi kuwa na muda wa kujitapa kuwa kasoma. Kazi na matendo yake hudhihirisha kuwa yeye ni msomi. Kuna haja ya kutofautisha kati ya graduate na msomi.
 
INASEMEKENA LAKINI KWAMBA ETI DADA YETU
KUFANYIWA VITENDO HIVYO VYA KINYAMA NI KWAMBA KUNA WIVU
UMECHANGIA WA KINADAFWADA WENZAKE WA CHUO HICHO ANACHOSOMA NDO WAKAMTAFUTIA MABANDIDU INASEMEKENA LKN
R.I.P DADA YETU
 
Usipate shida, account yake hii halafu kaangalie mwenyewe kama inafanana na watu wanavyoongea: Juliana Isawafo.
Twende mbele turudi nyuma marehemu alikuwa na tabasamu zuri, na alikuwa anapenda vitu vya asili mara porini, ziwani kuna kipindi nilimuona kwenye mashamba ya mpunga na wale wehu walivyomaliza yao wakambwaga kwenye mipunga, very sad
 
Back
Top Bottom