Arusha: Mwanamke aliyeenda kutafuta pochi yake mtoni, mwili wake wakutwa kando ya mto

Bongo ukifa umepotea tusubiri mwingine akiuawa tena naye tutazika.
 
Hii itakuwa unaongelea Arusha ya kufikirika sio Arusha halisi ninayoifahamu.
 
Pumbavu ila kila kukicha unawaza kwenda kwa mabeberu, kuna refugee criss pale Sudan, upo kimya na unasubiriq mabeberu waje kusaidia, royal families wanafia huko huko kwa mabeberu
Tulia wewee
 
Tulia wewee
Problem u can't read for meaning, wewe ni matokeo ya mfumo duni wa kielimu hapa nchini sasa soma hili dual citizenship imeruhusiwa kwa watoto!,sasa jiulize watoto hawa si ndio wa royal families?,mtoto wa hapa lingusenguse naye amefikiriwa?
 
Problem u can't read for meaning, wewe ni matokeo ya mfumo duni wa kielimu hapa nchini sasa soma hili dual citizenship imeruhusiwa kwa watoto!,sasa jiulize watoto hawa si ndio wa royal families?,mtoto wa hapa lingusenguse naye amefikiriwa?
Nimesema tulia. 😑😑😑😑

Sauh'waah?
 
Acha kuangalia movies mkuu, zinakupoteza. Hii ni Tanzania.
 

Poleni sana ,Polisi watafanya kazi yao na aliyeua atakamatwa kama waivyokamatwa waliomuua Milembe Suleman GGM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…