Ngiri mwenyewe sasa alivyo uso wake, kama flampeni la mama Isuja. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Arusha ni hatari sana na utumiaji wa Bangi uko juu mnooo ukiongeza na Malezi ya Kimasai hasira kama Ngiri muda woooote basi tambua kwamba wale watu wa Arusha ni Hatari muda wooote kaa nao kwa tahadhari.
Tuliaminishwa kwamba Tarime/Mara kuna watu wakatili lkn mind you Arusha watu wamepinda na hamjibizani mara mbili na kama wewe ni mgeni hata ukiuliza kuelekezwa hawakupi msaaada so jamaaa wako very rude
Ila bado sijAla vyako babyU
Unapenda kula usipopanda
Ingekuwa awamu ya 5 tungesikia serikali katiliMwanamke mmoja ambae bado hajajulikana ameuliwa na watu wasiojulikana na kutupwa mto Themi akiwa bila nguo.
Tukio hilo ambalo limezua taharuki miongoni mwa watu limetokea kata ya Sinoni katika mtaa wa onjavutian.
Mwenyekiti wa mtaa wa onjavutian ambapo tukio hilo limetokea Lesioni Joseph amethibitisha kutokea kwa tukio hilo leo jumanne na kueleza kuwa alifika mtoni baada ya kupata taarifa kutoka kwa wananchi na kwenda kuona maiti ya mwanamke huyo, na kupiga simu polisi ambapo polisi wamekuja na kuchukua mwili huo.
Nani aongeze? Kazi ya mkuu wa polisi ni nini? Wameshindwa kazi ndiyo maana anasema livunjwe na kuundwa upya.Jeshi livunjwe au hicho kitengo kiongezwe ndani ya jeshi la Police?
Sina vya kukupa,mamilooIla bado sijAla vyako baby
Punguza kisirani Dogoo kwa Watz wenzio ,kwani mauaji yanatokea Arusha tuu kwa tz nzima??Hii mijitu ya Arusha mbona makatili hivyo. Hii Arusha ilitakiwa iwe Kenya huko .
Msako wa?hapo ili msako uwe rahisi ni hadi ndugu jamaa na marafiki watoe taarifa ya kupotea kwake.
Acheni huu upuzi wakati huu tunapoomboleza misibaSina vya kukupa,mamiloo
Jeshi linatakiwa liwe na wataalamu sijui wa forensic sio hao form form failures wanabebaje mwili bila kupima mtu wa mwisho kumgusa,na hata aliye mvua chupi.Ndio maana hili jeshi la police livunjwe tuanze upya na young ,sharp mind graduates [emoji310],
Mwanamke mmoja ambae bado hajajulikana ameuliwa na watu wasiojulikana na kutupwa mto Themi akiwa bila nguo.
Tukio hilo ambalo limezua taharuki miongoni mwa watu limetokea kata ya Sinoni katika mtaa wa onjavutian.
Mwenyekiti wa mtaa wa onjavutian ambapo tukio hilo limetokea Lesioni Joseph amethibitisha kutokea kwa tukio hilo leo jumanne na kueleza kuwa alifika mtoni baada ya kupata taarifa kutoka kwa wananchi na kwenda kuona maiti ya mwanamke huyo, na kupiga simu polisi ambapo polisi wamekuja na kuchukua mwili huo.
=============
Updates...
Mwenyekiti wa Onjavutian katika Kata ya Sinoni, Lesioni Joseph anaelezea kilichotokea:
Hakuna taarifa kama ni kweli ameuawa au amekufa kwa sababu zingine, baada ya kupata taarifa za mwili kuonekana kando ya mto niliita Askari na baada ya uchunguzi wa awali wakabaini kuwa mwili haukuguswa kwa maana ya kushambuliwa.
Marehemu anaitwa Suzan au mama Dorcas, taarifa za uchunguzi wa awali zinaonesha kuwa aliporejea nyumbani jana usiku (Mei 15, 2023) akamwambia dada wa jirani kuwa amepoteza pochi yake ambayo ilikuwa na Tsh. 25,000.
