Arusha: Mwanamke aliyeenda kutafuta pochi yake mtoni, mwili wake wakutwa kando ya mto

Arusha: Mwanamke aliyeenda kutafuta pochi yake mtoni, mwili wake wakutwa kando ya mto

Arusha ni hatari sana na utumiaji wa Bangi uko juu mnooo ukiongeza na Malezi ya Kimasai hasira kama Ngiri muda woooote basi tambua kwamba wale watu wa Arusha ni Hatari muda wooote kaa nao kwa tahadhari.
Tuliaminishwa kwamba Tarime/Mara kuna watu wakatili lkn mind you Arusha watu wamepinda na hamjibizani mara mbili na kama wewe ni mgeni hata ukiuliza kuelekezwa hawakupi msaaada so jamaaa wako very rude
Ngiri mwenyewe sasa alivyo uso wake, kama flampeni la mama Isuja. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanamke mmoja ambae bado hajajulikana ameuliwa na watu wasiojulikana na kutupwa mto Themi akiwa bila nguo.

Tukio hilo ambalo limezua taharuki miongoni mwa watu limetokea kata ya Sinoni katika mtaa wa onjavutian.

Mwenyekiti wa mtaa wa onjavutian ambapo tukio hilo limetokea Lesioni Joseph amethibitisha kutokea kwa tukio hilo leo jumanne na kueleza kuwa alifika mtoni baada ya kupata taarifa kutoka kwa wananchi na kwenda kuona maiti ya mwanamke huyo, na kupiga simu polisi ambapo polisi wamekuja na kuchukua mwili huo.
Ingekuwa awamu ya 5 tungesikia serikali katili
 
Unasemaje mtu asiyejulikana kauliwa na watu wasiojulikana?

Je kama kaletwa na mafuriko?, je kama kajiua mwenyewe?, upo sure kiasi gani kuwa kauliwa?.

Itoshe tu kusema maiti imeokotwa mto Themi, ikiwa labda na majeraha na ikiwa haina nguo.

Polisi ndio watakuja kusema chanzo cha kifo baada ya ripoti ya uchunguzi ya daktari.

Kwenye hili la Haki Jinai bado sana kuanzia viongozi, polisi, wanahabari hadi raia.
 
Ndio maana hili jeshi la police livunjwe tuanze upya na young ,sharp mind graduates [emoji310],
Jeshi linatakiwa liwe na wataalamu sijui wa forensic sio hao form form failures wanabebaje mwili bila kupima mtu wa mwisho kumgusa,na hata aliye mvua chupi.
Jeshi letu linahitaji mabadiliko sambamba na serikali iwe na database ya DNA za raia wote ili kujua hata wahalifu, au watu wanaofariki na ndugu kutokujua
 
Mwanamke mmoja ambae bado hajajulikana ameuliwa na watu wasiojulikana na kutupwa mto Themi akiwa bila nguo.

Tukio hilo ambalo limezua taharuki miongoni mwa watu limetokea kata ya Sinoni katika mtaa wa onjavutian.

Mwenyekiti wa mtaa wa onjavutian ambapo tukio hilo limetokea Lesioni Joseph amethibitisha kutokea kwa tukio hilo leo jumanne na kueleza kuwa alifika mtoni baada ya kupata taarifa kutoka kwa wananchi na kwenda kuona maiti ya mwanamke huyo, na kupiga simu polisi ambapo polisi wamekuja na kuchukua mwili huo.

=============
Updates...

Mwenyekiti wa Onjavutian katika Kata ya Sinoni, Lesioni Joseph anaelezea kilichotokea:

Hakuna taarifa kama ni kweli ameuawa au amekufa kwa sababu zingine, baada ya kupata taarifa za mwili kuonekana kando ya mto niliita Askari na baada ya uchunguzi wa awali wakabaini kuwa mwili haukuguswa kwa maana ya kushambuliwa.

Marehemu anaitwa Suzan au mama Dorcas, taarifa za uchunguzi wa awali zinaonesha kuwa aliporejea nyumbani jana usiku (Mei 15, 2023) akamwambia dada wa jirani kuwa amepoteza pochi yake ambayo ilikuwa na Tsh. 25,000.

Hakurejea nyumbani yangu alipoondoka, Askari walipokuja na kufanya uchunguzi wamesema inawezekana alidondoka au aliumia akashindwa kutoka kwenye maji.