Hakurejea nyumbani yangu alipoondoka, Askari walipokuja na kufanya uchunguzi wamesema inawezekana alidondoka au aliumia akashindwa kutoka kwenye maji.
Mwili wake umekutwa ukiwa hauna nguo ya chini, alikuwa amesaliwa na nguo ya juu tu.. Umri wake ni kati ya miaka 40 hadi 45.
Yaani humu tukiwa na watu kama wewe tutaifanya JF kiwe kioo cha jamii, jeshi letu la police ni la kizamani sana,lazima liboreshwe kitechonology,including wale wote BBC kuondolewa jeshiniJeshi linatakiwa liwe na wataalamu sijui wa forensic sio hao form form failures wanabebaje mwili bila kupima mtu wa mwisho kumgusa,na hata aliye mvua chupi.
Jeshi letu linahitaji mabadiliko sambamba na serikali iwe na database ya DNA za raia wote ili kujua hata wahalifu, au watu wanaofariki na ndugu kutokujua
Jeshi letu linahitaji mabadiliko makubwa sana kuanzia utendaji na hata kitechnolojia maana mapolisi wetu licha ya kwenda mafunzoni Huwa ni wajinga kuliko raia ambao hawajaenda mafunzoni. Serikali iliweze hili jeshi Yani imagine wao wakifika ni kubeba tu mwili bila wataalamu na hawachunguzi inakuwa imeisha hyoYaani humu tukiwa na watu kama wewe tutaifanya JF kiwe kioo cha jamii, jeshi letu la police ni la kizamani sana,lazima liboreshwe kitechonology,including wale wote BBC kuondolewa jeshini
AahaaaaaaAcheni huu upuzi wakati huu tunapoomboleza misiba
Upo sahihi kabisa,Jeshi linatakiwa liwe na wataalamu sijui wa forensic sio hao form form failures wanabebaje mwili bila kupima mtu wa mwisho kumgusa,na hata aliye mvua chupi.
Jeshi letu linahitaji mabadiliko sambamba na serikali iwe na database ya DNA za raia wote ili kujua hata wahalifu, au watu wanaofariki na ndugu kutokujua
Kwani alivaa nguo ya chini wakati anakwenda kutafuta pochi yake?Mwanamke mmoja ambae bado hajajulikana ameuliwa na watu wasiojulikana na kutupwa mto Themi akiwa bila nguo.
Tukio hilo ambalo limezua taharuki miongoni mwa watu limetokea kata ya Sinoni katika mtaa wa onjavutian.
Mwenyekiti wa mtaa wa onjavutian ambapo tukio hilo limetokea Lesioni Joseph amethibitisha kutokea kwa tukio hilo leo jumanne na kueleza kuwa alifika mtoni baada ya kupata taarifa kutoka kwa wananchi na kwenda kuona maiti ya mwanamke huyo, na kupiga simu polisi ambapo polisi wamekuja na kuchukua mwili huo.
=============
Updates...
Mwenyekiti wa Onjavutian katika Kata ya Sinoni, Lesioni Joseph anaelezea kilichotokea:
Hakuna taarifa kama ni kweli ameuawa au amekufa kwa sababu zingine, baada ya kupata taarifa za mwili kuonekana kando ya mto niliita Askari na baada ya uchunguzi wa awali wakabaini kuwa mwili haukuguswa kwa maana ya kushambuliwa.
Marehemu anaitwa Suzan au mama Dorcas, taarifa za uchunguzi wa awali zinaonesha kuwa aliporejea nyumbani jana usiku (Mei 15, 2023) akamwambia dada wa jirani kuwa amepoteza pochi yake ambayo ilikuwa na Tsh. 25,000.
Hakurejea nyumbani yangu alipoondoka, Askari walipokuja na kufanya uchunguzi wamesema inawezekana alidondoka au aliumia akashindwa kutoka kwenye maji.
Mwili wake umekutwa ukiwa hauna nguo ya chini, alikuwa amesaliwa na nguo ya juu tu.. Umri wake ni kati ya miaka 40 hadi 45.