Mwili wake umekutwa ukiwa hauna nguo ya chini, alikuwa amesaliwa na nguo ya juu tu.. Umri wake ni kati ya miaka 40 hadi 45.

Nguo ya chini imebebwa na maji
 
Hiyo pochi alipoteza usiku akarudi kuitafuta. Aliipotezea wapi? Hapo ndipo pamuhimu.
 
Jeshi linatakiwa liwe na wataalamu sijui wa forensic sio hao form form failures wanabebaje mwili bila kupima mtu wa mwisho kumgusa,na hata aliye mvua chupi.
Jeshi letu linahitaji mabadiliko sambamba na serikali iwe na database ya DNA za raia wote ili kujua hata wahalifu, au watu wanaofariki na ndugu kutokujua
Yaani humu tukiwa na watu kama wewe tutaifanya JF kiwe kioo cha jamii, jeshi letu la police ni la kizamani sana,lazima liboreshwe kitechonology,including wale wote BBC kuondolewa jeshini
 
Yaani humu tukiwa na watu kama wewe tutaifanya JF kiwe kioo cha jamii, jeshi letu la police ni la kizamani sana,lazima liboreshwe kitechonology,including wale wote BBC kuondolewa jeshini
Jeshi letu linahitaji mabadiliko makubwa sana kuanzia utendaji na hata kitechnolojia maana mapolisi wetu licha ya kwenda mafunzoni Huwa ni wajinga kuliko raia ambao hawajaenda mafunzoni. Serikali iliweze hili jeshi Yani imagine wao wakifika ni kubeba tu mwili bila wataalamu na hawachunguzi inakuwa imeisha hyo
 
Mto themi long tym sana...
Pole kwa familia
 
Jeshi linatakiwa liwe na wataalamu sijui wa forensic sio hao form form failures wanabebaje mwili bila kupima mtu wa mwisho kumgusa,na hata aliye mvua chupi.
Jeshi letu linahitaji mabadiliko sambamba na serikali iwe na database ya DNA za raia wote ili kujua hata wahalifu, au watu wanaofariki na ndugu kutokujua
Upo sahihi kabisa,
 
Mwanamke mmoja ambae bado hajajulikana ameuliwa na watu wasiojulikana na kutupwa mto Themi akiwa bila nguo.

Tukio hilo ambalo limezua taharuki miongoni mwa watu limetokea kata ya Sinoni katika mtaa wa onjavutian.

Mwenyekiti wa mtaa wa onjavutian ambapo tukio hilo limetokea Lesioni Joseph amethibitisha kutokea kwa tukio hilo leo jumanne na kueleza kuwa alifika mtoni baada ya kupata taarifa kutoka kwa wananchi na kwenda kuona maiti ya mwanamke huyo, na kupiga simu polisi ambapo polisi wamekuja na kuchukua mwili huo.

=============
Updates...

Mwenyekiti wa Onjavutian katika Kata ya Sinoni, Lesioni Joseph anaelezea kilichotokea:

Hakuna taarifa kama ni kweli ameuawa au amekufa kwa sababu zingine, baada ya kupata taarifa za mwili kuonekana kando ya mto niliita Askari na baada ya uchunguzi wa awali wakabaini kuwa mwili haukuguswa kwa maana ya kushambuliwa.

Marehemu anaitwa Suzan au mama Dorcas, taarifa za uchunguzi wa awali zinaonesha kuwa aliporejea nyumbani jana usiku (Mei 15, 2023) akamwambia dada wa jirani kuwa amepoteza pochi yake ambayo ilikuwa na Tsh. 25,000.

Hakurejea nyumbani yangu alipoondoka, Askari walipokuja na kufanya uchunguzi wamesema inawezekana alidondoka au aliumia akashindwa kutoka kwenye maji.

Mwili wake umekutwa ukiwa hauna nguo ya chini, alikuwa amesaliwa na nguo ya juu tu.. Umri wake ni kati ya miaka 40 hadi 45.
Kwani alivaa nguo ya chini wakati anakwenda kutafuta pochi yake?
 
Ni kweli alivyokuwa anadondoka "Ardhi ikasema Suzzane huwezi tu kututamanisha bure bure ndo ikishirikiana na mto themi ikamvua nguo"

Haya ndiyo madhara ya waliokuwa vilaza shuleni kwenda kusomea upolichi, hayo maelezo hata umpe mtoto mdogo atajua tu ni nini kilimtokea mama dorcas.
[emoji16]
 
Back
Top Bottom